mapunda b
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 418
- 19
sawasawa mkubwa kwani umenifumbua ila naomba wale wanaofahamu uwanja wa PCB na CBG kwani ndoto zangu ni kuwa daktari ....msaada tafadhari...
naomba mnisaidie kwa wanaofaham....
sawasawa mkubwa kwani umenifumbua ila naomba wale wanaofahamu uwanja wa PCB na CBG kwani ndoto zangu ni kuwa daktari ....msaada tafadhari...
Hey ma funs nna iv ya 28 ma result =>bios d,geo d,hist d,kisw d,civ d,b/keep d,com d,xo chuo kip naweza gonga?
ndugu kama umeipitia hii THREAD vizuri utaona kuna michango nimeshauri watu unaweza kuangalia kulingana na alama zako nini ufanye ..Hey ma funs nna iv ya 28 ma result =>bios d,geo d,hist d,kisw d,civ d,b/keep d,com d,xo chuo kip naweza gonga?
aombe ualimumdogo wangu ana C 3 na masomo mengine yooote kapata D mpaka Agriculture. Combi haja-balance. Hatuna uwezo wa kumpeleka Private. Sas tufanyaje?
uko maeneo gani ya tanzania.,..?Na mm pia ndugu zangu nina 4- 29 D - 6 so niende chuo kipi, ---- m2 ananishauri niende kwenye chuo cha mambo ya umma je hiko ndo bora au kwani nisha apoy pia vyuo cha biashara kama CBE NA IIA
wakuu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2010 nikapata III 25 nikawa na credit mbili nikaka nyumbani mwaka mzima mwaka 2012 nikajitosa kutafuta moja nimeipata.....SWALI LANGU---naweza kuendelea na kidato cha tano kwa muhula wa 2013? Nasikia sheria hairuhusu vyeti vya kuunga na ili ufanye mtihani wa kidato cha sita lazima uwe na credit tatu uliozipata ktk kikao kimoja cha mtihani ktk mwaka mmoja huo sasa me nilio reseat itakuaje mungu wangu naitaji kuwasaidia wazazi wangu jembe linawazeesha ntafurahi nikipata majibu naitwa mwita nipo kubiterere Tarime
kuna msichana ana credit mbili, je anaweza kusoma form five huku ana resit ili kupata tena zile credit mbili?
inawezekana....japo ni
ngumu kutoboa...lazima ujitoe muhanga kufa na kupona kwani siku hizi
una-resit masomo yote 7 ya lazima sio yale uliyofeli tu!...ukikomaa na
kuwa makini uweke nguvu zako zote inawezekana...ila kwa somasoma ya
lelemama...kufeli kutakuwa nje nje
amini unaweza,na ujiwezeshe kwa kusoma kwa bidii zaidi utaweza