Musa Nyambo
Senior Member
- Aug 27, 2013
- 170
- 23
matangazo kidogo game inaanza AF wanaingia ulingoni
hahah we jamaa. labda we ndo mchepuko
Very relaxed, that's my boy pacman
Tunataka Upadates Za Pambano Tu.Mambo Ya Sijui Ulikua Kwa Demu Wako Hatutaki Kusikia.Huo Ni U K!
jamani ndo nimeshtuka mda huu vp pambano bado?
Tv imaan wanaonesha.......
Ha ha ha haaah. Pole, mchepuko atakuwa kafaidi sana tu.
tuliza mzukabadoo tuu
ndo wanajianda mkuu
kama dk kumi mbele watakuwa washaanza kuvimbishana
Tv imaan wanaonesha.......