FIRST SHOPPER Grace Mugabe

Ndugu yangu Jmushi1'

Nakubaliana nawe kwa mambo mengi tu lakini naomba nikuulize swali moja tu- katika maswali yako yote uki'substitute' neno waingereza ukaweka akina Mugabe na wanavyokula na kusaza huku wananchi wao wakilala njaa, je, hii inakubalika?

Naomba nikupe mfano wa nchi yako mwenyewe. Tanzanite is the "new kid on the block" of the gemstone kingdom. Tanzanite iligundulika karibu miaka saba baada ya sisi kupata uhuru na miaka michache baadaye ikawa 'craze' ya dunia. Tanzanite haipatikani popote kwingine dunuani isipokuwa kenye vilima vya Mererani, Tanzania na ndiyo ikapewa jina hilo.

Kiwanda kikubwa sana duniani chenye wafanyakazi zaidi ya 700 kinachofanya biashara ya bidhaa zinazotokana na Tanzanite kiko India.

Kuna ndugu yangu moja karibu alie machozi alipokuta tangazo kwenye nchi moja ya Ulaya ikisema - Ukitaka kuona Kilimanjaro, visit Kenya.

Nchi jirani ya Rwanda ambayo haina mbuga za wanyama biashara kama ya tembo za ndovu zinawaingizia mipesa kibao.

Kwa kujibu swali lako na mimi nasema, nani aitetee Tanzania na hizi dhulma za India, Kenya, Rwanda, Uingereza, Marekani etc. Does this make any sense to you. The truth is tunajitafuna wenyewe halafu tunabaki tunalialia. Je, nchi kama Singapore zisizo na resources kama zetu hazikuwa koloni vilevile. UFISADI wa sisi kwa sisi ndio utatumaliza.

Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa!

Ila....SISI kuwa na matatizo hakutufanyi TUAMINI kuwa Bush na Blair wana nia nzuri na AFRIKA!

Nimeuliza maswali mengi ya muhimu lakini mnakwepa kwepa!

KUNA WATU WANGAPI AFRIKA AMBAO HAWANA ARDHI?
CHAKULA? ELIMU, MATIBABU?

Wangapi wanakufa kila siku AFRIKA?

WHO CARES?

Kama si MKABURU aliyeporwa mashamba...Then tungewasikia Bush NA BLAIR?

DARFUR Sudan wameporwa nini na wanafanywa nini?

Saddam Hussein aliyetekeleza sera zao za mauwaji....Nani mbaya?

Tsivangirai apewe silaha za kuwaangamiza wazimbabwe wasio na hatia simply because makaburu hao sasa ni kweli wana huruma na AFRIKA?

Kwanini ZIMBABWE?

NANI KAIFANYIA MUFLISI AFRIKA?

Kwanini walitupa dini peke yake na bila elimu ya kutufanya tuweze kuondokana na UMASIKINI?

Je...Tuendelee kuomba MUNGU TU na huku wakirudi UPYA AFRIKA?

Kweli MKUU TSIVANGIRAI AANZE KUUWA KWA AMRI ZA MAKABURU KWASABABU SASA WANATUPENDA SANA?

KWELI HUH?

NB:Kweli kama MUGABE ANGEKUWA MBAYA KAMA MNAVYOTAKA TUAMINI..THEN ANGESHINDWA VIPI KU KISS KICHAKA'S ASS JUST LIKE OUR PRESIDENT DID?

Hata kama mnasema kawagawia mashamba marafiki zake baada ya kuwapora makaburu...Je unataka tuamini kuwa alishindwa kuwagawia na wazungu ili wamlinde?

Hivi unadhani MUGABE HAONI MBALI?

NYIE WAACHENI WAZALENDO WA KWELI!

MAANA WATU WENGINE WENYE MAWAZO TOFAUTI NA YA MUGABE WASINGEWEZA KUWAPATIA WAZIMBAWE UHURU!

THE GUY IS DEFIANT KWANI KESHAWACHEZESHA SANA!

WAZUNGU OFCOURSE WANARUDI UPYA KUGAWANA AFRIKA...
JE TUFANYEJE?

TUWASIKILIZE NA KUPOKEA SILAHA ZAO?

WAENDE WAO WENYEWE WAKAMTOE HUKO NA SI KUTUPIGANISHA!

Kama wana nia nzuri...KWANINI MASHAMBA HAYO WANALIMA VYAKULA KIBAO NA SISI TUNAKUFA NJAA?

KWANINI WA EXPORT VYAKULA NA KURUDI KUJIDAI WANATUPA MSAADA WA CHAKULA?

KWANINI WACHOTE RASILIMALI ZETU NA KUTUACHIA UFUKARA?

MADINI YETU SI KWAMBA TUNAUZA....TUNATOA BURE!

TUNASAFIRISHA MCHANGA NA HATUJUI THAMANI YAKE!

KAMA NI WATU WEMA NA WALIITAWALA HII AFRIKA...THEN WAPI MAENDELEO?

Tuna EXPORT RAW MATERIALS NA KUUZIWA MITUMBA NA VYAKULA VIBOVU SAMBAMBA NA MADAWA...NIA NZURI HUH?
 
Ndugu yangu Jmushi1'

Nakubaliana nawe kwa mambo mengi tu lakini naomba nikuulize swali moja tu- katika maswali yako yote uki'substitute' neno waingereza ukaweka akina Mugabe na wanavyokula na kusaza huku wananchi wao wakilala njaa, je, hii inakubalika?

Naomba nikupe mfano wa nchi yako mwenyewe. Tanzanite is the “new kid on the block” of the gemstone kingdom. Tanzanite iligundulika karibu miaka saba baada ya sisi kupata uhuru na miaka michache baadaye ikawa 'craze' ya dunia. Tanzanite haipatikani popote kwingine dunuani isipokuwa kenye vilima vya Mererani, Tanzania na ndiyo ikapewa jina hilo.

Kiwanda kikubwa sana duniani chenye wafanyakazi zaidi ya 700 kinachofanya biashara ya bidhaa zinazotokana na Tanzanite kiko India.

Kuna ndugu yangu moja karibu alie machozi alipokuta tangazo kwenye nchi moja ya Ulaya ikisema - Ukitaka kuona Kilimanjaro, visit Kenya.

Nchi jirani ya Rwanda ambayo haina mbuga za wanyama biashara kama ya tembo za ndovu zinawaingizia mipesa kibao.

Kwa kujibu swali lako na mimi nasema, nani aitetee Tanzania na hizi dhulma za India, Kenya, Rwanda, Uingereza, Marekani etc. Does this make any sense to you. The truth is tunajitafuna wenyewe halafu tunabaki tunalialia. Je, nchi kama Singapore zisizo na resources kama zetu hazikuwa koloni vilevile. UFISADI wa sisi kwa sisi ndio utatumaliza.

Mkuu mag3.
Nakubaliana na mengi uliyozungumzia isipokuwa hilo la dhulma. Katika dunia ya sasa ( hata ya kale) hakuna mtu atakayekuonea huruma kama wewe mwenyewe haunyeshi nia. WaKenya wakisema, njoo Kenya uone mlima Kilimanjaro hawajakosea. Mlima Kilimanjaro unaweza kuonekana kutoka Kenya! Ni lugha ya marketing. Kama sisi tumeshindwa kuu'market' kwa nini wao wasifanye hivyo? Mwenyezi ametubariki na kila aina ya vivutio lakini kwa usemi wa baba yetu, tumeukalia tu. Tuna mbuga kibao ingawa tunabanana na hiyo Seengeti tu. Tuna vivutio vya kihistoria, kuanzia Olduvai, Bagamoyo, ujiji, Lindi, Zanziba n.k. lakini hapana tunaangalia vikipotea. Tuna beach ndefu na nzuri pengine kuliko nchi yeyote katika upande huu wa Afrika, tumebakia kuigawa vipande vipande kwa wawekezaji bomu. Tuna visiwa kama mafia ambako kwa wanaopenda uvuvi kuna potential ya kila aina, tunaangalia tu wakati hata ka air strip kanakwenda na maji. Sisi ndio tunasifika kwa umahiri wetu wa lugha ya Kiswahili; ni waKenya wanaofundisha kiswahili huko ughaimuni. Tuna hiyo tanzanite lakini kwa imani yetu ya uzalendo tumewaachia hao wachimbaji wetu ambao wanaisafirisha kila siku kwenda Kenya na indi bila serikali kupata lolote. Hivi kuna juhudi gani ambazo tumezifanya kuwekeza kwenye gem-cutting technology? Hakuna. sasa tunategemea wateja watatungoja mpaka tutakapoamka wakati wahindi wanayo! Hatutaki kuweka plans. Hatutaki kuvumilia. Hatutaki kujifunza. Tunachotaka ni vya haraka haraka. Ndiyo maana yote haya yanatokea kwa sababu sisi tunaridhiki na vijisenti vinavyotangulizwa.

Mfano wa jinsi wenzetu walivyo wajanja ni Masai Barefoot Technology. Hawa jamaa wanatengeneza ndala za bei mbaya ambazo wanasema zimetokana na utafiti wa kata mbuga za Mmasai! Sidhani kama hao wamasai wamepata kitu. Nani sasa awaamshe kama sio sisi wenyewe! Mara ngapi umeona majina ya Ngorongoro, Serengeti n.k. yakitumika kuuza product? Majina ya kwetu haya lakini ole wako leo uende ukauze miwani inayoitwa serengeti (hata kama ni kwenu) kama haujaona cha mtema kuni! Tunashindwa nini kujifunza ili tuweze kumudu katika hii karne ya sasa?

Tukirudi kwenye hii mada. Wapuuzi kama huyu Grace wanabaka nchi zao na kupeleka mavuno yao haramu magharibi! Sisi, badala ya kuwafukuza, tunabaki kuzilaumu nchi za magharibi kwa kuwauzia nguo za bei mbaya! Kama ulivyosema" tunajitafuna wenyewe .............
 
Back
Top Bottom