Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Mkuu Usa hakuna Midrange za maana Nyingi, unapata Motorola na samsung kwa wingi kule. Chukua redmi note 9s kenya Hapo, kwa hio budget unapata mpaka ile version ya 128GB na 6gb ram.Mkuu kwa 500k unanishauri ninunue simu gani?