Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Ukinitapeli mara ya kwanza aibu iwe kwako unaenifanyia hayo mabaya, lakini ukinipiga mara ya pili kwa style ile ile nikiwa na utimamu wa kujua kinachoweza kutokea basi aibu iwe kwangu, Niliapa sitoweza kuangukia kwenye mtego wa jaribio la kwanza kwa mara ya pili.
Niliweka binti wa kazi alinitandika shilingi laki 3 mwezi mwanzoni na nikadhani may be ni kosa langu but hadi kuamua kufikia hayo maamuzi ni baada ya kuona kwamba labda pengine ni uzembe wangu wa kutokutunza kumbukumbu vizuri, pia alilia sana machozi kwahio nikasema acha nifunike kombe mwanaharamu apite maisha yaendelee.
Lakini sikuwa mjinga kusamehe na kusahau, nilishaweka countereasures za kutoangukia mtego maana hilo tukio nilikuwa nalikumbuka halikupotea kichwani.
Siku ya jumatatu baada ya kumlipa mshahra wake nashangaa tena leo nimekula short ya laki na 30 flani , HELL NOOO !!!
Yeye hakujua kwamba nilianza kutunza rekodi za withdrawals kila siku kisirisiri na niliweka camera ya siri ofisini so nikavua koti kuanza nifatilie, kila kitu kilichorekodiwa pindi nikiwa sipo mpaka duka linapofungwa.
Nimemdaka live bila chenga kaingia ofisini na kuchomoa pesa, Binti ni mafia aisee!! kumbe na yeye ana funguo spare sehemu nayotunza pesa, kweli alikuwa kajipanga.
Nilivuta pumzi na kuongea kwa sauti, FOOL ME ONCE SHAME ON YOU, FOOL ME TWICE SHAME ON ME !! yeye akasema bosi kuna nini, nikarudia tena FOOL ME ONCE SHAME ON YOU, FOOL ME TWICE SHAME ON ME !! akawa kimya akinishangaa nikamwita kwa majina yake matatu mara mbili na kumwambia HOW DARE YOU , hasira nilizozipata nusu nimzabue mikofi ziga zaga ya bila mpangilio ovyo ovyo, Ila nikashusha pumzi nikamwambia hebu njoo uone huku kwenye screen, alipojiona akaanza kupiga magoti ohh boss nisamehe, nilikuwa na shida ya pesa, mshahara haukutosha, n.k. nilibaki kumshangaa nikamuuliza mshahara wako tuliokubaliana nimewahi kukuchelewa, akabaki hana jibu maana sijawahi kumcheleweshea, nikamuuliza tena day allowance yako nimewahi kukunyima, akasema hapana maana ni kweli kila siku akifika tu ana haki ya kuchukua elf 3.
Nilichofanya ni kumwambia naenda kumwambia polisi na ndugu zake, Network yake ni kama ilikata, nikamwambia option pekee aliyonayo anirudishie laki 3 aliyonipiga mwanzo na laki 1 aliyonipiga jana na kisha aondoke.
Uzuri nilikuwa napajua kwao na alinisihi sana nisioneshe video kwa watu wake naowajua, kijana toka asubuhi saa tatu ndio karudi muda huu na pesa laki 3 na elf 70 inaelekea kahenya sana huko,
Shughuli ndipo imeishia hapo kazi hakuna tena na nimemfanyia kwa huruma sana maana evidence clealy inaonyesha anavyoiba
Niliweka binti wa kazi alinitandika shilingi laki 3 mwezi mwanzoni na nikadhani may be ni kosa langu but hadi kuamua kufikia hayo maamuzi ni baada ya kuona kwamba labda pengine ni uzembe wangu wa kutokutunza kumbukumbu vizuri, pia alilia sana machozi kwahio nikasema acha nifunike kombe mwanaharamu apite maisha yaendelee.
Lakini sikuwa mjinga kusamehe na kusahau, nilishaweka countereasures za kutoangukia mtego maana hilo tukio nilikuwa nalikumbuka halikupotea kichwani.
Siku ya jumatatu baada ya kumlipa mshahra wake nashangaa tena leo nimekula short ya laki na 30 flani , HELL NOOO !!!
Yeye hakujua kwamba nilianza kutunza rekodi za withdrawals kila siku kisirisiri na niliweka camera ya siri ofisini so nikavua koti kuanza nifatilie, kila kitu kilichorekodiwa pindi nikiwa sipo mpaka duka linapofungwa.
Nimemdaka live bila chenga kaingia ofisini na kuchomoa pesa, Binti ni mafia aisee!! kumbe na yeye ana funguo spare sehemu nayotunza pesa, kweli alikuwa kajipanga.
Nilivuta pumzi na kuongea kwa sauti, FOOL ME ONCE SHAME ON YOU, FOOL ME TWICE SHAME ON ME !! yeye akasema bosi kuna nini, nikarudia tena FOOL ME ONCE SHAME ON YOU, FOOL ME TWICE SHAME ON ME !! akawa kimya akinishangaa nikamwita kwa majina yake matatu mara mbili na kumwambia HOW DARE YOU , hasira nilizozipata nusu nimzabue mikofi ziga zaga ya bila mpangilio ovyo ovyo, Ila nikashusha pumzi nikamwambia hebu njoo uone huku kwenye screen, alipojiona akaanza kupiga magoti ohh boss nisamehe, nilikuwa na shida ya pesa, mshahara haukutosha, n.k. nilibaki kumshangaa nikamuuliza mshahara wako tuliokubaliana nimewahi kukuchelewa, akabaki hana jibu maana sijawahi kumcheleweshea, nikamuuliza tena day allowance yako nimewahi kukunyima, akasema hapana maana ni kweli kila siku akifika tu ana haki ya kuchukua elf 3.
Nilichofanya ni kumwambia naenda kumwambia polisi na ndugu zake, Network yake ni kama ilikata, nikamwambia option pekee aliyonayo anirudishie laki 3 aliyonipiga mwanzo na laki 1 aliyonipiga jana na kisha aondoke.
Uzuri nilikuwa napajua kwao na alinisihi sana nisioneshe video kwa watu wake naowajua, kijana toka asubuhi saa tatu ndio karudi muda huu na pesa laki 3 na elf 70 inaelekea kahenya sana huko,
Shughuli ndipo imeishia hapo kazi hakuna tena na nimemfanyia kwa huruma sana maana evidence clealy inaonyesha anavyoiba