Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

5da4aa9b0f4981bc3e258e63966e741c.jpg


Arusha: Monday - Friday
Wiki hii siyo dar mkuu? Au hapa dar kuna wadau umedelegate?
 
nadhani sitakosa nafasi ya dar hiyo 23 oct
 
Wakuu salaam sana,

Wiki jana TMT ilikuwa Mwanza na siyo watu wote walipata fursa ya kuhudhuria.

Naamini wanaBukoba, Karagwe, Muleba na Misenyi ni watu wenye mwamko mkubwa katika maswala ya kielimu. Na hii fursa ya kielimu na kifedha si ya kukosa na haiwezi kutupita wana Bukoba.

Hatujawahi kushindwa na kitu konachohusu elimu. Inawezekana. Sirjeff mwenyewe kasoma Ihungo. Tuwalete Cre na Sirjeff Bukoba waje watoe somo lakini pia tuwalishe eshakara za Bukoba na sato.

Tutumie uzi huu kuji-organize wadau. Twaweza pia kuunda kundi la Watsap at least by the end of November TMT iwe Bukoba.
 
Nitaumia sana kama hili liserikali likianza kuleta fitina kwenye forex...

Niyashauri tu haya mazee yenye vipara kama solar panel ya mjerumani na vitambi kama gunia la mchele kama yameshindwa kutoa ajira kwa vijana na kukomboa pangaboi kule canada basi yakae mbali kabisa na forex!!!

Tutakutana Arusha mkuu wangu!!


Lakini sijasoma sana forex, lakini navyoelewa, serikali hawawezi wakazuia, biashara hii ni online.. Labda utakapokuhamisha hela kuja kwenye a/c ya kitanzania hapo ndio inaweza kuwa mtihani, lakini kuna njia nyingi za kushindwa figisu kama hizo.

Binafsi nafuatilia hizo issue.. ambao mmesoma bongo .. mnatrade wenyewe au mnafanya kupitia brokerage?
 
Mmekataa kuelezea details za upatu wenu niwasaidie.Ila sio mbaya nikiweka walichoongea wengine.Mkiendelea kujichekesha tuu mnaotaka waibia bila kusema risk wenye akili watajua wanacheza nini.Nadhani mnaelewa kiingereza vyema au hata cha kuombea chai au cha kusikilizia EPL.

What a timely Warning from you Mr. E
In my candid opinion, your site has to be praised as one of the benefits of the website.

I just finished a 2day seminar on imarket live in Nigeria. I paid $10, hoping that will be all to achieve a basic understanding of forex, registration inclusive.
I was saddened when we were asked to pay $300 for proper registration and Training.
Then will be expected to be paying about $175 for monthly subscription. Too bad!
Hence, I decided to make some research. Lo, your site was my succour.

My question to you is:

Since they’vebeen proven to be potential scammers in the USA, what has the USA government done about them?
Why are internationally regulated brokers like HOTFOREX and FXTM partnering with imarket live,
Thirdly, what are the technical questions that we ought to inquire from their agents whenever they approaches us?
Thanks in expectancy
Bernard.
Hii habari niliisoma nilipokuwa naisoma IML.
 
5da4aa9b0f4981bc3e258e63966e741c.jpg


Arusha: Monday - Friday
Hivi Mr kwa nn msianzishe platform itakayotoa live online training kwa maana mtu atakuwa na uwezo wa kuona hizo training kipindi ikifanyika sehemu nyingine maana kuna watu walishindwa kuhudhuria kutokana na sababu mbalimbali lkn mngekuwa na mfumo huu watu wengi wangepata access ya training live bila kwenda sehemu husika na ingewafikia wengi
Mnaweza kuanza na ile huduma ya Facebook
Ww kama muhusika wa TMT ungelifikiria ilo
 
07d2a1a7ae5a4cfd6a8983779b0e9ca4.jpg


Sitakuwa na mameno mengi sana kwani picha inajionyesha yenyewe hapo. Piga mahesabu. Nilianza na usd300 na leo tayari nimeshawithdraw usd1000. Yaani shilingi milioni 2 na ushee. Kazi kwenu wadau kuchukua hatua. TMT is there for u kukupa elimu hii ya forex. Msiseme hatukuwaambia. Hiyo ni akaunti ya live. Yaani ile rasmi na sio demo ya kujifunzia.

NB: forex inahitaji usome sana na ufuatilie matukio ya kiuchumi na kisiasa duniani, hasa kwenye zile nchi ambazo sarafu [currency] zake ndio zina nguvu zaidi ikiwa ni pamoja na USA, Great Britain, Japan, Uswis, Newzealand, Australia, Canada, pamoja na European Union kwa ujumla
 
Sawa mkuu, I would like to hear from the other end of results too (the losers of the game).
 
Forex inanivutia sana tatizo capital ya training ya kuanzia ,, lakin pia promo ya hii kitu imezid had inatia shaka maana tumezoea kuona watanzania wakiotea rizik sehem hula kimya kimya but ikitokea wametoa matangazo mengi basi ujue kuna mpango wa kupiga watu.
 
Hakuna pesa za bure, kama umetumwa kuja kuvutia watu waambie nimewashindwa. Kacheze upatu na wenzio, hamna wa kucheza nae upatu
 
Sawa mkuu, I would like to hear from the other end of results too (the losers of the game).
Losers wapo ila ni kwa uzembe wao. Hawafuati kanuni za biashara na kuishia kula loss. Ila uzuri ni kuwa huwa wanatambua makosa yao kisha wakaenda tena kufund akaunti zao na kufuata kanuni na taratibu

Ila kwa upande wa pili wametokea watu ambao ni matapeli wakitumia jina la TMT vibaya kwa kutapeli watu kwamba wanakusanya mitaji na kuiwekeza kwenye forex kisha watapata faida. Hao ndio wa kuwaogopa. Na wanatafutwa.
 
Back
Top Bottom