Forever Living!

Forever Living!

Mi nilijiunga nao tatizpouuhabawa product ukanipotezea wateja, nilikaa karibu mwezi mzima kiongozi wangu anadai no product makao makuu.Hela yangu iliniuma sana maana nilikusa najipiga ganji ili nilipie/ nijiunge. Ila product zao ni nzuri.
 
Maelezo marefu, sayansi yake fupi, tupe data wanaofanya biashara hiyo ni wangapi, na waliofanikiwa kiasi hicho ni wangapi na wangapi wamefeli???? Tupe graph  hapa

hebu jiulize na wewe ulioanza nao darasa la kwanza wangapi walifika chuo na wangapi waliishia njiani? c ajabu ukakuta ni 10 kati ya 60 kwa hyo ni kawaida kwnye system yoyote ya ushindani
 
Concern zangu kwa hawa jamaa ni mbili
1. Bidhaa zao hazina thamani ya bei wanayouzia - wanauza bei gahli kwa sababu kila bidhaa ipo kwenye long value chain. Ukinunua dawa moja ya meno ujue zaidi ya 80% ya hela uliyolipa ni faida inayogawanywa kwa msururu wa watu

2. Wawe wanalipa kodi au hawalipi kodi, ukweli ni kwamba hawaongezi chochote kwenye pato la taifa. Zaidi sana wanasababisha mabilioni ya fedha za walipa kodi ziende huko kunapotengenezwa hizo bidhaa. Hapa namaanisha kuwa, unapomkamua mtanzania sh laki 3 kwa dawa ya kupunguza kitambi, kisha serikalini ukalipa kodi ya sh alfu 50 labla, elfu 80 nyingine ukala wewe faida na iliyobaki ikalipia bidhaa uliyonunulia MALAYSIA, waliofanikiwa ni Malaysia, sio Tanzania. Huyu Mtanzania hiyo laki tatu pengine angenunulia chakula, ambapo pamoja na serikali kuendelea kupata kodi yake katika hiyo biashara ya chakula, hiyo fedha itakuwa imeenda kumnufaisha mkulima wa Kitanzania, na sio mtengeneza dawa wa Kimalaysia...
Tanzania inanufaika na
30% income tax from profit earned. na
10% repatriated income
thank you.
 
huu ni utapeli mpya wa kalamu. usipoteze mda, wala kujisumbua. niulize mimi kilichonitokea baada na kukomaa nao miaka miwili, najuta, yani bora hata ela yako ukaweka kwenye kilimo cha greenhouse. Hii biashara tayari inatawaliwa na watu 5, walioko top kama unafikiri kujiunga unapoteza mda wako, mimi nisingependa yawakute yaliyonikuta mimi. na unyama niliofanyiwa na hao viongozi ma top sponsor, wana roho mbaya. na hawawezi kuruusu mtu yoyote aingie kwenye chain yao. Kama unabisha katupe laki 8, hii biashara kwa watanzania wa kawaida haiwafai. mimi nimeachana na huu ujinga na sasa nafanya kilimobiashara au agribussiness. na sasa tuko hatua ya kuanzisha kikundi cha wanakilimo. kusajili kisheria, na kuwa na miradi ya kilimo ambayo inagurantee. tuwe na wataalamu. Kama mtu yuko interested ni pm. kuna kikundi kimoja kimeafanikiwa sana tuu na sasa wamepata wahisani mpaka nje ya nchi wao wanalima ufuta. fanya biashara yoyote na Mungu atakubariki sio huu upatu huu.
 
Mimi nilihudhuria semina yao na sikuweza kuwaelewa hata kidogo. Mapicha picha tuu
 
huu ni utapeli mpya wa kalamu. usipoteze mda, wala kujisumbua. niulize mimi kilichonitokea baada na kukomaa nao miaka miwili, najuta, yani bora hata ela yako ukaweka kwenye kilimo cha greenhouse. Hii biashara tayari inatawaliwa na watu 5, walioko top kama unafikiri kujiunga unapoteza mda wako, mimi nisingependa yawakute yaliyonikuta mimi. na unyama niliofanyiwa na hao viongozi ma top sponsor, wana roho mbaya. na hawawezi kuruusu mtu yoyote aingie kwenye chain yao. Kama unabisha katupe laki 8, hii biashara kwa watanzania wa kawaida haiwafai. mimi nimeachana na huu ujinga na sasa nafanya kilimobiashara au agribussiness. na sasa tuko hatua ya kuanzisha kikundi cha wanakilimo. kusajili kisheria, na kuwa na miradi ya kilimo ambayo inagurantee. tuwe na wataalamu. Kama mtu yuko interested ni pm. kuna kikundi kimoja kimeafanikiwa sana tuu na sasa wamepata wahisani mpaka nje ya nchi wao wanalima ufuta. fanya biashara yoyote na Mungu atakubariki sio huu upatu huu.
Kama umeamua kufunga basi funguka full... Wataje kwa majina hao "ma top sponsor" wenye roho mbaya na uelezee kiundani walikufanya nini exactly ili kila mmoja aelewe unyama unaouzungumzia hasa.
Utakuwa umeokoa watu wengi sana kuliko kutoa maelezo ya kiujumla jumla hivi.
Ni ushauri tuu Mjasiriamali1 Big Sam
 
Last edited by a moderator:
Tatizo co bei..........suala ni quality ya products zao. kuhusu kuwa walipa kodi wakubwa ni ukwel kabisa,kuna mwaka walilipa kodi zaid ya bakhressa ktk mkoa wa Temeke, kwa sasa wanahamia kinondoni i think ndo watakua wanaongoza kwa ulipaj wa kodi ktk mkoa huo. Na kila mwaka wapo katika top 100 makampuni yanayokuwa kwa kas nchini

Wanaosema ni Pyramid shceme nafikir hawajui pyramid scheme ni nn (waingie google wajue tofaut ya pyramid scheme na Network marketing) Kifupi pyramid scheme huwez kumpita aliekuingiza kweny biashara but network marketing inawezekana kabisa na c kitu cha ajabu (mimi ni mfano halisi na wengine wengi tu), FLP wanafanya Network marketing (biashara ya mtandao), ingekua ni pyramid scheme ingeshafungiwa cku nying kama ilivofungiwa Tellex free, FLP ipo TZ mwaka wa 8 sasa, imesajiliwa, serikal washapata zaid ya 9.5 billion kama kodi katika kipind hiko.

Tukija upande wa distributors wake, vijana wanapiga hela za kutosha, anaeongoza kiujumla mpaka mwaka jana ametengeneza 2.8 billion(kwa miaka 8), anaitwa Alphonce Chillato weng wanamjua,lakn miaka miwil iliopita wapo ambao wanamzid pesa kwa maana ya mapato ya mwaka mzima, wapo akina Mr & Mrs Enos Salema (huyu mwaka jana katengeneza over 500m), Mr & Mrs Mgoyo (zaid ya 300m), Chilato mwenyew (over 300m), Mr & Mrs Khushe (over 200 m), Blandina Njau (over 150m) wapo weng sana wanao-range (50-200m). Huyo Enos ni mtu wa tano chin ya chillato lakin mwaka jana katengeneza pesa zaid ya watu wake wote wanne walioko juu yake (afu mnaita pyramid scheme(usililijua ni kama ucku wa giza)) Hao nilowataja hapo juu ni wachache wanaoangaliwa kama leaders hapa TZ. Na ukisikia mta anatengeneza 25m kwa mwez jua kuwa chin yake wapo wengi pia wanatengeneza mpk 5-20m, lakin wakikaza buti wana uwezo uwezo wa kumpita na ndio maana ya ile (6%,3% na 2%) ili kuleta fairness (ulipwe kulingana na efforts zako)

Na ishu co kuuza products, ishu ni network yako ina consume kiac gan kila mwez ndo bonus yako inakua-calculated (6% first generation, 3% second generation na 2% third generation), its the business of sharing information, kuuza product au kupata mtu wa kujiunga chini yako ni results of the core activity (sharing information), na 95% of the business ni kutengeneza timu, only 5% ndo utafanya retailing (kwa watu wako wachache ambao watapenda kuwa watumiaj na co distributors), wanakupa hela unawachukulia products cause hawakuuzii direct kama co member

Network marketing ndo mtindo wa kisasa wa kusambaza bidhaa (soma the Business of 21st century by Robert Kiyosaki and other many more books), huu mtindo unayapunguzia makampun gharama kubwa sana (matangazo, distribution chain (agent, whole seller, retailer, etc)), hiz gharama zote ndo zinakuja kwa distributors kama bonus ndo maana mnashngaa pesa zote znatoka wap, lakin pia mtindo huu unaipeleka biashara ya kampun husika haraka sana, FLP mpaka sasa ipo kweny nchi 158 ila mweny kampun hajawah tembelea hata nchi nusu ya hzo lakin bidhaa zmefika. Na kama distributor unaruhusiwa kuwa na network ndan ya hiz nchi (what the opportunity!!!)

Ni suala la uelewa tu ndugu zangu, ingien google mjaribu kuielewa hii business vzr.............hao mnaowaona mtaan hawafany business professionally na ndio maana maisha yao hayajabadilika,lakin ni biashara ambayo ukifuata misingi na taratibu zake utatengeneza pesa za kutosha na hata ndoto zilizokuwa zmekufa zitafufuka, Enos ninaemzungumzia hapa hana miaka zaid ya 32, yupo kweny business mwaka wa 7, ana-drive brand new (0 km) Land Rover Discovery 4, kwasasa anatafuta kiwanja town aanze project yake ya ghorofa, anaish maisha ambayo weng mtakufa bila hata kuyaish (kama hamtakubal kubadilisha mitazamo na kutafuta potential zenu na kuacha siasa). Na ameweza yote hayo kwa biashara hiihii ambayo weng mnaidharau (sababu hamjui how does it operate na hamtak kujua cause mnafikir mnajua). Na wapo wengi tu wanaotengeneza around 5 - 25m per month, nmemtolea mfano Enos cause ni kijana mwenzetu na ni wa umri wa members wengi wa JF. (sijui ww una umri gan, una miliki nn na unatengeneza kias gan kwa mwez au mwaka)

Wakati ninyi mnaona products (dawa za meno, perfume, lotion, etc etc)............wengine wanaona utajir na maisha mazur, forever hiihii wapo members wake wanaisha oysterbay, masaki, upanga, na maeneo mengi ambayo kwa wengine ni ndoto, wengine washanunua apartments maeneo hayo (sijui nyie mnaopinga mnaish wap na kwa mwez mnatengeneza shiling ngap). Kwahyo jaribun kuwa wachunguz na muache tabia ya kuwasikiliza walioishindwa hii biashara............nawashaur watafuten hao niliowataja hapo juu muwaulize wawape in and out of this business, ni watu wanaotengeneza pesa nying lakin wana utu sana cause forever is the business of 'Love', mjaribu kupata ushaur kwa waliofanikiwa co walioshindwa. Naelewa wapo walioshindwa na wataendelea kushindwa, hii inatokana na wao kushindwa kufuata taratibu na mafunzo, mbona shulen wanafel kila cku lakn hatuachi kusoma???

Nimalize kwa kusema hivi.................chochote unachotaka kufanya wapo watakao kushauri (nn cha kufanya, usifanye, etc etc), lakin ujue baada ya muda utafanana na huyo aliekushaur. By the time nyie mnaiponda huku wenzenu wanaendelea kupiga pesa na kuzid kutanua network zao.............kipato unachotengeneza kwa mwaka kwa wengine ni cha nusu mwez, by the way ni maisha yenu its non of their business, but network marketing is now the beautifully business on earth (Bill Gates mwenyew alisema kama angepewa nafas ya kuanza upya angefungua kampun ya inayofanya biashara kwa mtindo wa Network marketing)

Don't take financial advice from broke people.........................

If you think its too good to be true..............THEY ARE PAID,
If you think its a scam................THEY ARE PAID,
If you don't join them...............THEY ARE PAID,
If you join them....................YOU WILL ALL GET PAID.


Kwa sasa niishie hapo, for more information you can ask or comment.

Or check me 0715782872 (call,watsup or sms)
email: samson.ndosi@gmail.com

Yaani we ni hovyo kabisa!! Mburulaaaaaaaa

Hivi unajua maana ya pyramid wewe? Eti network marketing....nyambaf.....haya wenzako wanapiga hela we umeingiza sh ngap?
 
Nilipofikia level ya kufikia manager, top sponsor kizazi changu cha sita tokea juu, akamfuata downline wangu akamshauri akope ela yule dada akakopa hela mil 20 akanunua product ikasababisha mimi kuwa unrecognised manager, na yule dada sababu ya lile deni biashara kaacha,system inataka uqualify kwa kuwa na back ya watu chini yako, watu ambao nilikuwa nawaingiza mimi alikuwa anatafuta namba zao anakaa nao chini anaanza walazimisha wafanye 4cc wakawa wanakopa ela wananunua product na hawajui pa kupeleka, matokeo yake mtu anaishi na madeni sababu ya kulazimishwa kufanya 4cc ambayo ni karibia mil 1.2 , haishii hapo tuu anakufanyia majungu na na kukudharaulisha kwa hao downline na hii biashara haisogei bila downline hakuishia hapo akaendelea mbele kwa kututenga kwenye iyo ofisi yao, au anawakatisha tamaa downline wako akiona wewe huendani na mipangilio yake. Na alikuwa anafanya hivyo makusudi kusudi a qualify chairman bonus, wakiingia watu wapya anachukua namba zao anawaforce wafanye 4cc sababu ya ugeni wa mtu kwenye biashara mtu anakopa kwa iyo wewe ukiiingiza team yeye anauwa timu yako, mbaya zaidi anawapa maneno ya kinafiki na ya kuwakatisha moyo tofauti na sheria za hii biashara, watu wengi wameshalizwa na uyo top sponsor na wameacha biashara, wanatengeneza fake testmonies kwa kuwanunulia watu umanager kwa ajili ya kudanganya watu. Hii biashara naijua zaidi ya kuijua watu wameshapoteza nyumba zao,magari, sababu ya kudanganywa, kwa mimi niliuliwa timu yangu sababu mtu alitaka chairman bonus kwa kuwadanganya downline wangu wafanye kitu ambacho kiliwaacha na madeni. Watu wanamjua na ofisi zake mitaa ya bamaga-sinza. Nikaenda kumuambia sponsor wake kuona nafichua uovu wao, sasa wakaamua kudeal na mimi kwa kuniulia timu yoyote nayoianzisha kwa kuwafundisha uongo na majungu. Vita vilipozidi nikaamua kuacha iyo biashara ya utapeli iliyoshikiliwa na mtandao wa watu 5 tuu. Fanya kampuni yoyote sio forever!
 
Nilipofikia level ya kufikia manager, top sponsor kizazi changu cha sita tokea juu, akamfuata downline wangu akamshauri akope ela yule dada akakopa hela mil 20 akanunua product ikasababisha mimi kuwa unrecognised manager, na yule dada sababu ya lile deni biashara kaacha,system inataka uqualify kwa kuwa na back ya watu chini yako, watu ambao nilikuwa nawaingiza mimi alikuwa anatafuta namba zao anakaa nao chini anaanza walazimisha wafanye 4cc wakawa wanakopa ela wananunua product na hawajui pa kupeleka, matokeo yake mtu anaishi na madeni sababu ya kulazimishwa kufanya 4cc ambayo ni karibia mil 1.2 , haishii hapo tuu anakufanyia majungu na na kukudharaulisha kwa hao downline na hii biashara haisogei bila downline hakuishia hapo akaendelea mbele kwa kututenga kwenye iyo ofisi yao, au anawakatisha tamaa downline wako akiona wewe huendani na mipangilio yake. Na alikuwa anafanya hivyo makusudi kusudi a qualify chairman bonus, wakiingia watu wapya anachukua namba zao anawaforce wafanye 4cc sababu ya ugeni wa mtu kwenye biashara mtu anakopa kwa iyo wewe ukiiingiza team yeye anauwa timu yako, mbaya zaidi anawapa maneno ya kinafiki na ya kuwakatisha moyo tofauti na sheria za hii biashara, watu wengi wameshalizwa na uyo top sponsor na wameacha biashara, wanatengeneza fake testmonies kwa kuwanunulia watu umanager kwa ajili ya kudanganya watu. Hii biashara naijua zaidi ya kuijua watu wameshapoteza nyumba zao,magari, sababu ya kudanganywa, kwa mimi niliuliwa timu yangu sababu mtu alitaka chairman bonus kwa kuwadanganya downline wangu wafanye kitu ambacho kiliwaacha na madeni. Watu wanamjua na ofisi zake mitaa ya bamaga-sinza. Nikaenda kumuambia sponsor wake kuona nafichua uovu wao, sasa wakaamua kudeal na mimi kwa kuniulia timu yoyote nayoianzisha kwa kuwafundisha uongo na majungu. Vita vilipozidi nikaamua kuacha iyo biashara ya utapeli iliyoshikiliwa na mtandao wa watu 5 tuu. Fanya kampuni yoyote sio forever!
nimeshatumia nguvu nyingi Sana kwenye huu Uzi. Hii biashara ni DECI. Ni utapeli. Haina uzalishaji na hivyo haina tija kwa uchumi Wa taifa
 
Nilipofikia level ya kufikia manager, top sponsor kizazi changu cha sita tokea juu, akamfuata downline wangu akamshauri akope ela yule dada akakopa hela mil 20 akanunua product ikasababisha mimi kuwa unrecognised manager, na yule dada sababu ya lile deni biashara kaacha,system inataka uqualify kwa kuwa na back ya watu chini yako, watu ambao nilikuwa nawaingiza mimi alikuwa anatafuta namba zao anakaa nao chini anaanza walazimisha wafanye 4cc wakawa wanakopa ela wananunua product na hawajui pa kupeleka, matokeo yake mtu anaishi na madeni sababu ya kulazimishwa kufanya 4cc ambayo ni karibia mil 1.2 , haishii hapo tuu anakufanyia majungu na na kukudharaulisha kwa hao downline na hii biashara haisogei bila downline hakuishia hapo akaendelea mbele kwa kututenga kwenye iyo ofisi yao, au anawakatisha tamaa downline wako akiona wewe huendani na mipangilio yake. Na alikuwa anafanya hivyo makusudi kusudi a qualify chairman bonus, wakiingia watu wapya anachukua namba zao anawaforce wafanye 4cc sababu ya ugeni wa mtu kwenye biashara mtu anakopa kwa iyo wewe ukiiingiza team yeye anauwa timu yako, mbaya zaidi anawapa maneno ya kinafiki na ya kuwakatisha moyo tofauti na sheria za hii biashara, watu wengi wameshalizwa na uyo top sponsor na wameacha biashara, wanatengeneza fake testmonies kwa kuwanunulia watu umanager kwa ajili ya kudanganya watu. Hii biashara naijua zaidi ya kuijua watu wameshapoteza nyumba zao,magari, sababu ya kudanganywa, kwa mimi niliuliwa timu yangu sababu mtu alitaka chairman bonus kwa kuwadanganya downline wangu wafanye kitu ambacho kiliwaacha na madeni. Watu wanamjua na ofisi zake mitaa ya bamaga-sinza. Nikaenda kumuambia sponsor wake kuona nafichua uovu wao, sasa wakaamua kudeal na mimi kwa kuniulia timu yoyote nayoianzisha kwa kuwafundisha uongo na majungu. Vita vilipozidi nikaamua kuacha iyo biashara ya utapeli iliyoshikiliwa na mtandao wa watu 5 tuu. Fanya kampuni yoyote sio forever!
Dah! Pole sana
 
Tumekua tukia aminishwa na baadhi ya rafiki zetu kua endapo utajiunga na forever living basi maisha yako yatabadilika.

Utakuwa tajiri kwa mda mchache.vijana wengi wakakopa na kuanza fanya biashara hii.

Wengine wakadiliki kusema achana na kulima uta zeeka bila kua tajiri.

Lkn siku zinapita sisi wakulima ndio tuna kua na heshima zaidi mtaani mvua iki zingua kidogo.

Hawa jamaa wanajazana kwangu kuomba japo hata debe la mahindi, mpunga
Vijana twendeni shambani achaneni na akili mgandoo eti eeh uza bidhaa ingiza membdrs utakua unapewa mshahara mbona hata watu wangeacha kazi za serikali kama inalipa.

Bidhaa zenyewe hazina hata uhalisia wa maisha ya serkali ya tano..unauza dawa ya mswaki kwa elf 30 kweli mafuta nduo usiseme wakati colgate white dent..jino safi kwa elf 1500 tuu hata jero utapata.

Tuna ngamia kwa kukosa maarifa. Waache wajinga sisi tukalime na Mungu katusijia mvua hiyoo.
 
Si kweli bidhaa zao zote ni mpaka uwe na hela ya kutisha. Ina tegemea unataka bidhaa gani. Kwa mfano dawa ya meno ni 14,000 na stick ya kwapa ni 14,000 na bidhaa nyingi za tube za matumizi mbalimbali zina range kuanzia 26,000 - 35,000.

Products zao kuanzia perking na muonekana ni top quality produts kwani karibu products zote zinakua sealed na wameandika kabisa ukiona haina seal usinunue.

Manufaa yanayopatikana ukulinganisha na pesa unayotoa kwa kweli unapata faida na la mwisho kabisa usitarajie quality products kupata kwa bei ya chini kabisa kama bidhaa zengine za kawaida.
Mbona mimi nilinunua dawa ya meno kwa 15,000/= na kwingine wakawa wanauza 18,000/= huu sio utapeli?
 
Back
Top Bottom