Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Mleta mada mbona unajiaibisha yani unaleta mada ambayo inatudhihirishia kwamba uwezo wako wa akili ni mdogo hivyo tuanze kudiscuss akili yako ilivyo so sad. Utajuaje kama majority ya waliokuemo huko fiesta ni wageni kutoka nje ya nchi
 
Akili matope kweli hivyo ulivyofundishwa na prof wako yule lepumbaz

Ova
 
Daah......tutafika tu lakini, ingawa haiwezijulikana ni lini.
 
Unataka kukasirisha wananchi wavivu wasiopenda kutafuta pesa... eeeeeh

Nimeshaona mapovu yakiwatoka wengine...ha ha haaaa
 
Kitendo cha jana watu kufurika fiesta kinaonyesha Magufuli hajabana na uchumi unaenda vizuri , kinyume na inavyohubiriwa na mawakala wa shetani kwamba uchumi umesinyaa na wananchi hawana hela mfukoni.

Hivi mwananchi kama hajala kabisa na hana hela mfukoni ,je hela ya kuingilia huko fiesta ataitoa wapi??

Hii ni aibu kubwa sana kwa chadema.
Kumbe kufurika kwa watu fiesta uchumi umekua? Ukiwa na cherehani 4 kiwanda.
Lumumbwa nyie mnatabu sana.
 
Unataka kukasirisha wananchi wavivu wasiopenda kutafuta pesa... eeeeeh

Nimeshaona mapovu yakiwatoka wengine...ha ha haaaa
Kwan watu wa lumumbwa wanagawa pesa?
Watu wa lumumbwa acheni mawazo mgando km yule jamaa alisema ukiwa na cherehani 4 ni kiwanda
 
Kwa tathimini hiyo ndg yangu maswa 1 umefeli kbs, inaonyesha hata shuleni ulikuwa ni 0 brain! Pole sana!
 
Kitendo cha jana watu kufurika fiesta kinaonyesha Magufuli hajabana na uchumi unaenda vizuri , kinyume na inavyohubiriwa na mawakala wa shetani kwamba uchumi umesinyaa na wananchi hawana hela mfukoni.

Hivi mwananchi kama hajala kabisa na hana hela mfukoni ,je hela ya kuingilia huko fiesta ataitoa wapi??

Hii ni aibu kubwa sana kwa chadema.
Kiingilio 10000+ 10000 ya bia + 2000 nauli total =22000.
Hiyo pesa ndogo mtu akijibana kwa miezi mitatu anapata
 
Kitendo cha jana watu kufurika fiesta kinaonyesha Magufuli hajabana na uchumi unaenda vizuri , kinyume na inavyohubiriwa na mawakala wa shetani kwamba uchumi umesinyaa na wananchi hawana hela mfukoni.

Hivi mwananchi kama hajala kabisa na hana hela mfukoni ,je hela ya kuingilia huko fiesta ataitoa wapi??

Hii ni aibu kubwa sana kwa chadema.
Watu kujazana fiesta ni kigezo cha uchumi kuwa mzuri??? Kama ulisoma ulipoteza ada bure.
 
Hivi ni amri gani aliyoitoa Grace Mugabe na ikafanikiwa?
 
Blue na kiba uzito wa mbali sana

Kiba kasome kwa blue ndio kakufundisha mziki wewe na abby Skills wako wakati unakaa kwenu kule kota za bandari kariakoo gerezani
kiba amewai kuishi kariakoo gerezani...miaka gani hiyo
 
Back
Top Bottom