Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 318
- 513
Habari zenu ndugu zangu wa Jf,poleni na majukumu ya kutwa nzima.
naombeni msaada ama maelekezo ni jinsi gani naweza kutumia whatsapp kwenye desktop bila kutumia emulator ya aina yoyote kama hili linawezekana.maana nimejaribu kutumia kwenye bluestacks 5 lakini inacrush kila wakati,haifunguki,sometimes inachukua time sana kusend messages na sometimes inakuwa faster yaani inashindwa kunipa burudani vile inavyotakiwa.Ukizingatia now nimefungua kabiashara ambacho kinanihitaji muda mwingi niwe online kujibu customers wangu lakini unaweza ukamjibu mtu saa sita meseji mpaka kesho haifiki na vurugu zingine kibao,kama ipo njia ya kutumia whatsapp kwnye desktop windows 10 ram 4 bila emulators nahitaji sana msaada wenu wa link,maelekezo nk vile utakavyojaaliwa kama hili linawezekana.
na kama haliwezekani je kuna emulator ipi nzuri itakayonifaa bila usumbufu? na pia nawakaribisha kwa ushauri na maoni.
Biashara inasua sua sana bila whatsapp nini nifanye na siwez kuitumia kwenye simu kutokana na mazingira.
msaada wenu unahitajika sana
naombeni msaada ama maelekezo ni jinsi gani naweza kutumia whatsapp kwenye desktop bila kutumia emulator ya aina yoyote kama hili linawezekana.maana nimejaribu kutumia kwenye bluestacks 5 lakini inacrush kila wakati,haifunguki,sometimes inachukua time sana kusend messages na sometimes inakuwa faster yaani inashindwa kunipa burudani vile inavyotakiwa.Ukizingatia now nimefungua kabiashara ambacho kinanihitaji muda mwingi niwe online kujibu customers wangu lakini unaweza ukamjibu mtu saa sita meseji mpaka kesho haifiki na vurugu zingine kibao,kama ipo njia ya kutumia whatsapp kwnye desktop windows 10 ram 4 bila emulators nahitaji sana msaada wenu wa link,maelekezo nk vile utakavyojaaliwa kama hili linawezekana.
na kama haliwezekani je kuna emulator ipi nzuri itakayonifaa bila usumbufu? na pia nawakaribisha kwa ushauri na maoni.
Biashara inasua sua sana bila whatsapp nini nifanye na siwez kuitumia kwenye simu kutokana na mazingira.
msaada wenu unahitajika sana