Flat screen zenye internal receiver

Flat screen zenye internal receiver

Duh...watu mna data na mautaalam humu hadi raha.

Kwanini tusikusanye nguvu tuanzishe JF TV! Mie Director.
 
  • Siyo fake
  • Nimekupa ufafanuzi kwenye PM

Mwl.RCT vp kuhusu hz kodtec maana zina AC na DC na ni cheap na huku nilipo ni bush mm natumia solar sihtaji kufunga king'amuzi mm nahitaji chanel za kawaida ambazo ni free itaweza kushika?
 
Last edited by a moderator:
  • SAMSUNG LED SERIES 4 utapata kwa tsh 600'000 /-
  • Utapewa warrant ya miaka miwili (2)

mkuu Mwl.RCT naomba utufafanulie hapa hyo bei tunaomba maelezo yako kidogo au sisi tulionunua laki tisa na nane tumepigwa changa la macho??
 
Last edited by a moderator:
mkuu Mwl.RCT naomba utufafanulie hapa hyo bei tunaomba maelezo yako kidogo au sisi tulionunua laki tisa na nane tumepigwa changa la macho??
  • Ni bei sahihi si changa la macho
  • Bei hiyo inaambatana na mambo mengi ikiwa ni pamoja na TRA,VAT vyote vinakuwa vimejumuishwa
  • Kwa bei niliyotaja Haijumuishi hivyo vitu - Thats all.
 
Hata mimi nipo tarime kaka, tuwasiliane nikupe ushauri zaidi maana mimi ni satellite dish installer.

poa kaka, nikifikia uamzi ntakutaarifu,vp lakin kuhusu hz DTv zenye internal receiver zinashika huku vijijin?
 
Kaka hakuna tv itakayoshika kwa antenna hapa tarime, labda citzen ya kenya tena shida., huku ni dish
 
Ni nn hyo mpg4 n bisskey?

mpg4 ni aina ya picha inayoweza kurushwa kwa receiver hizi za kisasa. awali kulikuwepo na mpg2.na bisskey ni no za siri zitakazokuwezesha kufungua chanel zinazorusha mpira ambazo zinakuwa scrambled. baadhi ya tv hizo ni kama vile irib tv3, irib verzesh, ptv, tv3 ya ghana nk. zote huwezi kuzitazama bila password
 
Usiwe na haraka mitabo ya digital inafungwa mikoa yote ya kanda ya ziwa kuanzia March 2015 utapata chanel zote hizo free kwa kiantena kidogo cha ndani.
 
  • Ni bei sahihi si changa la macho
  • Bei hiyo inaambatana na mambo mengi ikiwa ni pamoja na TRA,VAT vyote vinakuwa vimejumuishwa
  • Kwa bei niliyotaja Haijumuishi hivyo vitu - Thats all.

Mkuu Mwl.RCT naomba msaada wako tafadhari.., nina flat inch 32 Sumsung lakin hzo chanel nmejaribu kusearch bila mafanikio., natumia antena ya Startimes je, yaweza kua sababu? au kuna card unaingiza kwanza?
 
Mkuu Mwl.RCT naomba msaada wako tafadhari.., nina flat inch 32 Sumsung lakin hzo chanel nmejaribu kusearch bila mafanikio., natumia antena ya Startimes je, yaweza kua sababu? au kuna card unaingiza kwanza?

Je uko wapi?
 
Mimi nina Hisense 32 inches. Ni smart Tv ina LED display na 3D vipi hii nayo inahivyo ving’amuzi vya bure ndani? Nitajuaje kama TV ina internal receiver?
 
Mwl.RCT

Hivi DSTV ni 720p au 1080p au kuna kitu kingine hapo.
 
Last edited by a moderator:
kwa vijijini sifahamu mie natumia Samsung led tv inch 32 ipo vizuri sana ninachannel karibu 200 na Ninatumia antena ya kawaida tu.

Antenna umeelekeza Makongo juu au Kisarawe? Mm napata Local channel tu za Bongo zikiwa Free Nipe maujanja labda nifanye Manual Scan kwa kututimia Frequency.
 
Mkuu hakuna maujanja hapo ni kweli autoscan tu huwa zinaingia zenyewe nilijaribu kuingiza frequency sikuona kitu but nimesoma sehemu kwamba zile tv za Samsung zenye hivo vingamuzi vimesetiwa kwenye satelite ya Amos 17e hyo ni kutoka kwenye web yao Samsung na ni special kwa Africa.

Ntajaribu kutumia dish nililolitega huko Amos nione je zitaongezeka??! Anyway now zipo 170 baada ya ting kuscramble package yao, nasubiri continental nao wascramble nione zitabaki ngapi pia ninapata channel za nje vizuri tu.

NOTE natumia antenna ya kawaida tu.
 
Back
Top Bottom