Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Mnaodai Money Mayweather anabebwa wasikilizeni wanamasumbwi mashuhuri duniani ambao wamewahi kupigana naye na wakapigwa kwenye post #115. Jamaa anaweza kuwa anachukiwa na wengi lakini kusema kweli ni mkali. Mimi nimeangalia hiyo utube yote na nilipowaona hao wanamasumbwi waliowahi kupigana naye na kwa kujua jinsi wanavyomchukia basi nikadhani watamponda tu na blah blah blah nyingi sana. Na kinyume na matarajio yangu wamemfagilia sana tu na kusema jamaa anatumia akili sana anapokuwa jukwaani na yuko fit ile mbaya.
 
Ktk hizo ngumu za haraka haraka sio km zitampata Floyd kwasababu jamaa anajua kujilinda vzr sn na kushambulia. Sasa km Paqc atakuja Na hiyo kadi KO ipo kabisa. Lazima adundwe. Mi nafikiri ktk huu mchezo Paqc hatoweza kujiachia Na kurusha ngumi tu eti kwa kua ana kasi itamfanya alambe sakafu vibaya.

Amini mkuu KO hakuna kwanza watataka kuonyesha burudani na pambano lazima litaenda zaidi ya raund 5 so hakuna KO milele..............!
 
Mnaodai Money Mayweather anabebwa wasikilizeni wanamasumbwi mashuhuri duniani ambao wamewahi kupigana naye na wakapigwa kwenye post #115. Jamaa anaweza kuwa anachukiwa na wengi lakini kusema kweli ni mkali. Mimi nimeangalia hiyo utube yote na nilipowaona hao wanamasumbwi waliowahi kupigana naye na kwa kujua jinsi wanavyomchukia basi nikadhani watamponda tu na blah blah blah nyingi sana. Na kinyume na matarajio yangu wamemfagilia sana tu na kusema jamaa anatumia akili sana anapokuwa jukwaani na yuko fit ile mbaya.

Mkuu BAK,floyd kwenye ndondi ni kipaji
 
Amini mkuu KO hakuna kwanza watataka kuonyesha burudani na pambano lazima litaenda zaidi ya raund 5 so hakuna KO milele..............!


Paqc hana uwezo Wa kufanya KO lkn Floyd huo uwezo anao Na ni moja ya mipango Yake ktk hili pambano kulimaliza kwa KO
 
Paqc hana uwezo Wa kufanya KO lkn Floyd huo uwezo anao Na ni moja ya mipango Yake ktk hili pambano kulimaliza kwa KO

oazima tuseme KO ipo ila sio lazima na money ndio anayetafuta KO ila man hajasema anataka nini kwa uwezo uliouona kwa money kua anatafuta KO basi jua man anatafuta KO vile vile na money hajaongea sana safari hii kwasababu hana uhakika na ushindi mkubwa janani.......!
 
Huyu Pacquiao nadhani atakuwa na kiherehere cha kutaka kumpeleka sakafuni Money katika raundi tatu za mwanzo, hivyo atakuja kichwa kichwa. Akifanya makosa haya basi pambano linaweza lisifike hata round tano. Atasikia paaaa akijastuka yuko sakafuni anaona nyota na kizunguzungu. Inuka inuka na wewe, referee anamaliza pambano kwa ushindi wa KO.

Ko ni lazima kwa heshima ya ndondi Duniani
 
Yule tapeli Msangi aliyedai anampeleka Matumla kucheza pambano la awali vipi,kafikia wapi?
 
Huyu Pacquiao nadhani atakuwa na kiherehere cha kutaka kumpeleka sakafuni Money katika raundi tatu za mwanzo, hivyo atakuja kichwa kichwa. Akifanya makosa haya basi pambano linaweza lisifike hata round tano. Atasikia paaaa akijastuka yuko sakafuni anaona nyota na kizunguzungu. Inuka inuka na wewe, referee anamaliza pambano kwa ushindi wa KO.

Tusubiri hiyo siku, tuombe uzima
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Amini mkuu KO hakuna kwanza watataka kuonyesha burudani na pambano lazima litaenda zaidi ya raund 5 so hakuna KO milele..............!

Ndo maanasiku hizi watu wamehamia kishabikia wwe kina k.o huko! Boxing siku hizi wanagusana gusana kisha ushindi wa point hamna mvuto kabisa!
 
Mimi toka Tyson aanze kudundwa nikaacha kuangalia ndondi. Hivi kuna watu wa uzito ule sasa? Au mnaishia kutazama hawa akina Mayweather sijui, ambao wana uzito sawa na akina Matumla. Enzi zetu kono kubwa kama la Mike Tyson au Evander likikushukia lazima upepewe...
 
Naam Mkuu tuombe uzima siku hiyo haiko mbali. Itakuwa poa sana kama Money Mayweather akishinda kwa KO na kisha kubwanga manyanga ili kufuata ushauri wa Baba yake.

Tusubiri hiyo siku, tuombe uzima
 
Huyu Pacquiao nadhani atakuwa na kiherehere cha kutaka kumpeleka sakafuni Money katika raundi tatu za mwanzo, hivyo atakuja kichwa kichwa. Akifanya makosa haya basi pambano linaweza lisifike hata round tano. Atasikia paaaa akijastuka yuko sakafuni anaona nyota na kizunguzungu. Inuka inuka na wewe, referee anamaliza pambano kwa ushindi wa KO.

Kumbe wewe ni team Mayweather....

Tayari lakini ushanunua hiyo PPV?

Maana jamaa wa HBO wanashauri watu wanunue mapema kuepuka msongamano.

Mi hapa tayari nshanunua. Siamini nimetoa $99.99.

But oh well....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kumbe wewe ni team Mayweather....

Tayari lakini ushanunua hiyo PPV?

Maana jamaa wa HBO wanashauri watu wanunue mapema kuepuka msongamano.

Mi hapa tayari nshanunua. Siamini nimetoa $99.99.

But oh well....


Which team are you?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom