Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,276
Kaeni mkao wa kula sasa.
Acheni Porojo Za Kina Wema.Tupeni Updates Zenye Akili.Alaaah!
huyu jamaa kujua jua majina ya mastaa wa mbele ndo kumemtia uzuzu,wakati mbeba mizigo tuNyani babu acha dharau mkuu.Kuuliza sio ujinga.Acha ulimbukeni ----- wewe
Teh teh teh...poleni wala vumbi....na kuna kila dalili ya pambano kuchelewa kwa sababu ya jam ya PPV buys.
kapigwa moja.
Nyani babu acha dharau mkuu.Kuuliza sio ujinga.Acha ulimbukeni ----- wewe
hata mi sijui mkuu
ndo nini?
We niache tu...! Jana nimekimbia kwa demu wangu usiku saa sita kisa nikaone pambano saa tisa! Wenda ata nimetoa nafasi kwa mchepuko roho inauma sana. Mpaka muda eti bado..
Kwenye kingamuzi cha startime wamelinunua hlo pambano wenye vingamuz vya startime enjoy life
Mkuu mie nimeandika kwenye uzi huu kwamba pambano ni 7:00am EAT ila kama lingewahi kuanza basi ingekuwa 6:30am EAT.
Imekalia middle fingerJamani matokeo ya YANGA please!