Figisu ndani ya mziki wa Bongo Fleva

Man Rody

JF-Expert Member
Aug 4, 2022
1,273
2,940
Habari za majukumu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada, haina ubishi kwamba tasnia ya mziki kwa sasa imeendelea sana wote tunashuhudia vijana wanavojituma kusukuma gurudumu la bongo fleva kusogea.. kufanya mziki ni ndoto ya mamilioni ya vijana (nikiwemo mimi) lakini kwa hali ilivo sasa uhalisia ni kua mziki una wenyewe...

Kote kwenye sector za entertainment kuna walinda mageti (gate keepers) ambao wamejipa mamlaka ya kuchagua as they please nani wa kumpekeka mjini kama wasemavyo yani kum support mtu awe brand inayoingiza pesa!

Vijana underground wengi sana wamekata tamaa kufata ndoto zao sababu ya mazingira magumu yaliyowekwa na washika dau, imagine mtu wa hali ya chini anaependa kufanya mziki studio tu ataambiwa laki 2 au 3 ku record, video ya kawaida sana tena unga mwana utakuta laki 4 mpaka 5 (mavazi,location,chakula), aseme aende radio watamdandia awapoze hata elf 50 radio ndogo, zingine mpaka 100,000 na hapo ni interview tu akitaka rotation ya ngoma yake ajipange kucheza na ma dj na kama ngoma sio nzuri sana ndo watmlia hela tu wala hatopata support anayotegemea, vituo vya t.v mambo yale yale pesa pesaa... mtu akipga hesabu anaamua akaushe tu afanye mishe zingine

Hii hali imepelekea over saturation ya mziki wetu yan wasanii wale wale kila siku hakuna ladha mpya maskion mwa watu, watu watauliza mbona wasanii kama lody music na badest 47 wametoka bila connection, ni kweli 100% kila mtu ana bahati yake kuna wasanii wametusua na underground hit iliyopenya organically ila uhalisia unabaki mazingira yamebanwa na hata ma star wa zaman waliojaribu kurudi wengi tu imewawia ugumu coz mambo yamebadilika yame take over majangili mapya.

Sasa kuna shortcut za kutusua katika mziki wetu kama kuroga sana na makafara, skendo za michongo na ma star, kama ni msichana kujirahisisha kwa wadau na zingine ila sio wote tunaweza fanya hayo so nini hatima ya bongo fleva miaka ya mbele.

Tunahitahitaj wawekezaji zaid sector ya bongo fleva, content inalipa sana sasa hivi kila kitu online!! tunahitaji music labels, michuano mbali mbali ya kusaka vipaji, nafas maalum kwenye radio na ma t.v kwa underground..hivi baraza la wasanii lina deal na wakubwa tu hawana program yoyote ya kuvumbua na kuendeleza talent mpya??

Mwishoni naweka link ya nyimbo yangu nimefanya kwa kuunga unga kwanzia audio mpaka video nimeunganisha vipande vya video za wasanii wengine mana sina budget ya ku shoot proper video, tukiwezeshwa tunaweza aisee sio kila siku wale waleee.. Wassalaam.

 
Habari za majukumu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada, haina ubishi kwamba tasnia ya mziki kwa sasa imeendelea sana wote tunashuhudia vijana wanavojituma kusukuma gurudumu la bongo fleva kusogea.. kufanya mziki ni ndoto ya mamilioni ya vijana (nikiwemo mimi) lakini kwa hali ilivo sasa uhalisia ni kua mziki una wenyewe...
HIZI FIGISU ZISIKUKATISHE TAMAA, zikufanye usonge mbele
 
Mkuu sasa hivi mnafursa kubwa tumia tu digital hiyo pesa unayotaka kutoa kwenye hizo media wekeza kwenye digital tu japo hutapata matokeo makubwa ila itakupsh sehemu na fanya uploading music wako kwenye streaming sites zote utapiga tu hatua japo ndogo
 
Mkuu sasa hivi mnafursa kubwa tumia tu digital hiyo pesa unayotaka kutoa kwenye hizo media wekeza kwenye digital tu japo hutapata matokeo makubwa ila itakupsh sehemu na fanya uploading music wako kwenye streaming sites zote utapiga tu hatua japo ndogo
Yap digital platforms zimekuwa msaada mkubwa Sana KWA Wasanii chipukizi.

Uza sana huko Dps mpaka wakuite kwenye interviews , ...
 
Habari za majukumu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada, haina ubishi kwamba tasnia ya mziki kwa sasa imeendelea sana wote tunashuhudia vijana wanavojituma kusukuma gurudumu la bongo fleva kusogea.. kufanya mziki ni ndoto ya mamilioni ya vijana (nikiwemo mimi) lakini kwa
Kikubwa kabisa wasanii wa bongo mnakosa exposure thus why mnategemea redio kutoka wakati dunia imebadilika kua digital platform kibao za wewe kutoka,,xMarekani wasanii kibao wametoka wenyewe bila connection baada ya kuapload nyimbo zao mitandaoni wakahit menejiment ndio zikawatafuta...mimi nakushauri fanya hivi toa nyimbo ambazo zinaweza kuhit kimataifa achana na kulialia toa migoma ya ukweli then fungua account kwenye platform hizi hapa AWAL,KOBALT,SONGTRAD.com na platinumrecords.llc(hii ndio nakushauri) then tengeneza independent label isajili kwenye hizo platform anza kuuza miziki yako huko wao ndio wataisambaza kwenye platform kubwa duniani kama apple music na soundcloud na wanakata asilimia kadhaa na wewe unapata asilimia kadhaa,mimi ni mdau wa music kuna dogo langu kwa sasa yupo masomoni South africa nilimsaidia hii ishu kwa sasa anakula he
Habari za majukumu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada, haina ubishi kwamba tasnia ya mziki kwa sasa imeendelea sana wote tunashuhudia vijana wanavojituma kusukuma gurudumu la bongo fleva kusogea.. kufanya mziki ni ndoto ya mamilioni ya vijana (nikiwemo mimi)
Kikubwa kabisa wasanii wa bongo mnakosa exposure thus why mnategemea redio kutoka wakati dunia imebadilika kua digital platform kibao za wewe kutoka,,xMarekani wasanii kibao wametoka wenyewe bila connection baada ya kuapload nyimbo zao mitandaoni wakahit menejiment ndio zikawatafuta...mimi nakushauri fanya hivi toa nyimbo ambazo zinaweza kuhit kimataifa achana na kulialia toa migoma ya ukweli then fungua account kwenye platform hizi hapa AWAL,KOBALT,SONGTRAD.com na platinumrecords.llc(hii ndio nakushauri) then tengeneza independent label isajili kwenye hizo platform anza kuuza miziki yako huko wao ndio wataisambaza kwenye platform kubwa duniani kama apple music na soundcloud na wanakata asilimia kadhaa na wewe unapata asilimia kadhaa,mimi ni mdau wa music kuna dogo langu kwa sasa yupo masomoni South africa nilimsaidia hii ishu kwa sasa anakula hela kila mwisho wa mwezi na email aliyotumia kusajili kila kitu ni email yangu kwahiyo nashuhudia kila kitu mipunga inavyoingia kwa accoun
Screenshot_20220816-100730_Gmail.jpg
 
Mkuu sasa hivi mnafursa kubwa tumia tu digital hiyo pesa unayotaka kutoa kwenye hizo media wekeza kwenye digital tu japo hutapata matokeo makubwa ila itakupsh sehemu na fanya uploading music wako kwenye streaming sites zote utapiga tu hatua japo ndogo
Ntafanyia kazi haya maelekezo mkuu mana nina nyimbo 8 sijui pa kuzipeleka, big up 💪
 
Kweli mkuu exposure ndo kila kitu, Kikubwa kabisa wasanii wa bongo mnakosa exposure thus why mnategemea redio kutoka wakati dunia imebadilika kua digital platform kibao za wewe kutoka,,xMarekani wasanii kibao wametoka wenyewe bila connection baada ya kuapload nyimbo zao mitandaoni wakahit menejiment ndio zikawatafuta...mimi nakushauri fanya hivi toa nyimbo ambazo zinaweza kuhit kimataifa achana na kulialia toa migoma ya ukweli then fungua account kwenye platform hizi hapa AWAL,KOBALT,SONGTRAD.com na platinumrecords.llc(hii ndio nakushauri) then tengeneza independent label isajili kwenye hizo platform anza kuuza miziki yako huko wao ndio wataisambaza kwenye platform kubwa duniani kama apple music na soundcloud na wanakata asilimia kadhaa na wewe unapata asilimia kadhaa,mimi ni mdau wa music kuna dogo langu kwa sasa yupo masomoni South africa nilimsaidia hii ishu kwa sasa anakula he
Kikubwa kabisa wasanii wa bongo mnakosa exposure thus why mnategemea redio kutoka wakati dunia imebadilika kua digital platform kibao za wewe kutoka,,xMarekani wasanii kibao wametoka wenyewe bila connection baada ya kuapload nyimbo zao mitandaoni wakahit menejiment ndio zikawatafuta...mimi nakushauri fanya hivi toa nyimbo ambazo zinaweza kuhit kimataifa achana na kulialia toa migoma ya ukweli then fungua account kwenye platform hizi hapa AWAL,KOBALT,SONGTRAD.com na platinumrecords.llc(hii ndio nakushauri) then tengeneza independent label isajili kwenye hizo platform anza kuuza miziki yako huko wao ndio wataisambaza kwenye platform kubwa duniani kama apple music na soundcloud na wanakata asilimia kadhaa na wewe unapata asilimia kadhaa,mimi ni mdau wa music kuna dogo langu kwa sasa yupo masomoni South africa nilimsaidia hii ishu kwa sasa anakula hela kila mwisho wa mwezi na email aliyotumia kusajili kila kitu ni email yangu kwahiyo nashuhudia kila kitu mipunga inavyoingia kwa accounView attachment 2325115i

Kikubwa kabisa wasanii wa bongo mnakosa exposure thus why mnategemea redio kutoka wakati dunia imebadilika kua digital platform kibao za wewe kutoka,,xMarekani wasanii kibao wametoka wenyewe bila connection baada ya kuapload nyimbo zao mitandaoni wakahit menejiment ndio zikawatafuta...mimi nakushauri fanya hivi toa nyimbo ambazo zinaweza kuhit kimataifa achana na kulialia toa migoma ya ukweli then fungua account kwenye platform hizi hapa AWAL,KOBALT,SONGTRAD.com na platinumrecords.llc(hii ndio nakushauri) then tengeneza independent label isajili kwenye hizo platform anza kuuza miziki yako huko wao ndio wataisambaza kwenye platform kubwa duniani kama apple music na soundcloud na wanakata asilimia kadhaa na wewe unapata asilimia kadhaa,mimi ni mdau wa music kuna dogo langu kwa sasa yupo masomoni South africa nilimsaidia hii ishu kwa sasa anakula he

Kikubwa kabisa wasanii wa bongo mnakosa exposure thus why mnategemea redio kutoka wakati dunia imebadilika kua digital platform kibao za wewe kutoka,,xMarekani wasanii kibao wametoka wenyewe bila connection baada ya kuapload nyimbo zao mitandaoni wakahit menejiment ndio zikawatafuta...mimi nakushauri fanya hivi toa nyimbo ambazo zinaweza kuhit kimataifa achana na kulialia toa migoma ya ukweli then fungua account kwenye platform hizi hapa AWAL,KOBALT,SONGTRAD.com na platinumrecords.llc(hii ndio nakushauri) then tengeneza independent label isajili kwenye hizo platform anza kuuza miziki yako huko wao ndio wataisambaza kwenye platform kubwa duniani kama apple music na soundcloud na wanakata asilimia kadhaa na wewe unapata asilimia kadhaa,mimi ni mdau wa music kuna dogo langu kwa sasa yupo masomoni South africa nilimsaidia hii ishu kwa sasa anakula hela kila mwisho wa mwezi na email aliyotumia kusajili kila kitu ni email yangu kwahiyo nashuhudia kila kitu mipunga inavyoingia kwa accounView attachment 2325115
Kweli mkuu exposure ndo kila kitu, ila kingine ili upige hatua ni lazima uwe na team atleast watu watatu nikimaanisha producer, manager wa ku push na mtu wa digital media (photoshoots, social platforms.. etc) kama ulivoelekeza hapa... ku manage digital msanii unaweza ukakaza japo kwa mimi sasa nina side hustle so kujigawa ngumu kidogo ila kufanya yote mwenyewe kuna changamoto mkuu... shukran kwa input yako imeniongezea ufahamu 👏
 
Me nafanya Rap na Dancehall mkuu, ata me me siwakubali wakata viuno aisee 😁😁

Watu wana ushabiki tofaut kama mpira, ndondi, wazee wa connection(mange app 🙂👀).. me mziki nimeshindwa kuacha ata nikiacha miaka miwili najikuta narudi tu ndo passion yangu acha nkomae
Bongo sahv kila kijana anataka awe mkata mauno,msanii


Ova
 
Back
Top Bottom