Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Jamani Mimi bado nipo kwenye shuka humu, nitoke? SAA 11:09 sasa. BAK sema Nana kakalishwa?
 
Last edited by a moderator:
Hata kama ni maigizo kwahyo hadi kuumia kuvunjika ni maigizo hata sheria zao kwahyo yote Yale huwa ni maigizo kama ya tamthilia na sio really wrestling.Basi kama ni hivo hata kuumia huwa wana pretend basi.

Kuna cases watu huumia kiukweli lakini hiyo hutokea kama limefanyika kosa...

Otherwise kuumia kwingine ni sehemu tu ya storyline au mkataba wa wrestler unakuwa umeisha hivyo anapumzika kwa kisingizio cha kuumia n.k...
 
Hivi vibabu vilikuwa wapi wakiwa na 29yrs wanakuja kujichukuliA pension tayari wazee
 
Mechi ya pension ya uzeeni hii haina utamu wala nini
 
Bado mapambano ya utangulizi yanaendelea.

Jose Cayetano Vs Leo Santa Cruz.
 
​Hulazi damu kwenye opportunity ya kutengeneza pesa utadhani joka la makengeza lol!

khe khe khe naiamini team yangu kama joka la makengeza anavyoiamini degree yake ya pale Harvard..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna cases watu huumia kiukweli lakini hiyo hutokea kama limefanyika kosa...

Otherwise kuumia kwingine ni sehemu tu ya storyline au mkataba wa wrestler unakuwa umeisha hivyo anapumzika kwa kisingizio cha kuumia n.k...
naona unajaribu kumdanganya dada wa watu
 
Hawa Mexicans wangefanya tu dos-de-mayo hapa hii mambo iishe mapema.
 
Back
Top Bottom