Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Nilisema mayweather ni shiiiiiiiiiiiiiiiiiida
 
Dah! huyu B naye! Ziwa lote kaliacha wazi

Atleast Beyonce killed it...

CEDg4FyUkAAcEWt.jpg
 
I thought it was supposed to be the fight of the century! That was pathetic! May alikuwa anakimbia tu ulingoni round zote 12 kama nilivyosema kabla ya game halijaanza.. Alafu anajifananisha na Mohamed Ali..
Hata huyo Manny bure kabisa!.
 
Mi TMT moja, lakini hili pambano la leo usenger mtupu, hizi siyo ngumi!
 
Niko macho tangu saa tisa halafu hawa washenzi wanaleta ujinga
 
sisi tunapoteza usingizi kumbe wanatuzingua tu, acha nisubiri uefa
 
siangalii tena hizi, ngumi bora footbal, ameshinda vipi wakati mywheather ndio aliokua akishambuliwa

wanaangalia point alaf zile ngumi nyingi za pac zilikuwa zinaishia kwenye mikono
 
Mashabiki leo tumeibiwa kabisaaaaaa. Hata mimi hili pambano ningemsumbua May...(NATANIA Tu)
 
I thought it was supposed to be the fight of the century! That was pathetic! May alikuwa anakimbia tu ulingoni round zote 12 kama nilivyosema kabla ya game halijaanza.. Alafu anajifananisha na Mohamed Ali..

Teh teh teh teh sa ivi ndo unaponda eeh pole kanywe juice ya ndimu pooooooooole unaona faida ya maigizo sasa .Heeeeeeeh poleeee eeh.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Katika ngumi mtetezi hupigwa kwa KO pekee,ukimaliza raundi tu mwenye mkanda ni mshindi.
 
Back
Top Bottom