Torquemada
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 231
- 260
- Thread starter
- #41
Ha ha, Nitakuwa Wakili wa kesi yako!Mkianza masomo mnitag kuna mtu Nina kesi nae.tangu akiwa form 4.najua huko chuo nitampata ninsomee hukumu.
Ha ha, Nitakuwa Wakili wa kesi yako!Mkianza masomo mnitag kuna mtu Nina kesi nae.tangu akiwa form 4.najua huko chuo nitampata ninsomee hukumu.
Hongera Mkuu!Sokoine university of Agriculture hapa![]()
UDOM wametoa tangu 26, ADMISSION LETTERSizan kama kuna chuo kinatuma admission letter ving vinatoa joining instruction
Ndo inakua na maelezo ganUDSM tumepewa.
HR mkuuHongera mkuu!
Upo course gani?
Ndo inakua na maelezo ganUDOM wametoa tangu 26, ADMISSION LETTER
Sawa na yale yaliyopo kwenye joining instructionNdo inakua na maelezo gan
Udom kwenye requesting confirmation code, kwanini haiji kwenye emails?UDOM wametoa tangu 26, ADMISSION LETTER
Wapigie.. Uzumgumze naoUdom kwenye requesting confirmation code, kwanini haiji kwenye emails?
Mpaka leo nasumbuka kuconfirm
Ahaaa ko haina umuhimu sanaSawa na yale yaliyopo kwenye joining instruction
Tajeni na jinsia. Mimi ni Sponser.Habari wakuu!
Niwapongeze wote waliochaguliwa vyuo mbalimbali Tanzania, You guys you have made it, Bingo!
Pia, niwape pole kwa waliokosa chuo, maisha ni safari na kila kitu kinasababu zake, tujifunze kushukuru kwa kila jambo.
Nimechaguliwa kusoma sheria, Chuo kikuu cha Dodoma, Namshukuru Mungu nikatimize ndoto.
Nawakaribisha wote humu, mkutane na watu mnaoendana kwa fani mlizochaguliwa, NETWORKING ni MUHIMU SANA.
Jitambulishe Chuo ulichochaguliwa na Course unayoenda kusoma.
Karibuni wote!
Ahaa coz gan mkuunipo apa chifu
Ha ha, Nitakuwa Wakili wa kesi yako!
Kwani umeshapewa hiyo joining instruction?Ahaaa ko haina umuhimu sana
Huwa wanapewa kule Hall 7 kama sikosei mnaenda kujiandikisha kwa USAB, ila kunguni kama wote na mnakuwa mixed na all gendersHivi mwanafunzi akienda tarehe 16 UD halafu usajili unaanza tarehe 21 anaweza pewa chumba hostel kwa muda


Tarehe 23 November!Mnaanza lini masomo mwaka wa kwanza