Nimewahi kuhudhuria semina zao na wakajaribu kunivuta lakini nilipochanganya zangu na za kuambiwa nikaona hapana hii siyo njia ya kwenda.
Kwanza, sharti lao la kwanza ni kwamba HURUHUSIWI KUFUNGUA DUKA NA KUZIWEKA BIDHAA ZAO DUKANI, YAANI KUUZA KWA MTINDO WA DUKA HAURUHUSIWI!!!!
Pili hakuna namna serikali inaweza kukata kodi ya mnufaika mmoja mmoja kulingana na commision anayopata!!. JAPO FOREVER LIVING KAMA KAMPUNI INALIPA KODI, WANALIPA KODI LAKINI KIMSINGI WAMETENGENEZA STRUCTURE YA KUKWEPA KODI ZAIDI, YAANI ILE KODI YA KIPATO CHA KILA MEMBER WAKE ANAPOPATA COMMISSION SERIKALI NI VIGUMU KUTRACE HII.
Kibaya zaidi kwa sababu ya ndoto za kupata mshiko mkubwa mkubwa kuliko kuumia kupitia njia za kawaida, BIASHARA HII IMEWAONDOA VIJANA WENGI KATIKA PROFESSIONS WALIZOSOMEA TENA KWA KODI YA WATANZANIA MASIKINI, NA KUJIKUTA WANAANZA KUWA MADALALI WA BIDHAA HIZI. Unakuta kijana/mtu alisomea udaktari, uinjinia, ualimu, uanasheria n.k LAKINI KWA KUWA HUKU ANAPOKEA KAMILIONI KAMOJA KWA MWEZI, NA HANA MUDA WA KUTOSHA KUFANYA ISHU ZA UTAFUTAJI WA WATEJA WAPYA ANAONA BORA AACHE KAZI, ILI APATE MUDA AKAKAUZE NETWORK YAKE!. at the end of the day, kweli atapata mapesa mengi ya commission lakini jamii inapata hasara kwa kukosa daktari, mwalimu, injinia etc.
hii ni pyramid scheme, ni miongoni mwa schemes za Kuinslave the masses huku wakubwa huko ng'ambo wakizidi kuneemeka, na mawakala wao katika mataifa masikini wakiambulia makombo (amabayo wengine tunaona eti ni pesa nyingi).
Kuna watu wanazinasibisha Kampuni hizi na Freemasonry na Illuminatti. JAPO MEMBER WAKE WATAKANUSHA HILI, LAKINI NI KWA SABABU HAWA WANATUMIKA TU (PAWNS) NA WAKO LEVEL YA CHINI SANA KIASI KWAMBA HAWAJUI KINACHOENDELEA KATIKA LEVELS ZA JUU ZA HII PYRAMID, HATA HIVYO WAKIPANDA NGAZI ZA JUU HUENDA WAKAELEWA THE WHOLE GAME!