Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,920
Wamarekani wamemshindisha mtu wao. Hakustahili. Eti point 116vs 112! Ni kama draw, hana cha kujisifia?!
Wamepanga ushindi hawa
Wamarekani wamemshindisha mtu wao. Hakustahili. Eti point 116vs 112! Ni kama draw, hana cha kujisifia?!
Floyd alikuwa anaruka ruka tu na kukimbia.....ushindi gani huo sasa?
Bure kabisa.
Tumeliwa hela zetu yarabi!
Hahahaaaaa mpwa una macho makali sana. Mimi nimeona kidogo nilitamani sana nione chuchu kama ni zile za flat au ndefu......
Nimeliwa dola 100 yangu hivi hivi, gademu!
![]()
Jinkee Pacquiao Manny's spouse
Wameamua tu kumpa huyu May, angepoteza wengi wangeliwa huko US, watu waliweka nyumba zao.
Hata sioni kama ni fight la century.
si unamuona hapo mfunue hiyo nguo kidogo uone hizo chuchu
Ngumi zilikuwa zamani bwana,enzi za kina Tyson,Evander na Lewis....hawa mabishoo hamna kitu,bora nililala.