First Year 2020/ 2021 tukutane hapa

First Year 2020/ 2021 tukutane hapa

Ifm mwaka wa kwanza, wanaanza ln?
Mana baadhi ya vyuo wamebadiri tarehe.
 
Guys nimeamua ku create group la first year la UDSM baada ya kuomba sana bila kupewa majibu yoyote. Karibuni tusaidiane mambo mbalimbali kama vile kujaza fomu na mambo mengine.join link ipo chini hapo

 
Nimechaguliwa kujiunga rucu bachelor of law ,ila kuna swali moja je hela ya boom inakuja muda gani baada ya kufanya usajili
 
Guys mwenye link ya sua first year sie wengne ndo karibun tunaenda inshallah
 
Habari wakuu!

Niwapongeze wote waliochaguliwa vyuo mbalimbali Tanzania, You guys you have made it, Bingo!

Pia, niwape pole kwa waliokosa chuo, maisha ni safari na kila kitu kinasababu zake, tujifunze kushukuru kwa kila jambo.

Nimechaguliwa kusoma sheria, Chuo kikuu cha Dodoma, Namshukuru Mungu nikatimize ndoto.

Nawakaribisha wote humu, mkutane na watu mnaoendana kwa fani mlizochaguliwa, NETWORKING ni MUHIMU SANA.

Jitambulishe Chuo ulichochaguliwa na Course unayoenda kusoma.

Karibuni wote!
Madogo mwaka huu Wana bahati mbaya ,bahati yao Ilikuwa Kipind wako Form Four 2018 Baada ya hapo ni tabu tubu ,Mkopo wamenyimwa
 
Back
Top Bottom