Flat screen zenye internal receiver

Flat screen zenye internal receiver

Nimekusoma kaka. Lakini kama ni mpenzi wa mpira tumshauri anunue mpg4 yenye bisskey na dish ili apate chanel kibao za mpira


Hicho king'amuzi cha MPG4 ni sh. ngapi wadau na vinafanya vizur vijijini kama huku biharamulo hakuna hata redio station yoyote inayokamatika
 
KKOO ZIPO KIBAO ILA UWE MAKINI UJARIBISHE HAPOHAPO KABLA YA KULIPA
 
Smart tv lk6 wapi wp? Mm Nahuatl inch 32 ni2,m
Kwani ye kasema anataka smart TV? hahaha...

Smart TV na TV Tuner vitu viwili tofauti.

Na pia size ya TV na TV tuner vitu viwili tofauti. TV inaweza kuwa ya size 32" au ya saizi mia na ikawa haina TV tuner. Those are totally distinctive features.
 
Kwa kweli sijaona kwamba ufanisi unapungua kwa Samsung ya inchi 32.

Mimi nitumia na iko fresh. Situmii kingamuzi napata channel karibu 40 natumia antena ya kawaida.

Bei ni kuanzia laki 8 na nusu mpaka laki 9. Laki 6 umedanganywa au labda ni brand nyingine na sio samsung.
Mkuu unaweza kuzitaja baadhi ya channels? Je unaweza kutumia hizi decoder kama startimes,digitek kwenye tv yenye internal receiver?
 
Brand gani hiyo yenye Bisskey kaka ili tuitafute
mkuu bisskey sasa imepitwa na muda.sasa tupo ktk power vu hapo kuna chanel bora sana hasa za mpira na movie.rcv zenye power vu zipo kibao mfano hii hapa pichani
 

Attachments

  • 1453859845686.jpg
    1453859845686.jpg
    58.5 KB · Views: 54
kaka hizo channels nyingine kama CAM( ya filam za kichina bara ni africa),dubai sports na bein sports zipo on air now baada ya kampuni inayouza receivers za easy tv Tanzania kuziachia kama FTA!.


Haya kaka sema now nipo mbali na tz beinsports wameziachia ngapi?
 
Wakuu mm nna Samsung led 32,inch brand ya Vietnam je hizi zinaweza kuwa na internal receiver ? Au ni sumsung zote zinazo receiver? Msaada wakuu
 
mkuu bisskey sasa imepitwa na muda.sasa tupo ktk power vu hapo kuna chanel bora sana hasa za mpira na movie.rcv zenye power vu zipo kibao mfano hii hapa pichani

Haya bei gani hizo na zinapatikana wapi kwa utaratibu upi ni satellati ipi unafunga?
 
Back
Top Bottom