Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,865
- 833
Hata hivyo sidhani kama utapata chanel za maana hasa za mpira, na huyo anayepata chanel 200 za bure aweke wazi anapata chanel zipi kama si uongo. Nakushauri nunua decoda yoyote mpg4 na dish lako basi utapata chanel za bure kibao