Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,597
- 5,185
Hii mzee haijakaa swa mara ulipishwe 5900 mara dollar moja (thaman kwa siku husika). Na mpka leo sio meneja wala mtumishi yeyote wa posta utamuuliza kuhusu hii akakujib jibu sahihi ni pesa ya nn na sometimes free kabisa ila tutafika tu kibingwaSijajua formula kusema kweli, ila siku unaitwa tu unaambiwa njoo na 2000 ya posta, unachukua mzigo. Nafikiri packaging pia hichangia.



