AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Keshaanza visingizio eti aliumia bega kabla ya fight!
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Katika shindano tumia mbinu zote zilizo ndani ya kanuni za shindano husika ili ushinde! Sasa nashangaa watu wanakuja na wishes kibao eti bila sheria Manny angeshinda, mara ooh "MONEY" kabebwa! Halafu baadae wanamaliza kwa kusema sheria zinamruhusu! Myweather kamshinda Manny, PERIOD!
Keshaanza visingizio eti aliumia bega kabla ya fight!
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Imekula kwao wataishia kulaumu
Keshaanza visingizio eti aliumia bega kabla ya fight!
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Mbali na ushindi wa Floyd, the game was not fantastic, I didn't see that stimulation punches in both side, mayweather ndio anatakiwa kulaumiwa kwa kucheza kiuoga.
Yuko live on ESPN right now. Keshaanza visingizio eti aliumia bega kabla ya fight!
Anakiri kuwa amepigwa kihalali.
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Mtakula maneno yenu leo. Mayweather ndio dume
Ndondi zilifika mwisho baada ya tyson kustaafu, hizi za sasa hivi upuuzi mtupu
Acheni akiri mgando bwana kurusharusha ngumi hovyo usifikiri ndo kushinda,hizi city ngumi za mtaani kama kwao Dia,Nmecheki round zote PAC karusha ngumi nyingi xana na yko faster xana,xema hatumii akr Floyd ana akr na technic nyingi xana,anakwepa xana anajrinda xana na Ana accuracy na ngumi zake. Ndo maana kashinda, Mwenyewe alijua anapointi nyingi ndo maana kaanza kushangilia Mara tu kuisha kwa round ya mwisho, Kila kitu shule na hili halina ubishi Floyd anatumia akiri xana!
Hawawezi kuelewa,wengi wao wanasukumwa na mapenzi juu ya Manny kachuku kakijionyesha kwa mbaali dhidi ya Floyd MyweatherUtata uko wapi wakati judges wote unanimously wamempa Floyd?Angalieni in slow motion round zote majibu mtapata unless mna makengezaPac ni mtotoGo Floyd