Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Cuatro-de-boredom, hawa jamaa hawana a chicken fight to attend?
 
Kupata link ya uhakika kuangalia online ni kazi kwakweri....watu wamelipa pesa mingi kupata haki za kuonyesha , hawawezi kuwaachia muone bure online! Naskia HBO na Showtime wamefungua mashtaka kwa baadhi ya watu wanaoonehsa online.....hapa kama huna DStv kama.mie bora kulala tu 🚶🚶🚶😒😒

Mimi naangalia kwa lap yangu hapa via feed2all
 
mkuu tutakutoa humu sasa ivi

We ndio mpuuzi maana unaeleza mambo yako ya chumbani pasipohusika... Huyo mke ulioa au uliokota? Hukuambiwa mambo ya chumbani ni ya wawili na yanaishia chumbani? Na yeye umemtaarifu kuwa umepost kuwa anakusumbua? Wapo watu wamekaa wametulia unadhan ujumbe wako unawafanya wajisikieje? Majibu uliyopewa yanakustahili

Mghosi
 
bado kama nusaaa saa hivi.kufika 12 kamiliii
 
mayweather anapigwa kilaini kabisa wala hakunA ubishI
 
Kitu kinagonga ka nasubiri matokeo ya Dr.Slaa akiongoza,mana CCM wanaweza piga mabom mda wote wakimbie na masanduku
 
Back
Top Bottom