screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,902
- 15,928
Kina Gigy MoneyHawa Walio Jitanda Kanga Ni Wamama Au Ni Wale Mwanawake Wanao Danga 9T.....???
Najiuliza Tuuuuuhhh
Kina Gigy MoneyHawa Walio Jitanda Kanga Ni Wamama Au Ni Wale Mwanawake Wanao Danga 9T.....???
Najiuliza Tuuuuuhhh
Aiseee,una roho mbaya sana kumbe
Iv Una Mimba Mamii.....???
Mana Leo Upo Moto
Izi Poooooh Pooooohh
All In All Poz Kwa Poz Kazingua Kuvaa Koti Joto Kali




nimecheka kwa nguvu duuuh! Eti ana mimba! 
Bella yuko vizuri sana huyo ndio mwanamuziki anayenimaliziaga pesa zangu kokote apigapo lazima nitie timuKing of Melody naona anatema mavocale
Bidhaa Ya Nin Nawakat Nipo Na CocochanelUnataka bidhaa Mkuu au unaulizia tu!
Kiba anafuikwa hata na aslayKiba ameishiwa mafuta kwa nyimbo mbili tu
Sio mbunifu hadi Ben Paul na Jux wamempita maujanja
Ommy Dimpoz anazingua
Sasa unaendaje kumpokea mgeni kama huyo na hubby!Aiseeeee! kivipi tena?
HahahahahahaHawa Walio Jitanda Kanga Ni Wamama Au Ni Wale Mwanawake Wanao Danga 9T.....???
Najiuliza Tuuuuuhhh
Yeye Si Mwanamke Bhana So Uwezo Anaonimecheka kwa nguvu duuuh! Eti ana mimba!
![]()
Wadangaji tu hao poooohHawa Walio Jitanda Kanga Ni Wamama Au Ni Wale Mwanawake Wanao Danga 9T.....???
Najiuliza Tuuuuuhhh
Yeah umeona eehKiba anafuikwa hata na aslay
huyo s nasikia si rizkiHuyu Ommy kinachomuweka mjini ni kuwa karibu na Kiba tu
Kumbe Hawa Ndio Wale Chakula Cha Waandaji Wa Tamasha EehhWadangaji tu hao pooooh
Hahaahahha nitampa jina lako poooohKwa Style Hii Uyo Mtt Anatoka Dume
Aliwahi kuimba huo wimbo wa Mama Mwanza nilitoka machozi kabisa, Huyo kiumbe mwache kabisa ni mtaalamu wa Sauti.Sauti ya Bella unaweza ukalia kwakweli
AtarudiJamani hivi Tiba ndo kamaliza show???nimejisikia mimi aibu
Msanii mkubwa anaondoka kimya kimya ha ha ha bado sana