Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
haha nimekusoma Mbishi, wengi wanaweza ila wanajisahau tu kidogo.
Noma sana, ila inabidi wakumbushwe miiko ya sanaa.
hapa umeonesha ukomavu wa fikra!...kujisahau kupo ila inabidi tutoe constructive criticism pale inapobidi!