kiungwana anatakiwa kuapologize na kuomba mods waufute tu huu uzi!umempunguzia 'nyota!'
cc: Paulo Sergio De Souz kwa utekelezaji
mwaka fulani aliwahi sema kama kunamtu ameona anapokopy apeleke ampezawadi mil5
Unless sielewi lugha au concept ya a friend in Need alikuja nayo KRS One ebu niambie kuna usawa upi katika hizi verse mbili....
True friends are quick to sitin the beginning of all trouble, and when your bankroll doubles/ - Teacha
Vs
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi, Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi/ -Fid
By the way ingawa haijafanyika hapa nadhani nyie wadau hamjui kitu kinaitwa Sampling (done all over the world) na hapa cha maana ni mtu kutoa kazi inayoendana na concept ikapendeza ikaeleweka na ika-flow, ukizingatia hawa Artist wote ma Role Models wao ni hao hao hardcore rappers wa enzi hizo..,
Unatakiwa ujue chanzo cha hii mada,mashabiki wengi wa FID Q wanamponda Joh Makini na weusi kuwa sio wasanii wa Hip Hop na nyimbo zao wanacopy but hakuna hata mmoja aliyekuja na source kama alivyoleta Paulo Sergio De Souz,at least jamaa ameleta hoja akaleta na huo ushahidi
Unaweza ukatutajia baadhi ya wasanii wa Hip Hop hapa bongo ambao wanacopy
Hip hop ya Langa alicopy kwa juel ortiz
Ingekua vp ya mwanaFA alicopy kwa Fredro Star what if
Weusi watoto wa Mungu walicopy children of God ya heavy metal king
Wasanii wengi wa bongo almost 90 # wanacopy
Chanzo cha hii mada ilianza baada wa fans wa FID kulalamika why hakupata tuzo za Kiliteh teh teh teh...hicho 'chanzo' na hiyo reference ya 'mashabiki wengi' wa Fid Q umevitoa wapi?...onesha nani miongoni mwa wanaopinga hii thread aliemponda Joh na Weusi?.
Usibadili uelekeo wa mada iliyopo hapa!
Chanzo cha hii mada ilianza baada wa fans wa FID kulalamika why hakupata tuzo za Kili
2nd round knockout ya Canibus ilikopiwa na hongera raundi ya 2
1. Fid Q does not impress me. One the Incredible on the other hand is a lyrical Ninja.
2. As Guru said in " Don't take it personal", rap is an art you can't own no loop.
3. Unless one plagiarize verbatim like Kigwangallah, I see no biggie.
4. In hip hop there is such a thing as paying homage by quaoting a great line. Jigga has done this plenty of times with Biggies lyrics.
Unatakiwa ujue chanzo cha hii mada,mashabiki wengi wa FID Q wanamponda Joh Makini na weusi kuwa sio wasanii wa Hip Hop na nyimbo zao wanacojpy but hakuna hata mmoja aliyekuja na source kama alivyoleta Paulo Sergio De Souz,at least jamaa ameleta hoja akaleta na huo ushahidi