For the lazy ass dudes

For the lazy ass dudes

We kaseme na mtu wako huko. Kila mwanamke anapenda mwanamume wake awe dizaini fulani. Hako ka cv kako peleka kwako. Sio lazima ukimbize upepo au unyanyue vyuma ndo uwe fiti. Njia ziko lukuki. Au unavizia watu jim hawaji huko ndo ukakasirika? Nimepita Gymkana nikakuta wanawake wanavizia watu pale. Baadhi ya gym mambo ni hayohayo. Beach nazo sio salama. Huo ushauri wako ni kama wa giza vile!!.

kwani ni wapi kasema aliyoandika ni sheria!!!!!!!!!!!!au kuna mahala kakushikia upanga wewe maringeni kwamba
ufate aliyoandika......ukiona haifai unaacha na kuendelea na mambo yako!!!!!!!!!!

wenye kuona unafaa wtaufuata
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kila mwanamke ana sifa na dizaini ya mwanaume anayempenz pia hata kwa wanaume hvyohvyo but kuna standard kaka
Kwani kua na mkitambi ni sifa?
Ukiwa na mwili unaopemdeza unapungukiwa nn?
Kama aliyoandika huyu dada yamekutachi kwann usiyafanyie kazi?
Do u think sababu mkeo/mpenz wako hakwambii basi anapemdezewa na huo mkitambi au manyama uzembe uliyonayo?
Guys z t bad to learn?
Ths z childish ndugu yangu ukiwa fiti haikupunguzii chochote
Nb ni kwa faida yako ukitaka Fanya ukitaka acha

du leo una mapwoint ile mbaya aiseeeeeeeeeeee
Its not bad to learn
 
Am in aseee ngoja kesho nifanye oiling ya bicycle nianze mdogomdogo!!!!!!
Hebu let us get serious on this mkuu,hebu ianzishie thread na tuiombee sticky status ili kupata wadau kwa urahisi na kujua response!!!!!

Ni muhimu kujua mapema ili kujua cost, ratiba za life,mazoezi na mambo kama hayo!!!!

Halafu bunge likae kama kamati for logistic purposes!!!!!

Keep me in the loop plz
 
Am in aseee ngoja kesho nifanye oiling ya bicycle nianze mdogomdogo!!!!!!
Hebu let us get serious on this mkuu,hebu ianzishie thread na tuiombee sticky status ili kupata wadau kwa urahisi na kujua response!!!!!

Ni muhimu kujua mapema ili kujua cost, ratiba za life,mazoezi na mambo kama hayo!!!!

Halafu bunge likae kama kamati for logistic purposes!!!!!

yah! najipanga kwa hili kila kitu kikiwa sawa, nitakileta hapa mkuu
 
Poa gwijimimi nadahni hili linawezekana mwenye wazo lake ni kiwatengu!!!!!!!!


Mkuu kiwatengu wadau wako huku wanatafuta registration!!!!

watu wawe na subira mkuu, hii kitu nimeiendesha underground kwa muda mrefu,
ilikuwa tuitoe ile december mambo yakawa magumu kidogo,
kwa sababu sasa nipo huku Kilimanjaro kila kitu kitakuwa sawa tu.
 
Last edited by a moderator:
watu wawe na subira mkuu, hii kitu nimeiendesha underground kwa muda mrefu,
ilikuwa tuitoe ile december mambo yakawa magumu kidogo,
kwa sababu sasa nipo huku Kilimanjaro kila kitu kitakuwa sawa tu.


Ha hahaha sawa mkuu maandalizi ndio mpango mzima!!!!
Underground imetosha sasa piga on top of the roof ionekane pande zote!!!!!!!

All the best son, just incase; hesitate not to prompt!!!!
 
mwanamme sifa pumzi, sio unapiga kimoja hoi, mijasho tere. Wanaume tubadilike tuamke mapema na tuhudhurie gym mitumbo yetu itakaa sawa
 
Big up Mkuu... Nimependa sana reasoning yako.

ni kweli kila mwanamke ana sifa na dizaini ya mwanaume anayempenz pia hata kwa wanaume hvyohvyo but kuna standard kaka
Kwani kua na mkitambi ni sifa?
Ukiwa na mwili unaopemdeza unapungukiwa nn?
Kama aliyoandika huyu dada yamekutachi kwann usiyafanyie kazi?
Do u think sababu mkeo/mpenz wako hakwambii basi anapemdezewa na huo mkitambi au manyama uzembe uliyonayo?
Guys z t bad to learn?
Ths z childish ndugu yangu ukiwa fiti haikupunguzii chochote
Nb ni kwa faida yako ukitaka Fanya ukitaka acha
 
I will volunteer... I have been there at UHURU Peak (Top of Mountain Kilimanjaro) some fews years back.. Its challenging yet its very interesting aisee ......Go! go! go!.....
Perfect. Twenzetu. Aanze kuandika majina.
 
Back
Top Bottom