For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

Sana tuu. Kwa vile ni mwembamba kama sindano haina maana kuwa hutakiwi kufanya mazoezi na kula vizuri.

Mie mwenyewe huwa nashangaa mtu akiniona anasema sasa we wafanya mazoezi ya nini!!!!!!!!

nikajiuliza mwenyewe kwa hiyo watu wanasubiri uwe chibonge ndio uanze mazoezi
 
mhh bt you were looking good.! ,kwahiyo ukiwa free from stress unakuwa jmama la haja,??ila usiniambie umepungua zaidi ya pale!!

nikiwa sina stress mwili unakuwa poa tu stable........ila nikiwa nazo aisee hasa stress za mapenzi
nahisi hivi nimepungua ila kidogoooooo
 
Mie mwenyewe huwa nashangaa mtu akiniona anasema sasa we wafanya mazoezi ya nini!!!!!!!!

nikajiuliza mwenyewe kwa hiyo watu wanasubiri uwe chibonge ndio uanze mazoezi

Usiache mazoezi Mama Kijacho. Yanakuweka poa sana. Pia mwili utakuwa kwenye hali nzuri wakat wa kujifungua.
 
Sana tuu. Kwa vile ni mwembamba kama sindano haina maana kuwa hutakiwi kufanya mazoezi na kula vizuri.
Wenye miili yao wakifanya mazoezi unaona kakifua kamenyanyuka, tumikono tunavimba, wanavaa vibodi suti...mi najazia ndani tu huko sa ya nin?
 
Usiache mazoezi Mama Kijacho. Yanakuweka poa sana. Pia mwili utakuwa kwenye hali nzuri wakat wa kujifungua.

siwezi kuacha Baba kijacho.........si unakumbuka hata daktari alinishuri hivo pia...........

thanks for this reminder
 
Mie mwenyewe huwa nashangaa mtu akiniona anasema sasa we wafanya mazoezi ya nini!!!!!!!! nikajiuliza mwenyewe kwa hiyo watu wanasubiri uwe chibonge ndio uanze mazoezi
Na wewe kimbaumbau kama mimi?
 
Mie mwenyewe huwa nashangaa mtu akiniona anasema sasa we wafanya mazoezi ya nini!!!!!!!!

nikajiuliza mwenyewe kwa hiyo watu wanasubiri uwe chibonge ndio uanze mazoezi

Yea, kuna hiyo kasumba. Baadhi ya watu wanachukulia kufanya mazoeni kama kupunguza weight and getting rid of some fat around the body.

Wengi bado hawajui kuwa kufanya mazoezi mara kwa mara kunasaidia mwili mzima both physically and emotionally.

Wenye miili yao wakifanya mazoezi unaona kakifua kamenyanyuka, tumikono tunavimba, wanavaa vibodi suti...mi najazia ndani tu huko sa ya nin?

Usifanye mazoezi kwa ajili ya kunyanyua kifua, kuvimba mikono, au kuvaa suti za vibodi. Fanya mazoezi kwa afya yako. Itakusadia kuimarisha your immune system, magonjwa, nk,

"Thin people aren't necessarily strong and healthy-in fact, they're sometimes far from it. Working out regularly can help build your strength and endurance. That means that you'll get less fatigued from basic physical tasks, be able to walk or run for longer periods and greater distances and be more capable of lifting heavy items. You'll also have more endurance for social activities such as sports, dancing, [sex] and even just walking trips around the mall or your neighborhood." 5 Reasons Why Thin People Have to Exercise Too / Nutrition / Vitamins and Minerals
 
yaani kwa siku ukikimbia dk 15 its very enough plus push up kadhaa walau 15,na seat up(dont mind the spelling)na zile up and down 10 mtu unakuwa uko sawa kabisa,alafu tuache kula mivyakula vya mafuta sana tea wengine daily kuna baadhi ya watu breakfast bila mayai ya kukaanga haijakamilika plus beer jioni,kiuweli lazima unenepeane,hata uwe busy vipi huwezi kukosa dk 15 walau kwa siku ikishindikana basi walau kila week end,maeneo mengi kunakuwa na mabonanza so tujichanganye wadau.kwa sis wengine tunaopenda swimming hata tusipofanya mazoezi wiki nzia tukienda na kuswim walau two hours its very enough.

Another easy thing ni kuendesha baiskeli. Ila baadhi ya wanaume wa bongo wanajiona kama wanajishusha hadhi wakionekana wanapiga pedo badala ya kuwa ndani ya mkoko.
 
We kaseme na mtu wako huko. Kila mwanamke anapenda mwanamume wake awe dizaini fulani. Hako ka cv kako peleka kwako. Sio lazima ukimbize upepo au unyanyue vyuma ndo uwe fiti. Njia ziko lukuki. Au unavizia watu jim hawaji huko ndo ukakasirika? Nimepita Gymkana nikakuta wanawake wanavizia watu pale. Baadhi ya gym mambo ni hayohayo. Beach nazo sio salama. Huo ushauri wako ni kama wa giza vile!!.
 
We kaseme na mtu wako huko. Kila mwanamke anapenda mwanamume wake awe dizaini fulani. Hako ka cv kako peleka kwako. Sio lazima ukimbize upepo au unyanyue vyuma ndo uwe fiti. Njia ziko lukuki. Au unavizia watu jim hawaji huko ndo ukakasirika? Nimepita Gymkana nikakuta wanawake wanavizia watu pale. Baadhi ya gym mambo ni hayohayo. Beach nazo sio salama. Huo ushauri wako ni kama wa giza vile!!.

Unajua kuna kashfa siku hizi wafanya mazoezi wengi mashoga hamu inakimbilia kwenye maji taka.
 
Haya mimi simo, kila asubuhi nakimbia 6km..... mama akileta papuchi naitendea haki yake kisawasawa
 
Back
Top Bottom