Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
Sana mkuuMA- Meal & Accomodation
BS - Book & Stationary
FPT - Field Training Practical
SFR - Special Faculty & Research
Kama sijakosea
Sana mkuuMA- Meal & Accomodation
BS - Book & Stationary
FPT - Field Training Practical
SFR - Special Faculty & Research
Kama sijakosea
Mkn mkuuvilefu vyake sivijui ila kuna hela ya field hapo, stationary na special faculty.. utaelewa ukifika chuo
Nipe contact zaooKuna Manzi wawili nimemaliza nao six mtakuwa pamoja HR huko Mbeya.



Iliyopita mkuuAllocation hyo ni ya Leo au iliyopita.?
MknBS ni book and stationery huwa ni 200k
Coz gan unachukua mkuuMe nimepata 377,000 mkuu
Wildlife mkuuCoz gan unachukua mkuu
Mtajuana tu huko mkuu, pale idadi ya HR ni ndogo.Nipe contact zaoo![]()
Hongera, autajutaSUA hapa Agricultural Economics
Kwa miaka yetu ilikuwa haingizwi pamoja na boom la kwanza so viongozi walikuwa watuma request then mwaka 2 ndo ilikuwa inatolewa na huwa inatofautiana kiwango kutoka programme moja kwenda nyingine.....Wakuu habari zenu
Kuna Jambo linanisumbua nahitaji kueleweshwa
Hivi pesa ya SFR(Special faculty requirements) huwa inaingizwa kwa pamoja na ile pesa ya Booom?
Msaada wenu wajuvi![]()
Ahaaa hawajakosea kumbe.....nyie mtakua na SFRWildlife mkuu
Ahaa Ntakuwekea ulinzMtajuana tu huko mkuu, pale idadi ya HR ni ndogo.



Daaah mwaka wa kwanza BS nimelamba 0.Bumu la kwanza huwa unapewa meals and accomodation pamoja na book and stationery ila special faculty huwa ni second semester ndo huwa inaanza kutolewa
Nenda kasome Dogo chuo baba lao hilo!Sokoine university of Agriculture hapa![]()
Ulisoma wapi mkuu?Nenda kasome Dogo chuo baba lao hilo!