Kumbe wabongo tuko na akili zetu umestukia mchezo anaocheza huyu mtuOmydimpoz jaman poooh joto LA dar anavaa sut anajikutaga handsome huyu ashukuru kiba anamlindia nyotaaa poooh na suruali sjui kitenge mwenyewe anaona katoka poooh nyota yake kidogo ipotee sjui ulienda kuoga kwa babu gani mxeeew
Ommy anazingua pumbavu kabisa huyu jamaaOmmy shukaaaaaaaa. Sikupendi
Poooh kabisa yan tai yenyewe imekaaa vibaya mxeeew na likofia utazan yupo Dodoma kwenye jua poooh kabisa putuuuu omyIv Una Mimba Mamii.....???
Mana Leo Upo Moto
Izi Poooooh Pooooohh
All In All Poz Kwa Poz Kazingua Kuvaa Koti Joto Kali
Mshushee jukwaani mkuu, huwezi liwa na mbu afu mtu mjinga mjinga anakuchoshaOmmy Dimpoz anazingua
Ndio kaingiaHivi Bella yupo hapo? Namiss kuona show yake. Christian
Ah ah ah ah ah ah ah Sasa Mume Wako Hapo Anahusika Vp
Mi Nashida Na Wew Uyo Jamaa Acha aendelee Kukoloma Tuuuuu
Yeah halafu contract inamzuia Tigo na Vodacom yake hatakiwi ku perform hapa sema wabongo wanapenda lawama za bureTatizo mond hawezi fanya show za mchangani eti. Ameshakua yule sio level zetu tena
Hawez huyu anatembeleaga nyota za watu bila hivyooo putuuuuu chaliKumbe wabongo tuko na akili zetu umestukia mchezo anaocheza huyu mtu
Joto kali msuti....huo na style yake yakudandia watu chibu alimstukia akampiga chini mapema akapotea kwenye ramani
Kwa Style Hii Uyo Mtt Anatoka DumePoooh kabisa yan tai yenyewe imekaaa vibaya mxeeew na likofia utazan yupo Dodoma kwenye jua poooh kabisa putuuuu omy
Unataka bidhaa Mkuu au unaulizia tu!Hawa Walio Jitanda Kanga Ni Wamama Au Ni Wale Mwanawake Wanao Danga 9T.....???
Najiuliza Tuuuuuhhh
Kiba watu washamuona michosho.Nasikia tu Dar es Salaam, mara Yoooo mara Tuimbe wote sioni lolote hapo labda Ben Paul aje na ile midundo yake ya Zamani kidogo atawagusa wengi.