Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Losers wapo ila ni kwa uzembe wao. Hawafuati kanuni za biashara na kuishia kula loss. Ila uzuri ni kuwa huwa wanatambua makosa yao kisha wakaenda tena kufund akaunti zao na kufuata kanuni na taratibu

Ila kwa upande wa pili wametokea watu ambao ni matapeli wakitumia jina la TMT vibaya kwa kutapeli watu kwamba wanakusanya mitaji na kuiwekeza kwenye forex kisha watapata faida. Hao ndio wa kuwaogopa. Na wanatafutwa.

It's cool sir, as we always want to see all the sides of coin.
 
Forex inanivutia sana tatizo capital ya training ya kuanzia ,, lakin pia promo ya hii kitu imezid had inatia shaka maana tumezoea kuona watanzania wakiotea rizik sehem hula kimya kimya but ikitokea wametoa matangazo mengi basi ujue kuna mpango wa kupiga watu.
Unajua nini? Watu walikuwa wakila kimya kimya kwa miaka mingi mkuu. Walikula sana! Na kiukweli hawakutaka watu wapate hizi taarifa hapa bongo kwa kuwa wanaona watu wengi wangefaidika. Binafsi nami sikupenda pia kushirikisha watu kile nilichojifunza na nunachopata ila imenibidi.

Ontario ambaye ndiye muasisi wa forex ya uwazi kwa Tanzania aliona itakuwa ni dhambi kuona atafaidi mwenyewe na kuamua kuwaomba wadau fulani toka South Afrika kuja kufundisha forex hapa bongo ili vijana ambao ndio wengi wapate hii elimu na kujikwamua. Sasa wapo watu ambao nawaita washamba ambao hawataki kuelewa.

Pia wapo ambao wanaona ulaji wao umevamiwa hivyo kuleta figisu. We jipange tu utafute hiyo ada yao kwani forex is always there. Hata mwakani, we jipange
 
07d2a1a7ae5a4cfd6a8983779b0e9ca4.jpg


Sitakuwa na mameno mengi sana kwani picha inajionyesha yenyewe hapo. Piga mahesabu. Nilianza na usd300 na leo tayari nimeshawithdraw usd1000. Yaani shilingi milioni 2 na ushee. Kazi kwenu wadau kuchukua hatua. TMT is there for u kukupa elimu hii ya forex. Msiseme hatukuwaambia. Hiyo ni akaunti ya live. Yaani ile rasmi na sio demo ya kujifunzia.

NB: forex inahitaji usome sana na ufuatilie matukio ya kiuchumi na kisiasa duniani, hasa kwenye zile nchi ambazo sarafu [currency] zake ndio zina nguvu zaidi ikiwa ni pamoja na USA, Great Britain, Japan, Uswis, Newzealand, Australia, Canada, pamoja na European Union kwa ujumla
Yani mnalazimisha watu wapate hela? Si kuleni nyie mnaokula? Matangazo na thread nyiingi forex forex daaah. Wekeni updates hizo kwenye nyuzi yenu moja msituchoshe
 
Mwanza mnakuja lini mkuu.hii kitu inanivutia sana kaka.kwani promo imeshakuwa shida kila sehemu forex forex.nataka nijiunge
Mwanza mbona walikuja wakafanya training ya wiki moja na wameshamaliza? Sasa wako Arusha. Maybe watarudi tena huko. Mi ni mhitimu wa TMT na si sehemu ya waanzilishi wa TMT
 
Toa fungu la kumi kwa Maxence Melo.
Kisha mkuu max atatujuza wanajamii kuwa FOREX inalipa.

KINYUME NA HAPO MNATAFUTA WATU WAINGIE MKENGE.
 
bd0b1081f42a159769acf9b1f2d4849b.jpg


Kimsingi Mimi tayari nishatoa mkwanja wangu na naendelea kutumbua ni kama 460 dollar.

Lakini mbona wahindi walikuwa wanajua hii kitu kwa miaka kibao na walikuwa wanajifungia ndani wanakomaa kivyao bila kutushirikisha waswahili...waliyajua haya!! Tusingekuwa hata na chembe ya shukrani zaidi ya masimango na lawama wakaamua kukaa kimya..wakivuna dollar zao wanatuajiri kwenye maduka yao full kutupa matusi ya nguoni.

But ningekuwa Mimi nimegundua huu mchongo ningepiga kimya na kutafuta wanangu niliowashiba saana nikawapa idea tukapiga hela kimya kimya. Maana huwezi kumridhisha wala kumfurahisha binadamu..hata ukitembea juu yamaji bado atasema kwa vile huwezi kuogelea ndio maana unatembea juu ya Maji. Loh!

I won't do as ONTARIO did...hell no.
 
Toa fungu la kumi kwa Maxence Melo.
Kisha mkuu max atatujuza wanajamii kuwa FOREX inalipa.

KINYUME NA HAPO MNATAFUTA WATU WAINGIE MKENGE.
Wazo lako la kuchangia jf ni zuri,naamini Fx traders waliotokana na The Mllion Team watalifanyia kazi,mimi pia nikiwepo
 
Toa fungu la kumi kwa Maxence Melo.
Kisha mkuu max atatujuza wanajamii kuwa FOREX inalipa.

KINYUME NA HAPO MNATAFUTA WATU WAINGIE MKENGE.
Ingekuwa ni jambo baya wala max asingeruhusu jukwaa hili litumike kwa kutangazia forex. Ni kwa nia njema tu sema itafika muda tutanyamaza
 
1. BikO
2. Tatu Mzuka
3. Forex

Nadhani mmenielewa

Ni vizuri kufanya research kabla hujaongea!! Mwenye akili timamu hawezi fananisha FOREX na tatu mzuka au Biko, Forex ni bness sio upatu!!

Fanya hivi, nenda google andika "forex market" then tafuta source kwenye wikipedia "the trusted source" kama unaijua lakini maana nawasi wasi na uelewa wako.

Take ur time read and read!!

Then uje hapa useme tena kama forex ni utapeli...

Soma sana kabla hujapinga kitu...
 
Batch ijayo Dar I am in.

This is Financial Freedom!
 
Back
Top Bottom