Fid Q, How do you explain this brother?

Fid Q, How do you explain this brother?

hahahaha..hapa hubishiwi,unaelimishwa ujinga ukutoke!

Toa darasa tuelimike.. Naishi kwa utamaduni wa Hip Hop na nakubali kufundishika inapobidi.

My request.. Toa hilo darasa kwanza ili ututoe ujinga (as you proclaim brother)

Don't take it personal niggah... Hatuuzimi ukweli kwa matusi na madai ya uongo.
 
Mkuu kadoda11 umenena vyema sana!...kuwa informed kwa kusoma sana ni sifa kubwa ya MC!ajabu zinazushwa tuhuma eti Fid 'anakopi' toka kwenye vitabu!ajabu sana!
 
Last edited by a moderator:
Rap ina kanuni na misingi yake Boss, mojawapo ni kutotumia kazi za rapa mwenzio bila ruhusa yake. Alichofanya hapa Fid ni wizi, katafsiri yaliyoimbwa na KRS One na kujifanya ni ya kwake. Kachukua idea, concept, mistari, mpaka maneno, sanaa aliyoongeza ni finyu mno. Unaweza kuchukua Idea na ku-develop concept yako mwenyewe (kwa ruhusa ofcourse), ila sio kutafsiri. Mfano mzuri ni alichofanya Ngwair kwenye 'Napokea Simu' kutoka kwenye track ya Jay, ile ndio sanaa. Au alichofanya Jay-Z kwenye '99 problems' kutoka kwenye track ya Ice T.

Alichosema Tupac hakiingii hapa kabisa, alimaanisha unajifunza kupitia kazi zilizotangulia, unatengeneza zako.
sasa hapo umeanza kujichanganya,mwanzo kabisa pale juu umesema fiq q ka-copy concept,ambapo kwangu mimi naamini huwezi uka-copy concept ya mtu bila kwanza kuwa inspired na kazi za huyo mtu uliye-copy concept yake,sioni ubaya ktk hilo.na ndio hicho alicho fanya pac kwa shakespeare.vyanzo mbalimbali vinadai pac alikuwa anasoma sana kazi za shakespeare.

sasa basi tukisema fid ali copy concept/mistari ya KRS ONE kwa kuwa alikuwa inspired naye,tunakosea?.
 
So huyo copy cat aliyekubuhu hadi Leo mmeleta hiyo mistari michache tu!!!

Leteni mimngine basi !!

thubuuuutu!,hata hiyo waliyoleta wanalazimishia!.huwezi sema 'Mchizi wangu' wa N2N unafanana concept na 'Sihitaji Marafiki'....jamaa hana hoja kabisa,ubishi tu wa asili nadhani,au anaona noma kusanda!
 
All GOT kuanzia Big, Pac, Nas, 3k and the likes, wanasoma Sana vitabu, na through reading ndo wanapata knowledge ya kuandika.

Sasa mtu anakuja anasema eti Ngosha mistari yake anatoa kwenye vitabu as a discredit wakati hii ni sifa ya GOT yeyote.

Kucopy ni huyu aliyecopy hii intro ya Jigga "Kanyeez you did it again, you are a genius" .. Anasema "Nahreal you did it, you are a genius" lakini bado siwezi mwita Whack!

Enways GOT = Greatest of all time.

Asante.
 
sasa hapo umeanza kujichanganya,mwanzo kabisa pale juu umesema fiq q ka-copy concept,ambapo kwangu mimi naamini huwezi uka-copy concept ya mtu bila kwanza kuwa inspired na kazi za huyo mtu uliye-copy concept yake,sioni ubaya ktk hilo.na ndio hicho alicho fanya pac kwa shakespeare.vyanzo mbalimbali vinadai pac alikuwa anasoma sana kazi za shakespeare.

sasa basi tukisema fid ali copy concept/mistari ya KRS ONE kwa kuwa alikuwa inspired naye,tunakosea?.

Shida ni moja hapa, sidhani kama tunaelewana. Nachozungumzia hapa ni kuiba kazi za watu na kujifanya zako, pitia comments zangu zote humu vizuri. Na sio tu kaiba concept, kabeba idea, baadhi ya mistari mpaka maneno pia. Na nina wasiwasi hamjafuatilia hata hiyo track ya KRS One ili mpime na nyie wenyewe.

Unatakiwa kuelewa kitu kimoja, hii issue ilianza baada ya watu humu kukataa katakata kwamba Fid huwa ha-copy kazi za watu na kudai ushahidi. Mi nilichofanya ni kutoa ushahidi baada ya kuona ya kuona walioleta hizo tuhuma wanashambuliwa kwa kushindwa kuthibitisha.

Unasema vyanzo mbalimbali vinasema Pac ali-copy concepts za Shakespeare, toa ushahidi. Usiamini kila unachoambiwa au kusikia bila kufanya uchunguzi wako mwenyewe mtu mzima. Hii ndio sababu Fid anawapeleka peleka wengi.

Inspired or not, alichofanya Jamaa yenu hapa ni sawa na kutumia ghost-writters, yet kelele za minions kwamba Jamaa ndio the best Rapper.
 
All GOT kuanzia Big, Pac, Nas, 3k and the likes, wanasoma Sana vitabu, na through reading ndo wanapata knowledge ya kuandika.

Sasa mtu anakuja anasema eti Ngosha mistari yake anatoa kwenye vitabu as a discredit wakati hii ni sifa ya GOT yeyote.

Kucopy ni huyu aliyecopy hii intro ya Jigga "Kanyeez you did it again, you are a genius" .. Anasema "Nahreal you did it, you are a genius" lakini bado siwezi mwita Whack!

Enways GOT = Greatest of all time.

Asante.


Ni G.O.A.T mtu mzima, sio GOT. Na Fid ni rapa mzuri ila sio G.O.A.T. Anybody who feed off others' hard works, is wack, simple as that.

Kusoma vitabu na kusambaza knowledge aliyoipata humo, I give him props for that. Wachache sana wenye uwezo huo.
 
thubuuuutu!,hata hiyo waliyoleta wanalazimishia!.huwezi sema 'Mchizi wangu' wa N2N unafanana concept na 'Sihitaji Marafiki'....jamaa hana hoja kabisa,ubishi tu wa asili nadhani,au anaona noma kusanda!

Wacha mboyoyo eroo, Wewe na wenzio wote mnaobisha hizo tracks sio kitu kimoja bali lugha tofauti, i dare you mnichambulie alichoimba KRS One then tulinganishe na Fid Q's. Tatizo mnalalamika yet hamsemi ni wapi pamepotoshwa, ili watu wajue.

And I bet you can't crack even a single line from tha Teacha's, yet you out here whining son. Smh!
 
Shida ni moja hapa, sidhani kama tunaelewana. Nachozungumzia hapa ni kuiba kazi za watu na kujifanya zako, pitia comments zangu zote humu vizuri. Na sio tu kaiba concept, kabeba idea, baadhi ya mistari mpaka maneno pia. Na nina wasiwasi hamjafuatilia hata hiyo track ya KRS One ili mpime na nyie wenyewe.

Unatakiwa kuelewa kitu kimoja, hii issue ilianza baada ya watu humu kukataa katakata kwamba Fid huwa ha-copy kazi za watu na kudai ushahidi. Mi nilichofanya ni kutoa ushahidi baada ya kuona ya kuona walioleta hizo tuhuma wanashambuliwa kwa kushindwa kuthibitisha.

Unasema vyanzo mbalimbali vinasema Pac ali-copy concepts za Shakespeare, toa ushahidi. Usiamini kila unachoambiwa au kusikia bila kufanya uchunguzi wako mwenyewe mtu mzima. Hii ndio sababu Fid anawapeleka peleka wengi.

Inspired or not, alichofanya Jamaa yenu hapa ni sawa na kutumia ghost-writters, yet kelele za minions kwamba Jamaa ndio the best Rapper.

wapi nimesema pac ka-copy concept za shakespeare?.usikurupuke tu kujibu,uwe unasoma post zangu kwa umakini.

nilichosema ni kwamba,vyanzo mbali mbali vinadai pac alikuwa "anasoma",nasisitiza tena "anasoma" sana kazi za shakespeare.

unataka ushahidi?,simple;huu HAPA.
Tupac, who celebrates his 43rd birthday today, used to say his writing was influenced by the famous works of Shakespeare.

nakurahisishia kazi kwa kukuwekea baadhi ya mistari ambayo pac aliiimba/kuitamka baada ya kuwa inspired na kazi za Shakespeare.

"If you can make it through the night, there's a brighter day."

"I exist in the depths of solitude pondering my true goal."

"Fear is stronger than love."

"You cannot escape fate. Just as you rose you shall fall, by my hands."

"Everybody's at war with different things. I'm at war with my own heart sometimes."

"A coward dies a thousand times, a soldier dies but once."

"We must remember that tomorrow comes after the dark."


ushahidi mwingine huu HAPA:
Q: You studied at the Baltimore School of Performing Arts. Does your theater background influence your songwriting?

A: It influences all my work. I really like stuff like "Les Miserables" and "Gospel at Colonus." And I love Shakespeare. He wrote some of the rawest stories, man. I mean look at Romeo and Juliet. That's some serious ghetto [expletive]. You got this guy Romeo from the Bloods who falls for Juliet, a female from the Crips, and everybody in both gangs are against them. So they have to sneak out and they end up dead for nothing. Real tragic stuff.


And look how Shakespeare busts it up with Macbeth. He creates a tale about this king's wife who convinces a happy man to chase after her and kill her husband so he can take over the country. After he commits the murder, the dude starts having delusions just like in a Scarface song. I mean the king's wife just screws this guy's whole life up for nothing. Now that's what I call a b----.
 
Wacha mboyoyo eroo, Wewe na wenzio wote mnaobisha hizo tracks sio kitu kimoja bali lugha tofauti, i dare you mnichambulie alichoimba KRS One then tulinganishe na Fid Q's. Tatizo mnalalamika yet hamsemi ni wapi pamepotoshwa, ili watu wajue.

And I bet you can't crack even a single line from tha Teacha's, yet you out here whining son. Smh!

teh teh teh teh teh....nilishakwambia summary ya ngoma inakuwaga kwenye chorus,ziweke zote mbili hapa tuone kama concept/idea zinafanana!
Kule 'love connect' ulipoweka chorus ya 'A Friend' ungeweza kuweka ya 'Sihitaji Marafiki?'
Nilikuuliza Fid kakopi hata maneno 'yes-man?'....mbona huweki line nzima ya 'whether at the bar' ijulikane KRS alikuwa anamaanisha nini?
Acha kuungaunga!
 
wapi nimesema pac ka-copy concept za shakespeare?.usikurupuke tu kujibu,uwe unasoma post zangu kwa umakini.


Is you slow or what brother? there. Nani kasema haya?
"uka-copy concept ya mtu bila kwanza kuwa inspired na kazi za huyo mtu uliye-copy concept yake,sioni ubaya ktk hilo.na ndio hicho alicho fanya pac kwa shakespeare.vyanzo mbalimbali vinadai pac alikuwa anasoma sana kazi za shakespeare."

 

Is you slow or what brother? there. Nani kasema haya?
"uka-copy concept ya mtu bila kwanza kuwa inspired na kazi za huyo mtu uliye-copy concept yake,sioni ubaya ktk hilo.na ndio hicho alicho fanya pac kwa shakespeare.vyanzo mbalimbali vinadai pac alikuwa anasoma sana kazi za shakespeare."

kuwa inspired kuna husiana vipi na ku-copy?.cant you see the big difference?,are you blind or what?.
 
teh teh teh teh teh....nilishakwambia summary ya ngoma inakuwaga kwenye chorus,ziweke zote mbili hapa tuone kama concept/idea zinafanana!
Kule 'love connect' ulipoweka chorus ya 'A Friend' ungeweza kuweka ya 'Sihitaji Marafiki?'
Nilikuuliza Fid kakopi hata maneno 'yes-man?'....mbona huweki line nzima ya 'whether at the bar' ijulikane KRS alikuwa anamaanisha nini?
Acha kuungaunga!


Son, ngoja niseme kwa kiswahili sasa, nina uhakika huwezi kutafsiri wala kuchambua mstari hata mmoja aliosema Teacha humo, ila bado unapinga hizo tracks hazifanani.

Na umeshakariri chorus ndio summary ya ngoma, unashindwa kujua its never always the case. Napenda kukuelezea zaidi, ila sioni kama kuna haja, so lets just say i'll see you when you get there, tho i doubt you ever will.
 
kuwa inspired kuna husiana vipi na ku-copy?.cant you see the big difference?,are you blind or what?.


Hahahaha oh boy! Aye ma'man, hapo nime-quote maneno yako mwenyewe mzazi, sasa unaona mpaka mwenyewe unajichanganya na kuhoji comments zako mwenyewe?

Pili, sidhani kama unaelewa nini maana ya 'concept', kwa sababu hujanionyesha wapi Pac ka-copy concept ya mtu yoyote, let alone Shakespeare's. Wewe umeleta quotes, Q U O T E S brother, not con-fcukin-cept. Hujui hata zilitumika wapi, i can bet on that.
 
Upiversity ngoja nikuache na mwangaza kidogo, Ngwair aliwahi kurudia kwa kiswahili track ya Marques Houston, inaitwa Clubbin'. Kasikilize chorus za hizo tracks zote, halafu utuambie zinafanana kiasi gani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom