KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,883
- 40,053
Muda wowote kuanzia sasa PACMAN atampiga mtu kwa K.O moja ya ajabu sana............
Congrats TMT.
mkuu tatizo niniThis is bull shit big time
Wasio na premium Azam wanaonesha
Yaani hawa Be In Sports wamenifanya vibaya leo kwa kugoma kurusha ili pambano. Inabidi niwe mtumwa wa hii thread ili kujua kinachoendelea. Too bad.
Tiba
haah haah kachapwa mtu wenuGame over,na Pac kashinda.Matokeo mengine ni uongo