Forever Living!

Forever Living!

Saimon111:

Kiri kuwa business ilikushinda, ndo yaleyale nkiosema mwanzon kuwa tunatafuta visingizio kuhalalisha kushindwa kwetu...........hii business hata mtu wakawaida kabisa mweny mtazamo chanya anaifanya coz haiangalii background, elimu, kabila au chochote, suala ni kama kwel unataka kufanikiwa, chochote unachotaka FLP itakupatia. (namfahamu dada ambae alikuwa fundi cherehan wa kawaida kabisa, leo anaingiza 10-12m kwa mwezi)

Suala la magari na mambo mengine duh hebu uliza hata hapo dodoma (watafute Mr and Mrs Ester Mello waliokuwa lecturers UDOM) wakuambie achievements zao, c hao tu hapo wapo na wengine, ila kuku-prove wrong watafute hao.

Na co magar tu kk, watu wana majumba (na FLP hawatoi magar acha kudanganya watu, wanatoa extra money USD 400 - USD 800 kama car incentive kwa miez 36 mfululizo, ila hawakulazimish ununulie ununue gar japo inaitwa Car incentive)

Suala la FLP kulipa kodi soma moja ya comment zang hapo juu utaona mchanganuo mzm wa miaka mitano iliopita (2008 - 2012), kukusaidia tu serikal ishapata zaid ya 9.7 Billion kama kodi toka FLP, huamin nenda TRA mkoa wa temeke.

Kama ulifika manager halafu ukaacha shame on you brother, hukua na malengo uliingia kufuata mkumbo (get rich quick). Huku kaz lazma ifanyike mkuu, kifupi ulikosa mtu sahihi wa kukuongoza.

Ww ndo mzigo kk na sio business, watoto wadogo kabisa wasio hata na elimu wanafanya vzr, this business is all about positive attitude na right mind set
 
Saimon111:

Kiri kuwa business ilikushinda, ndo yaleyale nkiosema mwanzon kuwa tunatafuta visingizio kuhalalisha kushindwa kwetu...........hii business hata mtu wakawaida kabisa mweny mtazamo chanya anaifanya coz haiangalii background, elimu, kabila au chochote, suala ni kama kwel unataka kufanikiwa, chochote unachotaka FLP itakupatia. (namfahamu dada ambae alikuwa fundi cherehan wa kawaida kabisa, leo anaingiza 10-12m kwa mwezi)

Suala la magari na mambo mengine duh hebu uliza hata hapo dodoma (watafute Mr and Mrs Ester Mello waliokuwa lecturers UDOM) wakuambie achievements zao, c hao tu hapo wapo na wengine, ila kuku-prove wrong watafute hao.

Na co magar tu kk, watu wana majumba (na FLP hawatoi magar acha kudanganya watu, wanatoa extra money USD 400 - USD 800 kama car incentive kwa miez 36 mfululizo, ila hawakulazimish ununulie ununue gar japo inaitwa Car incentive)

Suala la FLP kulipa kodi soma moja ya comment zang hapo juu utaona mchanganuo mzm wa miaka mitano iliopita (2008 - 2012), kukusaidia tu serikal ishapata zaid ya 9.7 Billion kama kodi toka FLP, huamin nenda TRA mkoa wa temeke.

Kama ulifika manager halafu ukaacha shame on you brother, hukua na malengo uliingia kufuata mkumbo (get rich quick). Huku kaz lazma ifanyike mkuu, kifupi ulikosa mtu sahihi wa kukuongoza.

Ww ndo mzigo kk na sio business, watoto wadogo kabisa wasio hata na elimu wanafanya vzr, this business is all about positive attitude na right mind set
Ngoja na mi nikajiunge...
 
Concern zangu kwa hawa jamaa ni mbili
1. Bidhaa zao hazina thamani ya bei wanayouzia - wanauza bei gahli kwa sababu kila bidhaa ipo kwenye long value chain. Ukinunua dawa moja ya meno ujue zaidi ya 80% ya hela uliyolipa ni faida inayogawanywa kwa msururu wa watu

2. Wawe wanalipa kodi au hawalipi kodi, ukweli ni kwamba hawaongezi chochote kwenye pato la taifa. Zaidi sana wanasababisha mabilioni ya fedha za walipa kodi ziende huko kunapotengenezwa hizo bidhaa. Hapa namaanisha kuwa, unapomkamua mtanzania sh laki 3 kwa dawa ya kupunguza kitambi, kisha serikalini ukalipa kodi ya sh alfu 50 labla, elfu 80 nyingine ukala wewe faida na iliyobaki ikalipia bidhaa uliyonunulia MALAYSIA, waliofanikiwa ni Malaysia, sio Tanzania. Huyu Mtanzania hiyo laki tatu pengine angenunulia chakula, ambapo pamoja na serikali kuendelea kupata kodi yake katika hiyo biashara ya chakula, hiyo fedha itakuwa imeenda kumnufaisha mkulima wa Kitanzania, na sio mtengeneza dawa wa Kimalaysia...
Point no.2 nimeipenda Sana..!
 
Tatizo co bei..........suala ni quality ya products zao. kuhusu kuwa walipa kodi wakubwa ni ukwel kabisa,kuna mwaka walilipa kodi zaid ya bakhressa ktk mkoa wa Temeke, kwa sasa wanahamia kinondoni i think ndo watakua wanaongoza kwa ulipaj wa kodi ktk mkoa huo. Na kila mwaka wapo katika top 100 makampuni yanayokuwa kwa kas nchini

Wanaosema ni Pyramid shceme nafikir hawajui pyramid scheme ni nn (waingie google wajue tofaut ya pyramid scheme na Network marketing) Kifupi pyramid scheme huwez kumpita aliekuingiza kweny biashara but network marketing inawezekana kabisa na c kitu cha ajabu (mimi ni mfano halisi na wengine wengi tu), FLP wanafanya Network marketing (biashara ya mtandao), ingekua ni pyramid scheme ingeshafungiwa cku nying kama ilivofungiwa Tellex free, FLP ipo TZ mwaka wa 8 sasa, imesajiliwa, serikal washapata zaid ya 9.5 billion kama kodi katika kipind hiko.

Tukija upande wa distributors wake, vijana wanapiga hela za kutosha, anaeongoza kiujumla mpaka mwaka jana ametengeneza 2.8 billion(kwa miaka 8), anaitwa Alphonce Chillato weng wanamjua,lakn miaka miwil iliopita wapo ambao wanamzid pesa kwa maana ya mapato ya mwaka mzima, wapo akina Mr & Mrs Enos Salema (huyu mwaka jana katengeneza over 500m), Mr & Mrs Mgoyo (zaid ya 300m), Chilato mwenyew (over 300m), Mr & Mrs Khushe (over 200 m), Blandina Njau (over 150m) wapo weng sana wanao-range (50-200m). Huyo Enos ni mtu wa tano chin ya chillato lakin mwaka jana katengeneza pesa zaid ya watu wake wote wanne walioko juu yake (afu mnaita pyramid scheme(usililijua ni kama ucku wa giza)) Hao nilowataja hapo juu ni wachache wanaoangaliwa kama leaders hapa TZ. Na ukisikia mta anatengeneza 25m kwa mwez jua kuwa chin yake wapo wengi pia wanatengeneza mpk 5-20m, lakin wakikaza buti wana uwezo uwezo wa kumpita na ndio maana ya ile (6%,3% na 2%) ili kuleta fairness (ulipwe kulingana na efforts zako)

Na ishu co kuuza products, ishu ni network yako ina consume kiac gan kila mwez ndo bonus yako inakua-calculated (6% first generation, 3% second generation na 2% third generation), its the business of sharing information, kuuza product au kupata mtu wa kujiunga chini yako ni results of the core activity (sharing information), na 95% of the business ni kutengeneza timu, only 5% ndo utafanya retailing (kwa watu wako wachache ambao watapenda kuwa watumiaj na co distributors), wanakupa hela unawachukulia products cause hawakuuzii direct kama co member

Network marketing ndo mtindo wa kisasa wa kusambaza bidhaa (soma the Business of 21st century by Robert Kiyosaki and other many more books), huu mtindo unayapunguzia makampun gharama kubwa sana (matangazo, distribution chain (agent, whole seller, retailer, etc)), hiz gharama zote ndo zinakuja kwa distributors kama bonus ndo maana mnashngaa pesa zote znatoka wap, lakin pia mtindo huu unaipeleka biashara ya kampun husika haraka sana, FLP mpaka sasa ipo kweny nchi 158 ila mweny kampun hajawah tembelea hata nchi nusu ya hzo lakin bidhaa zmefika. Na kama distributor unaruhusiwa kuwa na network ndan ya hiz nchi (what the opportunity!!!)

Ni suala la uelewa tu ndugu zangu, ingien google mjaribu kuielewa hii business vzr.............hao mnaowaona mtaan hawafany business professionally na ndio maana maisha yao hayajabadilika,lakin ni biashara ambayo ukifuata misingi na taratibu zake utatengeneza pesa za kutosha na hata ndoto zilizokuwa zmekufa zitafufuka, Enos ninaemzungumzia hapa hana miaka zaid ya 32, yupo kweny business mwaka wa 7, ana-drive brand new (0 km) Land Rover Discovery 4, kwasasa anatafuta kiwanja town aanze project yake ya ghorofa, anaish maisha ambayo weng mtakufa bila hata kuyaish (kama hamtakubal kubadilisha mitazamo na kutafuta potential zenu na kuacha siasa). Na ameweza yote hayo kwa biashara hiihii ambayo weng mnaidharau (sababu hamjui how does it operate na hamtak kujua cause mnafikir mnajua). Na wapo wengi tu wanaotengeneza around 5 - 25m per month, nmemtolea mfano Enos cause ni kijana mwenzetu na ni wa umri wa members wengi wa JF. (sijui ww una umri gan, una miliki nn na unatengeneza kias gan kwa mwez au mwaka)

Wakati ninyi mnaona products (dawa za meno, perfume, lotion, etc etc)............wengine wanaona utajir na maisha mazur, forever hiihii wapo members wake wanaisha oysterbay, masaki, upanga, na maeneo mengi ambayo kwa wengine ni ndoto, wengine washanunua apartments maeneo hayo (sijui nyie mnaopinga mnaish wap na kwa mwez mnatengeneza shiling ngap). Kwahyo jaribun kuwa wachunguz na muache tabia ya kuwasikiliza walioishindwa hii biashara............nawashaur watafuten hao niliowataja hapo juu muwaulize wawape in and out of this business, ni watu wanaotengeneza pesa nying lakin wana utu sana cause forever is the business of 'Love', mjaribu kupata ushaur kwa waliofanikiwa co walioshindwa. Naelewa wapo walioshindwa na wataendelea kushindwa, hii inatokana na wao kushindwa kufuata taratibu na mafunzo, mbona shulen wanafel kila cku lakn hatuachi kusoma???

Nimalize kwa kusema hivi.................chochote unachotaka kufanya wapo watakao kushauri (nn cha kufanya, usifanye, etc etc), lakin ujue baada ya muda utafanana na huyo aliekushaur. By the time nyie mnaiponda huku wenzenu wanaendelea kupiga pesa na kuzid kutanua network zao.............kipato unachotengeneza kwa mwaka kwa wengine ni cha nusu mwez, by the way ni maisha yenu its non of their business, but network marketing is now the beautifully business on earth (Bill Gates mwenyew alisema kama angepewa nafas ya kuanza upya angefungua kampun ya inayofanya biashara kwa mtindo wa Network marketing)

Don't take financial advice from broke people.........................

If you think its too good to be true..............THEY ARE PAID,
If you think its a scam................THEY ARE PAID,
If you don't join them...............THEY ARE PAID,
If you join them....................YOU WILL ALL GET PAID.


Kwa sasa niishie hapo, for more information you can ask or comment.

Or check me 0715782872 (call,watsup or sms)
email: samson.ndosi@gmail.com

Maelezo marefu, sayansi yake fupi, tupe data wanaofanya biashara hiyo ni wangapi, na waliofanikiwa kiasi hicho ni wangapi na wangapi wamefeli???? Tupe graph 📈 hapa
 
Point no.2 nimeipenda Sana..!

Well said, kodi serikalini siyo kipimo kazuri cha kampuni, tujiulize how many people get their little money, time, energy etc lost or immersed in this fraud busness?? I am convinced the net loss is on most people who get involved in the business or the entire country as whole!
 
Hakuna kitu hapo mi mke wangu yuko huko alinishawishi nikaenda amerika kwa hayo mambo ya flp... ila ni upuuzi mtupu ni matapeli...ushetani mtupu fanyeni kazi kwa haki tamaa mbaya
 
Mwasyoke, huyu mtu bora hata angetupatia financial audited report ya ukwasi wa watu hawa. Kusema tu watu wanapesa bila uthibitisho wowote wa kiamahesabu hata mimi ndinasyo.
Umetaja wachache waliopata mamilioni.Ingekuwa vema ukaeleza: Jee kuwafikisha hao wachache kwenye mamilioni ni watu laki ngapi wanamaliza viatu barabarani bila mafanikio na kuishia kukata tamaa? Pili -je wee umepata mamilioni mangapi mwaka ulioisha, au ni moja wa wasindinkizaji?
 
Hakuna kitu hapo mi mke wangu yuko huko alinishawishi nikaenda amerika kwa hayo mambo ya flp... ila ni upuuzi mtupu ni matapeli...ushetani mtupu fanyeni kazi kwa haki tamaa mbaya

fafanuaa mkuu
 
Hakuna kitu hapo mi mke wangu yuko huko alinishawishi nikaenda amerika kwa hayo mambo ya flp... ila ni upuuzi mtupu ni matapeli...ushetani mtupu fanyeni kazi kwa haki tamaa mbaya
Aisee.., sasa hiyo safari walikugharamia au..??!
 
Watu wanazidi kuliwa laki saba zao alafu ndio wanakuja Julia humu, kwanini hamkuomba ushauri kabla?!
 
Sisemi haya kwa akili za kushikiwa but that is what it clearly is..!!
Wee piga debe weee ila watu waliojiunga na kutumia rubbish zenu wana haya ya kusema.., Mnawachukualije forever living products?

MY Brother; kwa kweli juhudi,nguvu na maarifa yanayotakiwa kuwa invested ili mtu afanikiwe kimaisha kupitia FLP scheme. akiamua atumie hata robo yake kulima vitunguu au.ufuta tu,atakuwa millioneer ndani ya muda mfupi kuliko huo full set ya juhudi kuweka kwenye FLP.
inanipa wakati mgumu sana namna vijana wanavyotumia nguvu zao, maarifa yao kwenye advanced machinga kuliko kwenye uwekezaji wa maana na mafanikio makubwa kwa mda mfupi.
ok imagine ukiinvest hizo 750.000 kwrnye ufugaji wa kuku kwa kutumia nguvu na maarifa kama ya FLP...
 
Mkuu FRANCIS DA DON,

Sipo hapa kusafisha chochote. FLP hanihitaji mimi nije kusafisha, Mimi nakuelezea kwa uzoefu wangu. Na pia mimi sio msomi hata wa hali ya juu, ni raia wa kawaida kabisa. Situmi nguvu kuhalalisha ninachoamini kiwe kweli. Upo sahihi kuamini unachoamini na ni sawa kabisa ukiendelea kuamini hivyo.

Hii biashara sio rahisi.. Unahitaji kuwa expert kuweza kutengeneza hizo billioni wanazotengeneza hao ambao tunapewa mifano. Ni kweli unaweza ukatengeneza billioni kwa kutumia hizo suppliment (and yes sio dawa). Ila billioni haitengenezwi kirahisi hivo, na sio ndani ya mwezi moja au miwili. Unatakiwa ufanye kazi ya kujenga network yako, wape knowledge ya kutosha downlines wako kwa generation tatu na uendelee kuongeza downliners wengine watakaouza hivo bidhaa. Hivi unafikiri mtu yeyote yule anaweza kutengeneza bilioni kwenye biashara yeyote ile tukiacha hii kirahisi? Hamna, ila with hard work yes inawezekana.

Unachoshindwa kujua ni kwamba bidhaa zote ambazo zipo Tanzania za FLP zimekuwa authorized na TFDA. Yes serikali imezipitia na kuzipitisha inamaana serikali inajua kila kitu FLP inachofanya, ipo ina operate kwa miaka 8 sasa, sio kitu kinachokuja kufungwa na serikali leo au kesho. Hiyo sahau kabisa. Bidhaa zake ni bora hiyo haina mjadala tatizo ni kwamba wauzaji wengi hawana elimu ya kuuza hizo bidhaa, wanazipa sifa ambazo hazina. Watu wanadhani ni dawa.

FLP inaweza kuservive ndio kwaababu watumiaji wa bidhaa ni wengi kuliko wanachama. Inamaana sasa hivi FLP inaendeshwa na non members kama consumer wa bidhaa. Hivi unafikiri members ndio wana consume hizo products zote zinazouzwa kila siku wenyewe? Hakunaa.... watumiaji wa products ni wengi mnoo ambao sio members kabisa. FLP ipo alive for 30 years na biashara yao ni products, tena hasa za aloe vera.

Kingine ambacho naona huelewi ni kwamba, wewe ambaye ni upline unachukuwa percentage kwa generation 3 deep basi. Haiendi zaidi ya hapo. Tunasahahu kwamba kuna watu wanatumia dawa ya mswaki kila mwezi wana order, wengine aloe vera gel kila mwezi wanazitumia na products zao zingine 200. Repeated costomers wapo kibaaao. Sasa unafikiri new recruite ndio inaleta hela pekee? hela inakuja pale mtu anapofanya mauzo mazuri na sio kila mtu utakaye mrecruite atafanya mauzo mazuri. Inamaana kama ukiingiza watu kumi na wote hawafanyi chochote kila haijalishi wamenunua vitu vingi kiasi gani wewe upline wake biashara yako inakufa. Sasa hii zote sio kazi rahisi.

Narudia tena. Hii sio biashara ya kukufanya bilionea kwa mwezi moja. Lakini unaweza kuwa bilionea kwa kuuza hizi "suppliments"

kwa hiyo.unakubali kwamba umillionea hautokani na juhudi yako ya kuuza bidhaa balijuhudi ya kurekruti wengine itakulipa ?
ina maana katika ile 750000 anayolipa rekruti mpya kwenye chain yako unakuwa na mgao ?
mbona ni.wazi hiyo ni pyramid scheme hata kama inalipa kwa wachache na majonzi kwa wengi..
 
Last edited by a moderator:
Concern zangu kwa hawa jamaa ni mbili
1. Bidhaa zao hazina thamani ya bei wanayouzia - wanauza bei gahli kwa sababu kila bidhaa ipo kwenye long value chain. Ukinunua dawa moja ya meno ujue zaidi ya 80% ya hela uliyolipa ni faida inayogawanywa kwa msururu wa watu

2. Wawe wanalipa kodi au hawalipi kodi, ukweli ni kwamba hawaongezi chochote kwenye pato la taifa. Zaidi sana wanasababisha mabilioni ya fedha za walipa kodi ziende huko kunapotengenezwa hizo bidhaa. Hapa namaanisha kuwa, unapomkamua mtanzania sh laki 3 kwa dawa ya kupunguza kitambi, kisha serikalini ukalipa kodi ya sh alfu 50 labla, elfu 80 nyingine ukala wewe faida na iliyobaki ikalipia bidhaa uliyonunulia MALAYSIA, waliofanikiwa ni Malaysia, sio Tanzania. Huyu Mtanzania hiyo laki tatu pengine angenunulia chakula, ambapo pamoja na serikali kuendelea kupata kodi yake katika hiyo biashara ya chakula, hiyo fedha itakuwa imeenda kumnufaisha mkulima wa Kitanzania, na sio mtengeneza dawa wa Kimalaysia...

supu ya kabeji wiki mbili tu inamaliza kitambi.
wizi mtupu
 
Back
Top Bottom