Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Hahahhaha,umekumbusha tulivyokuwa tunafoji stemp,jamani tunafuta mhuri halafu tunatumia hiyo stemp kutuma barua,pia shida ya maji ndo ilisababisha watu tupige passport size,yaani nilishaapa kamwe wanangu hawawezi kusoma boarding schools
Mrembo hivo unapiga passport?
 
Makongo;

Kuna mtu alikuwa mtata sana anaitwa Afande Miraji(RIP) alikuwaga NA kawaida ya kupita kitaan kwetu saa 1 usku kila akiwa anatoka job kwake Makongo sec school ...sasa mzee wangu NA mm mili ilikuwa inaendana kdgo alikuwaga naye mjeda NA alikuwa anapenda sana kukaa nje mida hiyo usiku....siku Miraji alipopita nikiwa nimekaa mm pale nje mzee hakuwepo jamaa akatoa shikamo kama kawaida yake NA mm nikaitikia marahaba kumbe akaishtukia ile saut sio ya mshua akaenda zake kimya kimya ...kesho yake jamaa alikuja nichomoa darasan akanipeleka ofisin kwake niliporud joints zote mwilin hazifany kaz maana push ups,kichura chura ndio zilikuwa adhabu zake wiki nzima najisaidia aja kubwa nimesimama maana kuchuchumaa siwez ,...Bas toka siku hiyo nikawa sikae nje ya home kwetu ikifika SAA 1 usku

Kigonsera Sec School

1.Kulikuwaga kuna kajamaa kamoja kutoka Mbeya kalikuwa kanawaingilia wanaume wenzake kishirikina,Aliweza kuwaingilia wanafunzi wengi sana(Mm hakuwahi nigusa hata chembe)...Sasa siku akaingia anga za dogo mmoja (nahisi naye alikuwa ninja ) kutoka Rukwa ndipo alipodakwa kichapo alichopata nusu wamuue ikabid baadae wamuhamishe shule ndio ikawa salama yake

2. kuna Teacher mmoja Yank flan hiv alikuwa anatoka Songea mjin anakuja Mbnga(kigonsera) kutupigia practical za chemistry NA Bios NA kesho yake anageuza, Yy alikuwa rafik wa wanafunzi kwahiyo akawa analala kwenye madom ya wanafunz ...Kulikuwa kuna Teacher mmoja kila ikifa SAA 12 kasoro anapita Dom hadi Dom kuamsha wale ambao hawajasmka, NA kawaida yake akiingia tu akakukuta umelala anatandika bakora hapo hapo juu bila hata kukustua ww unakuja shtukia kitu paaah! ...Sasa siku akaingia room ambapo teacher alikuwa kalala NA wanafunz ndan ahahahahaha jamaa alimtandika fimbo moja ya nguvu yule mwalimu akiwa usingzin ,teacher ikabid apige kelele "mm mwalimu wa practicaaaaaal sio mwanafunz"

Pugu Sec School.

1.Baada ya kukimbia Kigonsera kutokana NA barid Kali nikajiunga Pugu.....Huku identity ya kwamba huyu ni mwanafunz wa Pugu ilikuwa ni kujikuna sehem za siri kwa7bu ya fungus kutokana NA shida ya maji MTU alikuwa anaoga ikifika ijumaa au jmos akiwa anadrop kwenda town maji pale yalikuwa ya pond...

2. Tulikuwa NA kawaida ya kuwa NA magroup ya wanafunz wasiozid 10 katika kugawana chakula,wali au ugali NA mboga zinajazwa kwenye sufuria mbili kubwa kisha anateuliwa mmoja kuwagawia member wa group ambao sahan zao zimetandazwa chini....sasa siku nikachelewa dining bwana alafu ilikuwa siku ya wali nyama(ilikuwa kama sikukuu Siku hii maana attendance inakukuwa nzur hata wale watoro waliokubuhu wanakuwepo) ...Baada ya kukosa kwenye group letu nikaona kuna group linatafuta chimbo ili waanze kugawana menu ikabidi niunge walipotandaza sahaan chin NA mm nikaweka yangu katkat ....Bas yule group leader(jamaa nahis alikuwa NA roho ya Nduli) maana alisambaza chakula Sahan zote tena zimejaa mpaka zinamwagika nyama tatu tatu huku sahan yangu ikiwa nyeupe haina kitu, nilipomuuliza kwann imekuwa hivyo jamaa akanijibu " group letu mzamiaji hana nafasi" daah ikabid niwe mpole tu
Hahahhahaaahhaa mkuu umenichekesha sana.Pugu ilikuwa ni balaa aisee..
 
Nilisoma shule moja hivi O Level yangu..

Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.

Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.

Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.

Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...

Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..

Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...

Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
zamu yako ilikuwaje mkuu
 
Nilisoma shule moja hivi O Level yangu..

Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.

Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.

Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.

Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...

Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..

Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...

Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
zamu yako ilikuwaje mkuu
 
1.Nilikua nasingizia naumwa ili tu nisiende darasani nilale bwenini

2.siku ya entertainment kuna mziki kila mtu anakua na demu wake.

3.kucheza kamari bwenini.

4.tulitaka kuchoma shule kisa mwenzetu alizidiwa usiku bila kupata msaada wowote na vurugu ilitokea kubwa walinzi na bunduki zao walituogopa wakawa wapole.
Hiyo ya kuumwa nami nimefanya sana
 
Kuna kale katabia ka wavulana kuruka ukuta(tena mrefu na umepakwa rangi ya mafuta) kwenda kuangalia mechi kipindi cha ligi za ulaya zile zinazooneshwa usiku...halafu sasa siku moja bwana headmaster akajua watu wametoroka akatinga mtaani kuwasaka, jamaa wakasikia MASTER anakuja( alikuwa mmasai mrefu sana), wakatoka nduki tena sio kupitia mlangoni, lilikuwa banda la mabati, kwa hiyo wakalivunja kwa kusukuma mabati ya pembeni paa likashuka chini mwaaa...
Sijui wakiwa wazazi watakuwa wanawaambia watoto wao wasitoroke masikini wakati wao walikuwa vinara!
 
Nachokumbuka cha kusikitisha nilifiwa na mwanangu mimi nalala kitanda cha juu yeye chini kwenye Deka aliugua tumbo tu kama masihara akaenda nyumbani karudi shule kapona kumbe ndio anaondoka hivyo ,R.I.P Brother Mungu akipenda tutaonana tena.

Msosi kujazwa mafuta taa

Mengine ni ya kawaida kama kuwafulia mabraza wa form Six na Five ....kupewa sh 50 ukanunue mkate mzima,soda ,na change ibaki mkate wakati huo ulikua 400

Na Disco zetu za mchana na watoto wa Machame Girls ,Kibosho Girls,St Marygoreth,Weruweru nk

P.O.Box inaitwa sijui Lee Pax ,Barua za watoto wa Machame,Marygoreth nk basi kidume ukiitwa assemble kupewa barua yako kichwa kinakua kikubwa (Ujiko) ndani ya barua yenyewe hamna kitu ni kiss before you open ...na makopa kopa tu .....
Ulitokea ugomvi jamaa mmoja wa Six alikula mke ya mwanakijiji akakamatwa akachezea kichapo kesho yake jioni Mungu ndio anajua ,jamaa walitugawa kwenye platoons kikosi kikasonga mbele kwenda kijijini ,wanakijiji walichezea kichapo siku tatu mfululizo ,Jamaa wa CCP wakashindwa tuliza mtiti siku ya nne defender kama 30 hivi zikazingira shule ndio msala ukazimwa
 
Nyama ilikuwa ni siku ya graduation tu shule moja ya serikali boys IR,maharage daily.
 
Mwezi dume unatafuta hata kipande cha sabun shule nzima unakosa.
Ukiingia chooni unavua nguo zote kwanza kisa harufu kali vyooni
Kutoroka na madishi siku ya nyama na wali na kutokomea nayo porini.
Kuna jamaa alikua kiranja wa msosi siku ya nyama anachukua nyama kwenye kindoo na kuuza kinyango shs 200
Ukienda na mkate shuleni wewe ni mfalme..

Mkuu hii ya harufu nafuu!!!! Sisi kipindi cha masika tulikuwa tunavua nguo kukwepa harufu; ukiingia msalani unatandaza gazeti juu ya tundu la choo. Unalikanyagia pande zote mvili; ukimaliza kushusha mzigo wako juu ya hilo gazeti na kujisafisha; unafungua mlango wa msalani, kisha unatoka kama risasi wakati mzigo uliopo juu ya gazeti ukishuka shimoni na ku-splash maji taka hadi juu ya bati la msalani🙂 Kwa kukosea timing na speed ya kutoka unajikuta umeoga kinyesi🙂
 
Tumeiba sana mahindi
Ya headmaster hadi tunakamatwa karibu shamba limeisha tunachomea kwenye shimo la taka kukamatwa faini laki mbili
 
Sie ilisomwa moja nakumbuka maneno haya

"""EWE MPENZI WANGU ULIEUMBWA KWA SURA NA MFANO WA BIKIRA MARIA NIBUSU NA MIMI NIKUBUSU MAANA BUSU LAKO LANOGA KULIKO MZINGA WA NYUKI... ""

Sisahau mpaka leo hapo tulikua fom 1..... Ha ha ha ha spati picha voko za kijana yule kwa sasa
Hahhahahah kuna vijana ni hatari kwa kutongoza mwee
 
Mwezi dume unatafuta hata kipande cha sabun shule nzima unakosa.
Ukiingia chooni unavua nguo zote kwanza kisa harufu kali vyooni
Kutoroka na madishi siku ya nyama na wali na kutokomea nayo porini.
Kuna jamaa alikua kiranja wa msosi siku ya nyama anachukua nyama kwenye kindoo na kuuza kinyango shs 200
Ukienda na mkate shuleni wewe ni mfalme..
Mambo ya kutoroka na madishi ya nyama nimeyafanya sana.

Nyie hamkuwa mkichunga ng'ombe?
Siku ya zamu yenu ya kuchunga ng'ome, mkijisikia hamu ya kula nyama, mnamsakizia ng'ombe jalalani akale mifuko ya rambo.
Akila tu, ujue kesho yake anachinjwa.
Tushaua sana ngo'mbe wakati nasoma boarding.
Nakumbuka siku ya visiting day....mgeni wako akija na lile 'shangazi kaja' utatembea nalo kichwani siku nzima ili uonekane kuwa tajiri siku hiyo.

Ila sie shule yetu ilikuwa na uchawi sana.
Waweza amka usiku uende kukojoa, ghafla unakutana na watu wamevaa nguo nyeupe wanaenda kuzika saa 9 usiku.
inabidi usizi mpaka wapite.

Boarding raha sana....hasa ukiwa mtemi.
CC: MMAHE
Unakumbuka wale misukule kule shamba la mikorosho?
 
Kuombana vitu vidogo vidogo kama maandazi yaani vitu ambavyo kitaa huwezi fanya.Kiandazi kidogo tu na mshikaji naye utakuta anaomba naye apewa eti akatiwe.
 
Mwezi dume unatafuta hata kipande cha sabun shule nzima unakosa.
Ukiingia chooni unavua nguo zote kwanza kisa harufu kali vyooni
Kutoroka na madishi siku ya nyama na wali na kutokomea nayo porini.
Kuna jamaa alikua kiranja wa msosi siku ya nyama anachukua nyama kwenye kindoo na kuuza kinyango shs 200
Ukienda na mkate shuleni wewe ni mfalme..
Mkuu hiyo shule ipo Maeneo ya Kilimanjaro(Mwanga )au mbona kama ndo niliyosomea..??
 
Dah..miaka hiyo hostel ya jitegemee pale hakuna sheria kivile,masomo ya usiku mnachanganywa girls na boys,afande akiita roll call ya saa 4 watu wengi wanaenda bwenini kulala..wachache wenye mambo yao wanabaki,basi Mida ya kuanzia saa 5 usiku ni hatari mana mitungo ilikua inatokea mara kwa mara,sana sana siku za weekend!

Mungu nisamehe sikuwahi kushiriki(angalau nilikua nashuhidia ktk maficho) baadhi ya mitungo,sasa mwaka Fulani akaja kigoli moja kidato cha kwanza,white,cute..mtoto mbichi,one day kipindi tunakaribia kufunga shule,kakaingia ktk 18 za wahuni,tena walikua form three wakakapiga mtungo zaidi ya watatu...lakini issue I kugundulika na matron wao,mana Hao jamaa walikafanya sanaaaaa nahisi,kesi yake ilikua kubwa sana mana unaonekana mzazi wa Yule binti alikua na Cheo jeshini,na shule ya jeshi!!walifukuzwa kuanzia walioshiriki tukio mpaka walio piga Chabo bila Kula(nashukuru sikuiyo sikua lindo)

Sema sikuhizi sheria kibao..hayo mambo hamna pale,afande ORANDO anafanya yake.
 
sana tuu...ila kiboko ya yote ni nyeto ya kutumia nzi...dah
1.Dah sitosahau nyeto ya papai au mende ndani ya mto
2. form one unauwangalia mti wa mapeasi ulusiwi ata kuokota likiwa limeanguka
Form 2 unaluhusiwa kuokota na kumpelekea form 3 au form 4. Na form 3 analuhusiwa kuokota na kula kama form 4 hayupo, ila form 4 analuhusiwa kuokota na kutungua na kula. Gambian
 
Back
Top Bottom