Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,403
Kwishney PAC mashine weather hana kitu chochote,ngoja tuone insta atakavyohesabu mifedha.
Huyu jamaa kwa sifa duh
Kwishney PAC mashine weather hana kitu chochote,ngoja tuone insta atakavyohesabu mifedha.
kapigwa pacquiao
Hii mechi ilishapangwa nilisema
Mi TMT moja, lakini hili pambano la leo usenger mtupu, hizi siyo ngumi!
Kwani tayari?
BAK, yaani hapo bow tie ya Nigga hujaiona, umeona ziwa tu!.Dah! huyu B naye! Ziwa lote kaliacha wazi
wanaangalia point alaf zile ngumi nyingi za pac zilikuwa zinaishia kwenye mikono
Niko macho tangu saa tisa halafu hawa washenzi wanaleta ujinga
Hapo nakukubali.Katika ngumi mtetezi hupigwa kwa KO pekee,ukimaliza raundi tu mwenye mkanda ni mshindi.
Dah! huyu B naye! Ziwa lote kaliacha wazi