Mkuu umeagiza nje? Umeipata kwa bei gani maana mimi jana nimecheck iphone 12 mini kwa hapa Tanzania ikaja 1.7 mil nikaghairWakuu hatimaye leo nimeipata iPhone 12 pro max 512GB!
Ni simu nzuri mno tofauti na nilivyoikandia hapa maana niliapa nitabaki kwenye 11 pro max!!
Display is much better than expected!!
Let's enjoy the world
Cheers!!
Mimi sipendi simu kubwa sana mkuu napenda simu yenye ukubwa kiasi. maana niliona mini ilikuwa 399$ nikahisi labda kwa TZ haitazi 1.4 mil lakini nimechek jamaa flani wanauza vifaa vya apple nikaambiwa 1.72 ml nikaghairMkuu kwanini uchukue mini au unapenda vidogo?
Mimi nimenunua huku huku mbele.
Ahsante.
Mimi sipendi simu kubwa sana mkuu napenda simu yenye ukubwa kiasi. maana niliona mini ilikuwa 399$ nikahisi labda kwa TZ haitazi 1.4 mil lakini nimechek jamaa flani wanauza vifaa vya apple nikaambiwa 1.72 ml nikaghair
Ngoja nicheckKuna wanaouza hadi 2M hapo bongo. Umejaribu kucheki EBay?
Nimechek hapa naona bei ni hivyo hivyo iliyo cheap ni 610 mpaka ifike hapa tunarudi kule kule, nyingi zinaanzia dollar 800 hadi nimeanza kuwa na mashaka na huyo aliyeniambia 1.72 mlKuna wanaouza hadi 2M hapo bongo. Umejaribu kucheki EBay?
Sir unajipongeza, unaisifia au unatoa taarifa ili kusaidia na wengine waipate?
Camera yake inaonekana ni premium haswaaa. View attachment 1635955
Japi sijavutiwa na muonekano wa hapo juu
View attachment 1635956
Hongera kwa kumiliki chombo hicho
Tumia Amazon ama site za Uhakika za Usa zenye warranty, then tumia forwarding service yenye ofisi Tanzania ambao hata mzigo ukipotea wana refund, inaweza kuwa service za Aramex ama Fedex.Ngoja nicheck
Basi I guess nilichanganya yah its SE mkuu nikaichanganya na min 12 ndiyo maana jamaa aliponitajia bei nikastaajabu lakini still nimeangalia mini ebay inazid hiyo bei aliyonitajia. Ngoja niangalie SE amazonTumia Amazon ama site za Uhakika za Usa zenye warranty, then tumia forwarding service yenye ofisi Tanzania ambao hata mzigo ukipotea wana refund, inaweza kuwa service za Aramex ama Fedex.
Na sidhani kama 12 mini unaipata kwa $399 unless unamaanisha Se
Basi I guess nilichanganya yah its SE mkuu nikaichanganya na min 12 ndiyo maana jamaa aliponitajia bei nikastaajabu lakini still nimeangalia mini ebay inazid hiyo bei aliyonitajia. Ngoja niangalie SE amazon
Wakuu hatimaye leo nimeipata iPhone 12 pro max 512GB!
Ni simu nzuri mno tofauti na nilivyoikandia hapa maana niliapa nitabaki kwenye 11 pro max!!
Display is much better than expected!!
Let's enjoy the world
Cheers!!
Chief hawa FedEx na Aramex wapo Dodoma kweli, nataka nijaribu kuwatumia na mimi.Tumia Amazon ama site za Uhakika za Usa zenye warranty, then tumia forwarding service yenye ofisi Tanzania ambao hata mzigo ukipotea wana refund, inaweza kuwa service za Aramex ama Fedex.
Na sidhani kama 12 mini unaipata kwa $399 unless unamaanisha Se
Hata mimi nimereliaze hilo ama nichukue mini ama niache kabisa tu nakubaliana na wewe otherwise kuchukua SE ni sawa na kujiibia mwenyeweMkuu kwa ushauri wangu chukua Mini kuliko SE