Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
Mijadala migumu eeh? Mnataka.msifiwe. Kwani hamkupoteza viti kwenye huo.uchaguzi? Kama una maembe kumi, ukapokonywa na aliekuwa na mawili moja, huwezi kujisifia kuwa i still have 8! Mibhange tu hii.

Ivi Mkuu hujastuka tuu, kwamba rating ya CDM inashuka kwa kasi sana over a very short period of time. Tizama hata hapa kijiweni kwenu JF your on the defensive. Tanzania bado upinzani ngoja hadi 2014 utaona viongozi wangapi wa CDM watarudi CCM
 
Chama cha mwabepande sijui kama umesoma nilicho kiandika!

Hivi hilo neno kuteuliwa umelipata wapi kwenye post yangu? Kweli we ni kiwanda! Kuwa makini!

Hoja yako imekosa mshiko Le Mutuz hakuteuliwa kacahagulia na wajumbe wa mkutano upo hapooo!!!!!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
sema hivi . . . Kati ya 29 vya CCM, 5 vimechukuliwa na CDM!
Mind you hapo CDM ndio ilikuwa kwenye peak, unategemea nini uchaguzi ukifanyika leo Tanzania nzima? mtaendelea kupata majimbo machache na kisha mtakuja kujisifu kwamba mmeongeza mawili kwenye 21 mnayoashikilia? Siye wananchi tulitaraji mshinde siyo kuongeza vikata viwili
 
Chama cha mwabepande sijui kama umesoma nilicho kiandika!

Hivi hilo neno kuteuliwa umelipata wapi kwenye post yangu? Kweli we ni kiwanda! Kuwa makini!

Umeupata ujumbe ?

Chama
Gongo la mboto DSM
 

Hoja dhaifu
 

Wee baba ivi sijui ukoje,hujasoma hoja ya mwenzako unamjibu nini kama hiki sii kihoja?..kuna siku nlikuona sehem rafiki yangu akaniambie yule usimone ana mwili na kichwa kikubwa anaongea uharo sasa nimeamini..najaribu kujiuliza maumbile ya ubongo wako yakoje? Mstatili ama trapeza au ARV fake ndo zinakufanya ushindwe kufikiri? Kuwa mwenye hekima hapa JF acha kutafuta sifa kwa kujidai rijali wakati huna mke.
 
Woooo!!! What a lost leader CCM has in the row....!!!


 

".........Wakati huna mke" KWANI Mh SLAA ANA MKE? Wewe kweli umechanganyikiwa.
 
Unategemea unaishi dunia gani USA miaka 50 bado kijana sana sasa kama wewe miaka 35 umeanza kujiona mzee hizo ni njaa zako!

Chama
Gongo la mboto DSM
Mimi naishi Mvumiii Makulu Dodoma kwa sasa sitegemei kwenda huko USA na nina miaka 31 na ni kijana na ninajitambua hivyo. Ninasema hawa watu wa sampuli hii ya akina Wiliam Malecela na wewe wenye mtazamo huo wa kwamba huko USA miaka 50 bado ni vijana, ni watu potofu, hivi kwani katiba ya uvccm imeweka bayana kiwango cha miaka gani mwanachama wake anayetaka kugombea nafasi ya uongozi ndani ya uvccm? unafikiri kwa nini? kwa mtazamo wangu katiba ya uvccm inaweza ikatumika kama precedence nzuri ya umri wa vijana kwenye siasa za hapa tanzania,sio watu wenye umri kama wa wiliam, lau masha,Matayo David,nk wajiite vijana wao kwa lugha ya kibongo ambayo imezoeleka lakini naiona haijanyooka vizuri wanatakiwa waitwe watu wa makamo,au watu wazima,ingawaje hakuna watu nusu au mtu mfu.
 

Mkuu Mchambuzi,

Ninakushukulu kwa kunipa dokezo la kitabu cha 'Mchonga'.

Mchambuzi naona unasahau au una overlook kuwa CCM ilishaanza kumeguga toka pale mfumo wa vyama vingi ulipoanziswa nchini kwa sababu hao wengi ambao wameunda vyama vingine vya kisiasa walikuwa ndani ya CCM.

Ni kweli CCM kama chama kina matatizo na hii ni kawaida na siyo ajabu sana kwa wale wenye maono kutokana mazingira ambayo nchi imepitia na inaendelea kupitia (Ujamaa na kujitegemea kwenda soko huria na tegemezi).

Huwa mara nyingi sizidadavui hotuba na maneno ya Mwenyekiti wa CCM (KIkwete) kwa sababu mara nyingi ni vigumu kuelewa kama kwa lipi yuko serious (anachokiongea) au la kwenye hotuba zake (uswahili mwingi). Uniwie ladhi kwa hilo na kwa hoja hiyo I'm out.

Tukirudi kwenye mada yetu, Ninafikili watu wanajaribu kuaminishwa na kuamini kama ndani ya CCM kuna matatizo ambayo hayawezi kutatuliwa wakati CCM ikiwa madarakani na pia eti watu wanaogopa kutoka CCM kwa sababu fulani fulani ambazo ukiziangalia utagundua kuwa wale wenye uoga wa siasa za ANZA WEWE ndiyo wabinafsi zaidi.

CCM kama taasisi inaweza kabisa kujisahihisha ikitaka kufanya hivyo kwa sababu ukiangalia nchini, CCM kama chama bado kinakubalika katika jamii na hii inasababishwa na ukosefu wa 'political alternative' nchini. Tatizo kuu ni, Je viongozi wa CCM wanajua kama jamii ya leo inataka nini kutoka kwao na nchi iko wapi kisiasa. Lakini kama una viongozi ndani ya chama wanaokuja na kauli kama ya Mwenyekiti wa CCM na kuikubali pale anaposema ''nje ya makundi ya Urais, CCM ni chama imara na hakina matatizo yoyote makubwa'', hapo ndiyo unaanza kupata wasiwasi kama watajisahihisha kabla ya uchaguzi wa 2015
 
MBONA MNATAKWIMU ZA KIZAMANI?NI MGANDO WA BRAIN,BRAIN VALUE IS LOW AU YOU ARE REGIDY-COSERVATIVE.THINK BIG.COME UP AS U ARE AND NOT AS WHAT UR UNCESTORS WERE.USIFIKIRIWE, DO IT URSELF,OK MY YOUNGEST MAN EVER.stop cutting a good figure around.
 
Nashangazwa sana na akili ya huyu bwana sijui hata katika uchaguzi wao alipita kwa kigezo kipi labda alisaidiwa na historia ya wakati wa ujima ya baba ake, sjui..!! Kuna mtu amepost picha za kwenye gazeti moja zikimwonyesha huyu jamaa akijirusha na vimalaya fulani, ghafula akahamaki na kuanza kuropopka ooo mimi sio shoga, sijui aliyekuwa amemwambia wewe ni shoga ni nani maana kwenye maadishi yale hakukuwa na neno shoga achilia mbali kutokuambiwa kwamba ni shoga. Huyu hata mistari miwili kusoma anaona uvivu halafu eti anasema ni mjibu hoja!! Hoja zipi kama kusoma nusu Pg tu mzembe katiba na sheria za Chama Chako utazisoma wewe achilia mbali katiba na sheria mbalimbali za nchi. Ama kweli TZ ni kichwa cha mwenda wazimu, Mzee Mwinyi aliongea tukacheka lakini aliliona hili.

 
Mchambuzi ni mwanaccm na amekujibu vema kwa kujikita kwenye hoja zinazohusu ccm,
wewe umetoka nje ya mada na kujadili chadema
.

:focus:
 
Last edited by a moderator:

Wewe kama unajitambua bado kijana na Willy anajiona bado kijana tatizo lipo? Usimlazimishe mtu na uzee kuna watu wanaweza kukuona mzee na huo umri wako wa miaka 31; siku akitaka kuwa mzee hatakusubiri wewe umwambie. Tatizo lenu makamanda mna mambo ya kulazimisha sana

Chama
Gongo la mboto DSM
 

Haya ni makubwa. Kumbe Le Mutuz unabishana na watu unawajua mpaka familia zao. that's why they attack you personally.

Hapa ndiyo umenifungua macho kwa sababu mabishano yenu yanakuwa so personal na kwetu tunaoangalia kwa mbali tunakuwa na state of shock. Now, I know why is so personal. It's more than mere political mada
 
- ha! ha! ha! ha! Especially mke anapokuwa 30 na Mume 70! ha! ha! ha! ha! yaani gap ya 40 years!!

Le Mutuz!!


Hapa nadhani waislam watakujibu, ilikuwaje Mtume Muhamad kuoa mtoto wa miaka 9!
Sio binti mtoto wa miaka tisa.

Miaka ya 1989/90...Mwenyekiti wenu by then alioa binti mwanafunzi wa Jangwani Sec.School. Dar yote iliwasikia mabinti wa Janwani, Kisutu, ZAnaki nk. wakimwita mkuu pale ikulu shemeji yao.

Labda ni sawa, sheria ya ndoa inasemaje. Rais awe mkwale? Mwenye vimada kila kona, kila kabila,kila race?
 
- ha! ha! ha! ha! Especially mke anapokuwa 30 na Mume 70! ha! ha! ha! ha! yaani gap ya 40 years!!

Le Mutuz!!


Hapa nadhani waislam watakujibu, ilikuwaje Mtume Muhamad kuoa mtoto wa miaka 9!
Sio binti mtoto wa miaka tisa.

Miaka ya 1989/90...Mwenyekiti wenu by then alioa binti mwanafunzi wa Jangwani Sec.School. Dar yote iliwasikia mabinti wa sekondari ya Janwani, Kisutu, ZAnaki nk. wakimwita mkuu pale ikulu shemeji yao.

Labda ni sawa, sheria ya ndoa inasemaje. Rais awe mkwale? Mwenye vimada kila kona, kila kabila,kila race?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…