Finally nimepata Iphone 12 pro max!

Finally nimepata Iphone 12 pro max!

Tumia Amazon ama site za Uhakika za Usa zenye warranty, then tumia forwarding service yenye ofisi Tanzania ambao hata mzigo ukipotea wana refund, inaweza kuwa service za Aramex ama Fedex.

Na sidhani kama 12 mini unaipata kwa $399 unless unamaanisha Se

Mkuu aramex na Fedex kwa dar wapo wapi?
 
Chief hawa FedEx na Aramex wapo Dodoma kweli, nataka nijaribu kuwatumia na mimi.
Bei zao za kuship ni shida juzi tu nimeship kimzigo kina gram kama 400 kwenda U.K lakini nimekilipia 135,000
 
Sina uhakika Ofisi za fedex kwa sasa ila aramex wapo pembeni ya ocean Road mjini.
Shukrani mkuu, ila nahitaji ofisi au sehemu wanapotoa elimu ya manunuzi mtandaoni, maana Kuna vitu vingi nataka kuagiza ila nashindwa process zake
 
Wakuu hatimaye leo nimeipata iPhone 12 pro max 512GB!

Ni simu nzuri mno tofauti na nilivyoikandia hapa maana niliapa nitabaki kwenye 11 pro max!!

Display is much better than expected!!

Let's enjoy the world

Cheers!!
Ka picha mkuu, nakupongeza sana nami naitamani mno
 
Tumia Amazon ama site za Uhakika za Usa zenye warranty, then tumia forwarding service yenye ofisi Tanzania ambao hata mzigo ukipotea wana refund, inaweza kuwa service za Aramex ama Fedex.

Na sidhani kama 12 mini unaipata kwa $399 unless unamaanisha Se
Amazon hawatumi bongo mara nyingi
 
Amazon hawatumi bongo mara nyingi
Wanatuma siku nyingi tu, sema wanatumia dhl na premium shipping nyengine, kitu cha 50,000 gharama ya usafiri inaweza kuwa 200,000.

Ndio maana nimeshauri hizo service mbadala.
 
Back
Top Bottom