Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Msanii kufanya show ni investment kiba anataka aonewe huruma wakati hata hajajipanga

Dai pasua anga ....navuta picha chibu angewavuta madada wote mbele huku wanang'ata midomo wengine wakianguka chali
#NoTz_mercy
 
Msanii kufanya show ni investment kiba anataka aonewe huruma wakati hata hajajipanga

Dai pasua anga ....navuta picha chibu angewavuta madada wote mbele huku wanang'ata midomo wengine wakianguka chali
#NoTz_mercy
Kiba anatakiwa abadilike kwa kweli ama sivyo domo ataendelea mkimbiza
 
Msanii kufanya show ni investment kiba anataka aonewe huruma wakati hata hajajipanga

Dai pasua anga ....navuta picha chibu angewavuta madada wote mbele huku wanang'ata midomo wengine wakianguka chali
#NoTz_mercy
Tatizo mond hawezi fanya show za mchangani eti. Ameshakua yule sio level zetu tena
 
Naona kuna haja ya Peter Msechu kuwepo hapa kile kitambi chake kingeamsha shamrashamra, wawe wabunifu kwa mara nyingine.
 
Omydimpoz jaman poooh joto LA dar anavaa sut anajikutaga handsome huyu ashukuru kiba anamlindia nyotaaa poooh na suruali sjui kitenge mwenyewe anaona katoka poooh nyota yake kidogo ipotee sjui ulienda kuoga kwa babu gani mxeeew
Iv Una Mimba Mamii.....???


Mana Leo Upo Moto

Izi Poooooh Pooooohh

All In All Poz Kwa Poz Kazingua Kuvaa Koti Joto Kali
 
Back
Top Bottom