Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Daaaah mie nakumbuka siku ya kwanza tu mshua ananiacha skuli baada ya dk5 naibiwa viatu
Pia nakumbuka ule uji tuliokuwa tukinywa sukari tunaipata kwa hisia tu
Siku ya disco tulikiwa tunaenda kijiji cha jirani kunyoa nywele tunaenda lundo kama mtu hamsini hivi
Wizi wa karanga kwa wanakijiji
Kujisaidia kwenye mashamba ya wanakijiji
Nakumbuka siku moja jamaa yetu mmoja alikamatwa anadigi kwenye shamba la mwanakijiji basi alibebeshwa kinyesi chake mpaka assembly
Nakumbuka miaka ile kuoga ilikuwa ni dhambi
Uniform ni nyeupe lakini baada ya wiki kadhaa zinakuwa km sare za magereza
Weekend kuzama mnadani kunywa gongo huko huko tunakutana na walimu wetu lkn hawakufanyi kitu wanasema ya kaisati muachie kaisari...Lakini kiukweli maisha ya boarding yamenibadilisha sana ktk maswala ya kugangamara
 
1.Mkianza ubishi bwenini ni mpaka asubuhi.
2.Jumapili wali,unakutana na raia wana ndoo ya maji ya lita kumi kama mbili hivi.Moja inawekwa wali na ya pili nyama halafu zinapelekwa chemba wakirudi wanakuta ndoo zote hamna.
3.Siku ikakosewa ikapikwa pilau basi ujue hapo lazima ngumi zitazuka
4.Code za kuitanaa usiku mkiwa mmetoroka kwenda kwa kijiji,codes hizo zilikuwa zinatumika mita kadhaa..ukiita ukisikia kimya hicho sio kikosi chako potea haraka saaana.
5.Wizi wa kuruka kitanda kimoja kimoja.Huo ulikuwa hautabiliki
5.Choo kimoja kinatumika na shule nzima,hapo mgomo wa kuzibua vingine.
6.Unaiba kuku wa walimu then wanafungiwa kwenye ndoo usiku saa nane mapishi yanafanyika.Wanaamshwa wale wafuasi tu.
 
Makongo;

Kuna mtu alikuwa mtata sana anaitwa Afande Miraji(RIP) alikuwaga NA kawaida ya kupita kitaan kwetu saa 1 usku kila akiwa anatoka job kwake Makongo sec school ...sasa mzee wangu NA mm mili ilikuwa inaendana kdgo alikuwaga naye mjeda NA alikuwa anapenda sana kukaa nje mida hiyo usiku....siku Miraji alipopita nikiwa nimekaa mm pale nje mzee hakuwepo jamaa akatoa shikamo kama kawaida yake NA mm nikaitikia marahaba kumbe akaishtukia ile saut sio ya mshua akaenda zake kimya kimya ...kesho yake jamaa alikuja nichomoa darasan akanipeleka ofisin kwake niliporud joints zote mwilin hazifany kaz maana push ups,kichura chura ndio zilikuwa adhabu zake wiki nzima najisaidia aja kubwa nimesimama maana kuchuchumaa siwez ,...Bas toka siku hiyo nikawa sikae nje ya home kwetu ikifika SAA 1 usku

Kigonsera Sec School

1.Kulikuwaga kuna kajamaa kamoja kutoka Mbeya kalikuwa kanawaingilia wanaume wenzake kishirikina,Aliweza kuwaingilia wanafunzi wengi sana(Mm hakuwahi nigusa hata chembe)...Sasa siku akaingia anga za dogo mmoja (nahisi naye alikuwa ninja ) kutoka Rukwa ndipo alipodakwa kichapo alichopata nusu wamuue ikabid baadae wamuhamishe shule ndio ikawa salama yake

2. kuna Teacher mmoja Yank flan hiv alikuwa anatoka Songea mjin anakuja Mbnga(kigonsera) kutupigia practical za chemistry NA Bios NA kesho yake anageuza, Yy alikuwa rafik wa wanafunzi kwahiyo akawa analala kwenye madom ya wanafunz ...Kulikuwa kuna Teacher mmoja kila ikifa SAA 12 kasoro anapita Dom hadi Dom kuamsha wale ambao hawajasmka, NA kawaida yake akiingia tu akakukuta umelala anatandika bakora hapo hapo juu bila hata kukustua ww unakuja shtukia kitu paaah! ...Sasa siku akaingia room ambapo teacher alikuwa kalala NA wanafunz ndan ahahahahaha jamaa alimtandika fimbo moja ya nguvu yule mwalimu akiwa usingzin ,teacher ikabid apige kelele "mm mwalimu wa practicaaaaaal sio mwanafunz"

Pugu Sec School.

1.Baada ya kukimbia Kigonsera kutokana NA barid Kali nikajiunga Pugu.....Huku identity ya kwamba huyu ni mwanafunz wa Pugu ilikuwa ni kujikuna sehem za siri kwa7bu ya fungus kutokana NA shida ya maji MTU alikuwa anaoga ikifika ijumaa au jmos akiwa anadrop kwenda town maji pale yalikuwa ya pond...

2. Tulikuwa NA kawaida ya kuwa NA magroup ya wanafunz wasiozid 10 katika kugawana chakula,wali au ugali NA mboga zinajazwa kwenye sufuria mbili kubwa kisha anateuliwa mmoja kuwagawia member wa group ambao sahan zao zimetandazwa chini....sasa siku nikachelewa dining bwana alafu ilikuwa siku ya wali nyama(ilikuwa kama sikukuu Siku hii maana attendance inakukuwa nzur hata wale watoro waliokubuhu wanakuwepo) ...Baada ya kukosa kwenye group letu nikaona kuna group linatafuta chimbo ili waanze kugawana menu ikabidi niunge walipotandaza sahaan chin NA mm nikaweka yangu katkat ....Bas yule group leader(jamaa nahis alikuwa NA roho ya Nduli) maana alisambaza chakula Sahan zote tena zimejaa mpaka zinamwagika nyama tatu tatu huku sahan yangu ikiwa nyeupe haina kitu, nilipomuuliza kwann imekuwa hivyo jamaa akanijibu " group letu mzamiaji hana nafasi" daah ikabid niwe mpole tu
hapo makongo na mm nimesoma aise afande miraji alikua ni shida tupu pia kuna babu chacha naye alikua matata sana aise alikua anapenda kuwabusu wanafunzi wa kike
 
Hahaha,

O' Level.

1. Picha linaanza nimefika form one baada ya kukabidhiwa kitanda tuu, nikaibiwa ndoo niliyokuja nayo. Nikaitafuta nikaikuta bweni jingine, kuichukua ile kuifikiaha tuu na kujipindua nikakuta ndala na ndoo vimeibwa tena. Daah, watu form six waliokuwa wamebaki likizo (maana form one tulikuwa tunawahi wiki kabla kabla wengine hawajafungua shule ili tuzoee mazingira) wakaniambia hayo ndo maisha. Na wewe tafuta wa kumuibia.


2. Kuna siku tulikula panya, panya aliingia katika unga, wakati wanamimina unga katika masufuria ya ugali panya yumooo. Aisee tukagoma na shule ilifungwa.


3. Sisahau kwenda kuchunga ng'ombe kuna ng'ombe tulimtegua mguu ili aumwe achinjwe tule nyama.


4. Kuchanja kuni ilikuwa ni shughuli iliyonikera sana.


5. Kuna siku ulipikwa wali tukapiga addition, tukawa na wali kama mabakuli matatu hivi. Sitosahau ule wali tuliula kwa siku 3. Kazi ilikuwa ni kuuanika juani tuu. Hahahaa. Hatukuumwa wala nini.


5. Kupitisha wiki bila kuoga wala kupiga passport ilikuwa ni kawaida sanaa kwa maisha yale.


6. Kuna siku ilikuwa sherehe ya walimu. Zikapikwa nyama roast, wakateua wanafunzi wabebeb wawapelekee walimu. Raia tulitoroka na hotpot moja lililokuwa full nyama. Ila hatukushtukiwa.


7. Jumatatu ilikuwa ni siku ya kusoma barua zilizpletwa. Mimi ilikuwa sijawahi kutumiwa barua. Nikaona isiwe tabu, nikaenda zangu mjini nikajitumia barua kwa stempu ya kufoji ili na mimi nioshe. Hahahahaaa.


8. Bweni zima kunukia perfume moja siku ya sherehe ilikuwa jambo la kawaida maana unakuta bweni zima mwenye perfume ni mmoja.

9. Kulala na uniform ilikuwa ni jambo la kawaida kwangu.

Advance.
1. Baadhi ya vitu niliacha. Nikaongezea vingine. Utoro wa kwenda mitaani kutafuta vyakula, kuangalia mpira na picha za ngono vibandani.

2. Kuvuta likizo mwezi mzima, na kuwahi kuondoka shule mwezi mzima kabla ya tarehe official kufungwa.

3
 
U
Makongo;

Kuna mtu alikuwa mtata sana anaitwa Afande Miraji(RIP) alikuwaga NA kawaida ya kupita kitaan kwetu saa 1 usku kila akiwa anatoka job kwake Makongo sec school ...sasa mzee wangu NA mm mili ilikuwa inaendana kdgo alikuwaga naye mjeda NA alikuwa anapenda sana kukaa nje mida hiyo usiku....siku Miraji alipopita nikiwa nimekaa mm pale nje mzee hakuwepo jamaa akatoa shikamo kama kawaida yake NA mm nikaitikia marahaba kumbe akaishtukia ile saut sio ya mshua akaenda zake kimya kimya ...kesho yake jamaa alikuja nichomoa darasan akanipeleka ofisin kwake niliporud joints zote mwilin hazifany kaz maana push ups,kichura chura ndio zilikuwa adhabu zake wiki nzima najisaidia aja kubwa nimesimama maana kuchuchumaa siwez ,...Bas toka siku hiyo nikawa sikae nje ya home kwetu ikifika SAA 1 usku

Kigonsera Sec School

1.Kulikuwaga kuna kajamaa kamoja kutoka Mbeya kalikuwa kanawaingilia wanaume wenzake kishirikina,Aliweza kuwaingilia wanafunzi wengi sana(Mm hakuwahi nigusa hata chembe)...Sasa siku akaingia anga za dogo mmoja (nahisi naye alikuwa ninja ) kutoka Rukwa ndipo alipodakwa kichapo alichopata nusu wamuue ikabid baadae wamuhamishe shule ndio ikawa salama yake

2. kuna Teacher mmoja Yank flan hiv alikuwa anatoka Songea mjin anakuja Mbnga(kigonsera) kutupigia practical za chemistry NA Bios NA kesho yake anageuza, Yy alikuwa rafik wa wanafunzi kwahiyo akawa analala kwenye madom ya wanafunz ...Kulikuwa kuna Teacher mmoja kila ikifa SAA 12 kasoro anapita Dom hadi Dom kuamsha wale ambao hawajasmka, NA kawaida yake akiingia tu akakukuta umelala anatandika bakora hapo hapo juu bila hata kukustua ww unakuja shtukia kitu paaah! ...Sasa siku akaingia room ambapo teacher alikuwa kalala NA wanafunz ndan ahahahahaha jamaa alimtandika fimbo moja ya nguvu yule mwalimu akiwa usingzin ,teacher ikabid apige kelele "mm mwalimu wa practicaaaaaal sio mwanafunz"

Pugu Sec School.

1.Baada ya kukimbia Kigonsera kutokana NA barid Kali nikajiunga Pugu.....Huku identity ya kwamba huyu ni mwanafunz wa Pugu ilikuwa ni kujikuna sehem za siri kwa7bu ya fungus kutokana NA shida ya maji MTU alikuwa anaoga ikifika ijumaa au jmos akiwa anadrop kwenda town maji pale yalikuwa ya pond...

2. Tulikuwa NA kawaida ya kuwa NA magroup ya wanafunz wasiozid 10 katika kugawana chakula,wali au ugali NA mboga zinajazwa kwenye sufuria mbili kubwa kisha anateuliwa mmoja kuwagawia member wa group ambao sahan zao zimetandazwa chini....sasa siku nikachelewa dining bwana alafu ilikuwa siku ya wali nyama(ilikuwa kama sikukuu Siku hii maana attendance inakukuwa nzur hata wale watoro waliokubuhu wanakuwepo) ...Baada ya kukosa kwenye group letu nikaona kuna group linatafuta chimbo ili waanze kugawana menu ikabidi niunge walipotandaza sahaan chin NA mm nikaweka yangu katkat ....Bas yule group leader(jamaa nahis alikuwa NA roho ya Nduli) maana alisambaza chakula Sahan zote tena zimejaa mpaka zinamwagika nyama tatu tatu huku sahan yangu ikiwa nyeupe haina kitu, nilipomuuliza kwann imekuwa hivyo jamaa akanijibu " group letu mzamiaji hana nafasi" daah ikabid niwe mpole tu
Ungeenda kula walikwa mama pendo, au mihogo mwisho wa lami
 
Nakumbuka ile siku ya wali basi ikitokea mmepata wali mwingi inakuwa mazoezi kuumaliza! Tulikuwa tunakula sana and then tunapumzika kwa kuruka ruka huku tukituzunguka pale ndani ili ule wali tuliokula upate kujishindilia vizuri ipatikane space tumboni kabla ya kuanza round ya pili!
 
1.Dah sitosahau nyeto ya papai au mende ndani ya mto
2. form one unauwangalia mti wa mapeasi ulusiwi ata kuokota likiwa limeanguka
Form 2 unaluhusiwa kuokota na kumpelekea form 3 au form 4. Na form 3 analuhusiwa kuokota na kula kama form 4 hayupo, ila form 4 analuhusiwa kuokota na kutungua na kula. Gambian
Ni Unaruhusiwa.. sio Unaluhusiwa
 
Dining kuvaa viatu kwangu ilikuwa ilikuwa ngumu sana
Mihogo maghorofani
Jumanne wali nyama mchana, alhamisi mchana ugali nyama,
Jumamosi wali maharage usiku
Jumapili mchana wali nyama na ndizi au machungwa
Nikapata uongozi form 2, km Dom leader walinipa kwa kunikomoa sababu ya utundu wangu,nikajikuta Dom zima wananipa kura,
Asubuh resprection mitundiko haitakiwi dirishani viatu vipangwe vizuri chini ya kitanda space imedekiwa vizuri
Jumamisi ndo balaa usafi was kufa MTU, ploti imefyekwa, space imedekiwa bado zamu zako za mwezi, nilikuwa siipendi hiyo siku. Sintakaa nisahau kuna, kuna mabint walitoroka walienda Moro hotel ( shimoni) kulikuwa na semina kuna TV moja kwenye habari waliwatoa wale mabint walimu waliwaona SAA 3 tukapigiwa kengere woote rokoo, kucheki wadada hawapo ikawa msala kwa viongozi wooote.
 
Hii nakumbuka sana,nilivyofika form one, siku nimeenda prepo washkaji wa form three wakaja bwenini kwetu wakapiga tranka langu kipepeo wakaiba vijisenti kidogo.

Nilivyorudi nikakasirika sana, nikafanYa uchunguzi nikawagundua. Nikavizia siku form three wameenda shambani nikaingia bwenini kwao nami nikafungua matranka yao hao washkaji wawili.

Nikakuta hamna cha kuiba, hivyo nikaamua tu Kunya na kukojoa humo then nikasepa...
Dah! Nimecheka sana
 
Ukiskia madoja sasa mm ndio nilkua rais wao.
Doja la kimataifa kukaa assemble mara moja kwa wiki.
Kuingia darasan mpaka niskie kuna paper.
Coz shule yetu ilkua porin karbu na mpaka wa burund, bac mapind yang yote kwa por huku nikijiburudidha na ndiz pamoja na maparachich na bang kwa mbal.
Kumchapa fimbo kiongoz yoyote mnaa kwa maticha.
Alaf walichokua wanashangaa sasa matokeo yakibandikwa ubaon nmewaburuza.
 
Dah..miaka hiyo hostel ya jitegemee pale hakuna sheria kivile,masomo ya usiku mnachanganywa girls na boys,afande akiita roll call ya saa 4 watu wengi wanaenda bwenini kulala..wachache wenye mambo yao wanabaki,basi Mida ya kuanzia saa 5 usiku ni hatari mana mitungo ilikua inatokea mara kwa mara,sana sana siku za weekend!

Mungu nisamehe sikuwahi kushiriki(angalau nilikua nashuhidia ktk maficho) baadhi ya mitungo,sasa mwaka Fulani akaja kigoli moja kidato cha kwanza,white,cute..mtoto mbichi,one day kipindi tunakaribia kufunga shule,kakaingia ktk 18 za wahuni,tena walikua form three wakakapiga mtungo zaidi ya watatu...lakini issue I kugundulika na matron wao,mana Hao jamaa walikafanya sanaaaaa nahisi,kesi yake ilikua kubwa sana mana unaonekana mzazi wa Yule binti alikua na Cheo jeshini,na shule ya jeshi!!walifukuzwa kuanzia walioshiriki tukio mpaka walio piga Chabo bila Kula(nashukuru sikuiyo sikua lindo)

Sema sikuhizi sheria kibao..hayo mambo hamna pale,afande ORANDO anafanya yake.
Hahaha Orando katutesa sana.... especially wale tuliokuwa wala flight.. pale ukuta wa salvation army . Sema nn maisha yalikuwa ka mission ivi kila siku.....
 
Daaah ile tabia ya kuibiana kamba za viatu na soksi asubuhi ilikuwa hatari Hahaha haha...
 
1.tulikuwa tunachukua nyanya na viazi nakwenda kwenye poli la shule nakuni kupika Chui
2.wanafunzi wa boarding kuwaibia wale form one peanut butter siagi dawa ya mswaki pocket money navengine kwenye trucker
3.kwasababu tulikuwa karibu na beach tunatoroka kila time yajioni kwenda kuogelea na kula samaki kama unamkwanja sikuhio
4.kupiga kelele usikuu kisha patron akija nafimbo watu Libya
5.kutege prepo na Rafsanjani
6.kusingizia unaumwa ili uende home
 
hapo makongo na mm nimesoma aise afande miraji alikua ni shida tupu pia kuna babu chacha naye alikua matata sana aise alikua anapenda kuwabusu wanafunzi wa kike
Anawafinyanga finyanga usoni kisha anawabusu ahahahaha....usio akukute sehem sio hyo Babu Chacha utakula fimbo zisizo. NA idadi aisee
 
U
Ungeenda kula walikwa mama pendo, au mihogo mwisho wa lami
Ahahaha Mama P...si mpaka uwe NA hela mkuu? Huko mwisho wa Rami tulikuwa tunaenda tafuta totoz usiku baada ya kula,kuna mshikaji wangu mmoja aliopoa Dada mmoja nyt alipokutana naye kesho yake mchana jamaa kamkimbia demu anasema sio mwenyewe maana mademu wa mwisho wa Lami usiku wanan'gaa ila usiombe ukutane nao mchana utajuta kwann ulilala nae usiku walivyokomaa sura
 
ctasahau cku nlipotoroka bwenin nkaenda kulala geto kwa demu, iltakiwa nrud sa 11 alfajir ila ukatokea ujambaz pale kjijin wakakamatwa wakauawa. wenzangu bwenn wakajua huenda na mm nmeuawa kwa bahat mbaya, hof ikatanda na mimi kwa hof ckutoka nje nkashnda mule geto kutwa nzma had sa6 nkarud bwenn vjana wana hof balaa
 
Ukiskia madoja sasa mm ndio nilkua rais wao.
Doja la kimataifa kukaa assemble mara moja kwa wiki.
Kuingia darasan mpaka niskie kuna paper.
Coz shule yetu ilkua porin karbu na mpaka wa burund, bac mapind yang yote kwa por huku nikijiburudidha na ndiz pamoja na maparachich na bang kwa mbal.
Kumchapa fimbo kiongoz yoyote mnaa kwa maticha.
Alaf walichokua wanashangaa sasa matokeo yakibandikwa ubaon nmewaburuza.
Mkuu kweli tofauti ipo kwa baadhi ya viumbe, wakati wewe unadoji, wengine tulikua tunabundi. Jamaa angu alikua HP, sasa yeye alikua na ofisi yake. Tukaigeuza ofisi yake kama chimbo la kupigia buku. Yaani tunarudi bwenini kulala saa 9, watu wengine washalala. O level hiyo mkuu. Msuli wake haukua wa kitoto.
 
Mkuu kweli tofauti ipo kwa baadhi ya viumbe, wakati wewe unadoji, wengine tulikua tunabundi. Jamaa angu alikua HP, sasa yeye alikua na ofisi yake. Tukaigeuza ofisi yake kama chimbo la kupigia buku. Yaani tunarudi bwenini kulala saa 9, watu wengine washalala. O level hiyo mkuu. Msuli wake haukua wa kitoto.

Kuna jamaa siku ya NECTA form 2 alitoboa akaja kulala saa 11 alfajiri, matokeo yake akaja kuamka saa 5 asubuhi baada ya kelele za tuliotoka kwenye pepa kuanza kusikika mitaa ya bwenini. hahahahaaaa
 
Back
Top Bottom