Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Mpambano bado tu shemeji yenu ananisumbua asubuhi hii
 
Kupata link ya uhakika kuangalia online ni kazi kwakweri....watu wamelipa pesa mingi kupata haki za kuonyesha , hawawezi kuwaachia muone bure online! Naskia HBO na Showtime wamefungua mashtaka kwa baadhi ya watu wanaoonehsa online.....hapa kama huna DStv kama.mie bora kulala tu 🚶🚶🚶😒😒
 
Asante umetupunguzia muda wanaokuja nao wamalize kwa KO aje Floyd nae apigwe KO mchezo kwisha hongeren wabishi wenzangu mliopo macho hadi muda huu

team mywether
 
haaah haaah sijui kama kuna sekta bongo haina ujanja-ujanja,ivi mkuu huyu Msangi alitoa vizingizio gani

Ulikua utapeli ule kumdaganya kuwa atapigana kwenye pambano la Mayweather nilijua tu ni uongo huo anafikiri huku kwenye pambano kupigana wanatumia ujanja ujanja wa kibongo.
 
D-Wash is a true boxing fan, a TMT pia. Bado Jack Nicholson tu team itimie.
 
Back
Top Bottom