Kwa maneno ya yakipuuz unayoandika unaonyesha ni jins gan unaumia kwann co ww unatengeneza hcyo vipato............kwa kukusaidia tu ni kwa sababu hujataka kubadilika (mind set), umejaa mawazo hasi, kifupi ushakufa tunasubir tu watangaze tuje kukuzika (kama hujui ni kwamba binadamu anaanza kufa kimawazo kwanza ndo maana wanasisitiza kuwa positive in every situation)
Kingine ni kwamba c lazma wote tufanye FLP, kuna njia nying sana za kutafuta vipato, ni kama unavyotaka kusafiri, unaeza tumia gari, ndege, meli, kutembea, etc etc, inategemea unaenda wap na unataka kufika baada ya muda gan, kwangu mm FLP is the best vehicle kwa sababu am making more than what i make in my salary, twende mbali zaid, mshahara ninaoupata nimeuhangaikia for more than 18 years (nursery, primary school, secondary school o-level na a-level, college), achilia mbal gharama zilizotumika, but with FLP in less that six months natengeneza kipato kikubwa zaid ya nilichokihangaikia miaka hyo 18, na kitengeneza kwa masaa 5 tu ambayo nafanya FLP kwa week.
Sasa cjui ww una ndoto kubwa/ndogo kiac gan, mm ndoto zang ni kubwa sana that's why nmeichukulia kama fursa kwang, kuna watu wana nyumba sinza, kijitonyama na maeneo mengine wamepangisha lakn nyumba hazilet hata million 1 kwa mwez, sasa angalia gharama ya nyumba yenyew,lakn with FLP kwa 750,000 na team ta watu wachache you can make more and more kulingana na speed and how serious you are (nna miez sita lakn natengeneza kipato kikubwa kuliko nilowakuta, hii biashara ni ww, co products wala marketing plan, ukiwa serious u make, ukiwa lazy utaishia kulalamika kama hao iliowashinda, unavuna unachokipanda)
Ww endelea kusubir katiba mpya (ikiwezekana kaa chin au nunua godoro ulale coz utasubir sana), kwa taarufa yako University of Dar es Salaam wapo kweny mchakato wakuingiza Network Marketing kweny curriculum ya MBA kama somo na wanawatumia watu wa Forever kusiadiana kuandaa courses, sasa endelea kuweka akili lami ila the time will come and you will be explaining. Na labda nikupe mchanganuo wa hesabu za FLP zilizopo TRA za miaka mitano iliyopita:-
5 Years of Forever in Tanzania
Cash flow 2008 2013
-Tshs.45 Billion in Revenue
-Tshs.19 Billion Bonuses to Distributors.
-Tshs.1.2 Billion Annual Profit Sharing to Distributors.
-Tshs.0.9 Billion Incentives to Distributors.
-Over 9.7 Billion Paid to the Government as Taxes.
-Branches in
- Dar-es-salaam
- Mwanza
- Arusha
- Mbeya
- Dodoma
Hapo nenda mpk TRA watakupa kama ilivo, na ni kwel FLP inafanya vzr sana kweny ulipaj wa kodi ktk mkoa wa Temeke, ikumbukwe huko ndo yalipo makampun ya Bakhiresa, Serengeti breweries na makampuni kibao ya mafuta. Nafikiri hamjui sheria ya kodi vzr, makampuni makubwa yana uwezo wa kukwepa kodi 'kisheria', yanalipa kodi yakipata faida (30% of the profit), sasa michezo inafanyika kuchezea mahesabu ili walipe kgd au wasilipe kabisa, nimewah kufanya hii kaz ya kutengeneza mahesabu ya wafanyabiashara by the time nipo college, nakir kushirik dhambi hii na Mungu anisamehe, ndo maana unaona wadau wa TRA wanapiga pesa sana sababu ya hii michezo (makampun hayaon tabu kuwahonga hata million 100 kukwepa kulipa mabilion), sasa ikumbukwe wanasiasa wetu nao njaa kal, wanashirikiana na wawekezaj na wamilik wa makampun makubwa kuiibia serikal, ndo maana mnashangaa kwann hayalipi kodi, na ndio maana FLP inawazid, na FLP hawawez kukwepa coz mfumo wa Network Marketing u can track each and everything (coz kila member ana ID yake inayoonyesha kanunua kwa kiwango gan kwa muda husika)
Na kama hujui sheria za kodi zmewekwa kuwanyonya watu wa chini(waajiriwa na wafanya biashara wadogo), angalia waaajiriwa wanalipa almost 30% kodi toka kweny mshahara (angalia salary slips zako), na kodi inachukuliwa hata kabla mashahara haujafika ndo maana waajiriwa wanaitwa watumwa wastaarabu, waaajiriwa wanalipa kodi kubwa (percentage-wise) zaid ya makampun makubwa. Mm nmechoka na haya ndo maana nmeamua kutafuta another vehicle (FLP) kwenda kweny ndoto zang. Juz watu 10,894 waliitwa kweny interview inayohitaj watu 70, nafikir hiz taarifa unazo mkuu, dunia ishabadilika, watu wamehamia kweny soft skills (networking) afu bado unang'ang'ania carrier na profession (Mungu awasidie)
Sasa katika FLP, 45 Billion, almost 22 Billion imerud kwa members wake kama bonus (kila mtu kalipwa kulingana na efforts zake), huku co kama kazin kwamba hata ukitega mshahara upo, na ndio hapo wenye akili ndogo kama ww mnapopotea.
9.7 imeenda serikalin, nitafutie kampun yoyote hapa bongo inayofanya hivo, wapo watu wanauza soda, bia na vitu vingine lakn waulize makampun yao yamewalipa kias gan. Ewe mtumwa mstaarabu endelea kukaza shingo na ubak hvohvo ila jua hukuumbwa ufe masikini. Unadanganya eti Job security, kwangu mm security ipo magerezan na co kazin, wakikuchoka wanakufukuza kama hawakuwah kukujua, wezee wa east africa c unawaona, walimu wanadai tangu nazaliwa, naamin ntakufa na bado wataendelea kudai, hyo ndo hali halisi kuhusu kuajiriwa, sisemi ni vibaya kuajiriwa,fanya kwa muda (coz mfumo ndo umetuandaa hvo), lakn jipange utoke uanze kukimbiza na ndoto zako.
Sisi kaz yetu ku-share information atakae penda anakaribishwa, asiependa tunamuacha kama alivo, lakn co wote wataielewa leo, wengine kesho, wengne mwakan na wengine hawatakaa waelewe (ndo wanadamu tulivo), mm nmekaa almost 5 years ndo nikaielewa lakn walioichukulia serious toka kipind hko leo wapo mbal sana.
Na hii business its about leadership, ukikosa wakukuongoza vzr itakushinda coz ni relationship based business, na kumbuka binadamu tunaongozwa na hisia so wengi tunashindwa ku-control hisia zetu pale mtu anapokataa kukuelewa unaona business haifai, ww ndo hufai kama hujui, hvo unapaswa kupata training za kukuwezesha kukabiliana na challenges kama hzo, na zipo tena free.
Kingine sio biashara rahis kama wanavowaambia members wengine, wanataka mjiunge ili wapate pesa ya kukuingiza (kumbuka kwenye kila kitu kuna walio serious na wale ambao wapowapo tu kufuata mkumbo ambao nakiri FLP wapo wengi sana na ndio wanaichafua image ya hii business hapa tanzania), mm huwa nawaambiaga ukwel watu wang, haitakuwa rahis, ila ukiiweza it is worth it coz results zitalingana na jitihada zako. Na watu wang nawafundisha kuifanya in a professional way, cna nafac ya wababaishaj kweny team yang na few years to come results zitaongea zenyew coz the future is so bright for us (
me and my team).
Labda kwa kukusaidia tu, nikutumie kitabu kimoja (
ebook) kikufungue about this industry (
network marketing in general) coz makampun yanaingia mapya kila mwaka labda itakuja ambayo utaona inakufaa, ujiandae coz this is the business of 21st century, na makampun mengi yanahamia kweny huu mfumo kwa sababu nilizozieleza mwanzo,hata tanzania ucjeshangaa yakaibuka makampun local ya aina hii (
dunia inaenda kas sana).
Ila ushaur wa bure, kuwa open minded co tu kweny FLP bali katika jambo lolote, try to see the opportunity and not the problems. Shule kuna wanaofel lakn hatuach kusoma, ndoa znawashinda weng lakn hatuach kuoana, kila mahal kuna watakao fanikiwa na watakao shindwa, angalia wanafanikiwa wakupe mbinu. Hii biashara ni mtu mwenyew, anaefanikiwa kaamua kufanikiwa, anaeshindwa pia kaamua kushindwa japo hajijui, wabongo ni wepesi sana kutoa lawama na kutafuta visingizio vya kwann tumeshindwa kitu fulan ila ukwel hatupend kuwa
responsible & accountable kwa makosa yetu.Ila kumbuka utaendelea kufanana na wanaokushauri.
Kwa yeyote atakaekuwa interested kukipata hiko kitabu (
nimtumie kwa email) anichek kwa mawasiliano hapo chini,
SHARING IS CARING!!!
Network Marketing It is an Asset Not a Job.
0715782872 - call,sms,watsup.
email: samson.ndosi@gmail.com