First Year 2020/ 2021 tukutane hapa

First Year 2020/ 2021 tukutane hapa

Wale wa ifm kuna group then Najua utaratibu wote wa pale
 
Wakuuu ....naomba mnisaidie maana ya maneno niliyo yakuta kwenye ,,allocation ya bodi ya mikopo
1 MA
2.BS
3.FTP
4.SFR

1.MA means Meals & Accommodation
2. Books& Stationery
3. Field Training Practice
4. Special Faculty Requirements

NB kwa wanaofanya Research pia inaandikwa kiviake...
Ila kozi nyingi undergraduate hakuna research labda kwa special needs Education

Study hard
 
9

Kwa Sheria soma UD au TUMAINI iIringa (University of Iringa).

#YNWA
Mkuu Najua umesoma ila ujajidharirisha kusema Hivi!! Kwani hao wa UD na Tumaini wanasoma vitu gani ambavyo wa OUT au UDOM hasomi!??


Ajira zote huwa wanatangaza Must have a degree from any recognized Institute or College Sasa sijawahi kuona mahali wansema Wanataka waliotoka UD na Tumaini tu!!!
 
Mkuu Najua umesoma ila ujajidharirisha kusema Hivi!! Kwani hao wa UD na Tumaini wanasoma vitu gani ambavyo wa OUT au UDOM hasomi!??


Ajira zote huwa wanatangaza Must have a degree from any recognized Institute or College Sasa sijawahi kuona mahali wansema Wanataka waliotoka UD na Tumaini tu!!!
Kajivutia kwake!
 
Wakuuu ....naomba mnisaidie maana ya maneno niliyo yakuta kwenye ,,allocation ya bodi ya mikopo
1 MA
2.BS
3.FTP
4.SFR
SFR hii ni special faculty blah blah hizi ni pesa maalum kwa programme maalumu sio wote wanufaikaji wanaipata mfano doctors wanapewa hii kwa ajili ya kununulia vifaa maalumu vya taaluma yake mfano zile lab coat, boots, mask, na mengineyoooo
 
Mkuu Najua umesoma ila ujajidharirisha kusema Hivi!! Kwani hao wa UD na Tumaini wanasoma vitu gani ambavyo wa OUT au UDOM hasomi!??


Ajira zote huwa wanatangaza Must have a degree from any recognized Institute or College Sasa sijawahi kuona mahali wansema Wanataka waliotoka UD na Tumaini tu!!!
Watu wanaishi maisha ya kukariri tatizo halafu mtu unatakiwa kutambua mwisho wa siku uwezo wa mtu ndo utakufanya uishi mjini na sio kwa sababu umesoma sehemu fulani
 
Watu wanaishi maisha ya kukariri tatizo halafu mtu unatakiwa kutambua mwisho wa siku uwezo wa mtu ndo utakufanya uishi mjini na sio kwa sababu umesoma sehemu fulani
Ndio madhara ya kutofanya utafiti.

UDOM mwaka Jana,2019 iliibuka mshindi wa kwanza kwenye Moot Court Competition na ikapewa fursa kushiriki African International Competition on Humanitarian laws.

UDSM, Tumaini, Mzumbe, etc walipigwa chini.

Mtu anasema UDSM & Tumaini ni best kwa sheria, mbona walipigwa chini?
 
Wakuu habari zenu

Kuna Jambo linanisumbua nahitaji kueleweshwa

Hivi pesa ya SFR(Special faculty requirements) huwa inaingizwa kwa pamoja na ile pesa ya Booom?

Msaada wenu wajuvi
 
1.MA means Meals & Accommodation
2. Books& Stationery
3. Field Training Practice
4. Special Faculty Requirements

NB kwa wanaofanya Research pia inaandikwa kiviake...
Ila kozi nyingi undergraduate hakuna research labda kwa special needs Education

Study hard
Nmekupata mkuu
 
Back
Top Bottom