Baada ya kukataliwa na wanawake wote nilio-waaproach, finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni/kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
Lengo la uzi halina maana ya kujikweza kwamba ni tajiri hapana, kutumia million 70 kwenye surrogate haina maana kwamba ni tajiri ni mpambanaji wa kawaida hata wakiambiwa matajiri watoke siwez toka, na mwisho lengo la uzi halina maana ya kutafuta wanawake nimeshaire na nyie sababu hii ni forum
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni/kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
Lengo la uzi halina maana ya kujikweza kwamba ni tajiri hapana, kutumia million 70 kwenye surrogate haina maana kwamba ni tajiri ni mpambanaji wa kawaida hata wakiambiwa matajiri watoke siwez toka, na mwisho lengo la uzi halina maana ya kutafuta wanawake nimeshaire na nyie sababu hii ni forum