Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Omydimpoz jaman poooh joto LA dar anavaa sut anajikutaga handsome huyu ashukuru kiba anamlindia nyotaaa poooh na suruali sjui kitenge mwenyewe anaona katoka poooh nyota yake kidogo ipotee sjui ulienda kuoga kwa babu gani mxeeew

Nimekupenda kwa kuangalia.. maana mimi najikuta nawaangalia mavazi pia na hivi sijui nyimbo zao nyingi basi eeeeeh
 
Ooh jamani mke mwema lazima atoe taarifa.. na kwanza unafikiri amelala.. mmmmh inaonekana umekuwa mwanafunzi wa Mshana Jr kuanza kuwanga unazurura na ungo usiku.. kwa hili umekosea.. 😀
Ah ah ah ah aha ah ah ah Mi Siwangi Bhana

Ndio Manini Hayo Kuwanga
 
Kiba watu washamuona michosho.
Nilisemaga hapa Kiba anasafiria bifu la diamond kuwepo hapo alipo, lkn kiba ilikuwa zaman
Mond anapendwa kwakua analeta swaga za umarekani kwa mwonekano. Na ushamba wetu ndo tunasema ndo msanii mzuri kumbe hakuna kitu. Amini nakuambia siku watu wakiuchoka umarekani wake kama walivyouchoka wa zilla, mtashangaa.

Mond sio mwanamuziki bali ni msanii. Sijui kama emenielewa
 
Back
Top Bottom