Fid Q, How do you explain this brother?

Fid Q, How do you explain this brother?

Nilikua namjibu huyo jamaa aliooredhesha hizo nyimbo zinazofanana majina.

Kwa ile trend kama busta angeanza kutoa huo wimbo b4 jay naye angewekwa kwenye list.


Hivi hii line" Nichokoze bahati mbaya nikulipue makusudi" ni ya nani naona wengi wanaitumia

langa / fid / duty knob
 
Upiversity ngoja nikuache na mwangaza kidogo, Ngwair aliwahi kurudia kwa kiswahili track ya Marques Houston, inaitwa Clubbin'. Kasikilize chorus za hizo tracks zote, halafu utuambie zinafanana kiasi gani.

kwi kwi kwi kwi kwi....ntaenda ukimaliza kunionesha 'mfanano' wa concept/idea ya tracks tunazojadili hapa?
Mbona hujibu hata na hiki,Fid kaiba hata matumizi ya yes-man?
 
Last edited by a moderator:
akasage chupa anywe.HAHAHAHAHAHA.

hawa ndio wale vilaza wa ktz wanaojaza server ya instagram kwa kuanzaisha makundi ya kuponda wasanii wetu wa ndani.bure kabisa.

hahahahahahahaha.....aibu yake!..anazuga kama hajaiona vile!
Kudos Deo Corleone!
 
Last edited by a moderator:
Paulo Sergio De Souz siamini kama umepitwa na hii taarifa!


First and foremost, Hiyo list kaandaa nani? and how valid is it? Hata wewe na ndugu zako mnaweza kuiandaa tu.

Another thing, 90% of People who say Hip-hop don't exactly understand what's hip-hop. I will school y'all one day soon on that.
 
Last edited by a moderator:
Huwa napenda kusikiliza watu wazima from time to time ili kupata picha time yao walikuwa wanafikiria nini. Juzi ilikuwa zamu ya Babu KRS One. Kwenye album yake 'I Got Next' ana track inaitwa 'A friend', dope track si uongo. Nimeiskiliza kama mara 3/4/5 hivi, nikakumbuka our very own..Fid Q ana track inaitwa 'sihitaji marafiki', kwa bahati mbaya sijawahi kuiskiliza mpaka sasa, ila nilishawahi kuona episode moja ya Mkasi Jamaa akiielezea. Knowing Fid Q, nikaingia Tzhiphop na kucheki lyrics, na kulinganisha na track ya Teacha. Nimegundua Jamaa ka-copy concept, baadhi ya mistari na maneno pia, japo kayafanyia sanaa kidogo.

'True friends are quick to sit
in the beginning of all trouble, and when your bankroll doubles/ - Teacha
Vs
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi, Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi/ -
Fid

'Cause don't nobody care about us, all they do is doubt us/
Until we blow the spot then they all wanna crowd us,
and wanna shout us/
but you my man from way back' -
Teacha
vs
'sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa..
upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../
kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid ni underground' - Fid

'/I'm not a yes man and none of my friends are yes men
or women/' - Teacha
Vs
'sikia fidq anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/'- Fid

'Whether at the bar with superstars'- Teacha
Vs
'sihitaji
urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa..
upishwe useat
kwenye bar,' - Fid

Kuna lines kadhaa pia za Rappers wengine humo ndani, mojawapo ni ya Biggie Smallz
'Girls used to diss me, now they write letters coz they miss me'
Vs
'Siku hizi mademu wanaoni-miss ni walioni-diss'

images

Fid Q, Fraud Q or Fake Q??

Screen-Shot-2014-11-09-at-2.25.14-PM.png



Teacha Huyu hapa, msikilize mwenyewe halafu linganisha na ngoma ya Fid hapa chini.







Mkuu unashangaa bongo fleva? Huu si muziki wa ukweli, hawa wasanii wake wote ni fake kazi yao ni kukopi kazi za watu kisha wanalazimisha serikali iwalindie haki zao. Jiulize, eti mwizi anaomba alindiwe mali aliyoiba? Muziki ni ule wa dansi kwani umeenda shule na zina tungo za akili. Fleva imekuja juu tu kwa sababu Clouds especially Ruge na wenzake walikuwa wanawatumia hawa jamaa kuwapelekea mizigo bondeni mshahara air time. Ifie kule bongo fleva.
 
Last edited by a moderator:
Sasa since y'all have pushed me, kesho nikitoka mzigoni nitawafunulia tena how your main man is only elite to the stupids. Nothing but facts as usual, only way i do it.

Tuombe uzima
 
First and foremost, Hiyo list kaandaa nani? and how valid is it? Hata wewe na ndugu zako mnaweza kuiandaa tu.

Another thing, 90% of People who say Hip-hop don't exactly understand what's hip-hop. I will school y'all one day soon on that.

teh teh teh teh teh....aisee wewe ukikosa kwenye hiyo 90% yako mi nipigwe ban ya maisha JF!
 
Hadith za shigongo na nyimbo za fid. q nyingi ni usanii wa kukopy n paste..


Ni kweli kabisa....watu wanalazimisha tu vitu. Toka lini mwanamuziki anatembea na begi lililojaa CDs za Karaoke? Tuweni wakweli jamani, kwanini media haswa Clouds FM wanaforce kuua muziki wetu wa asili? Mbona kama unga walishauza sana kutumia hawa wasanii wa fleva, yaani bado hawajatosheka tu mpaka wakamatwe?
 
bado hauja nishawishi katika hili,what i know you just a hater not annalist..!!!
"what doesnt kill me makes me strnger"kanye west pia hii tuiite copycat kutoka katika line za 2pac sindio mzee??
"anamiaka chini ya kumi na nane"Sugu na "baby don't cry(keep ya head up"II) 2pac nayo ni copycat??


Dogo wannabe, rudi shule upate kujitambua. Usipende kulazimisha vitu kwani unapotoka na kuonekana mjinga.
 
Sasa since y'all have pushed me, kesho nikitoka mzigoni nitawafunulia tena how your main man is only elite to the stupids. Nothing but facts as usual, only way i do it.

Tuombe uzima

teh teh teh teh teh...huna lolote,we mweupe tu!...na 'swaga' zako za kimarekani kingi!wenzio tulifanya early 90's huko,utam-school nani wewe kuhusu hiphop!
 
Huwa napenda kusikiliza watu wazima from time to time ili kupata picha time yao walikuwa wanafikiria nini. Juzi ilikuwa zamu ya Babu KRS One. Kwenye album yake 'I Got Next' ana track inaitwa 'A friend', dope track si uongo. Nimeiskiliza kama mara 3/4/5 hivi, nikakumbuka our very own..Fid Q ana track inaitwa 'sihitaji marafiki', kwa bahati mbaya sijawahi kuiskiliza mpaka sasa, ila nilishawahi kuona episode moja ya Mkasi Jamaa akiielezea. Knowing Fid Q, nikaingia Tzhiphop na kucheki lyrics, na kulinganisha na track ya Teacha. Nimegundua Jamaa ka-copy concept, baadhi ya mistari na maneno pia, japo kayafanyia sanaa kidogo.

'True friends are quick to sit
in the beginning of all trouble, and when your bankroll doubles/ - Teacha
Vs
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi, Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi/ -
Fid

'Cause don't nobody care about us, all they do is doubt us/
Until we blow the spot then they all wanna crowd us,
and wanna shout us/
but you my man from way back' -
Teacha
vs
'sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa..
upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../
kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid ni underground' - Fid

'/I'm not a yes man and none of my friends are yes men
or women/' - Teacha
Vs
'sikia fidq anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/'- Fid

'Whether at the bar with superstars'- Teacha
Vs
'sihitaji
urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa..
upishwe useat
kwenye bar,' - Fid

Kuna lines kadhaa pia za Rappers wengine humo ndani, mojawapo ni ya Biggie Smallz
'Girls used to diss me, now they write letters coz they miss me'
Vs
'Siku hizi mademu wanaoni-miss ni walioni-diss'

images

Fid Q, Fraud Q or Fake Q??

Screen-Shot-2014-11-09-at-2.25.14-PM.png



Teacha Huyu hapa, msikilize mwenyewe halafu linganisha na ngoma ya Fid hapa chini.





Ukianza kufuatilia rappers kihivi, utastukia umebaki na rappers wa early 80s tu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kuna mtu anamsikilizaga GHETTO AMBASSADOR... mbona haigi!?

Sanaa gani hii ya kukopi!? Kuna vingi vya kuimba jamani... Madawa ya kulevya na Maradhi... Rushwa na Ubaguzi wa Rangi.

Mwambieni.. Aumize kichwa kama Anavyojitahidi kwenye baadhi ya Ngoma za Kushilikishwa.


Hiii unasema wewe kwa sababu unatumia akili na unazo ndiyo maana unaona huu upuuzi. Wasanii wa fleva ni alostoz, wameshindwa maisha wanakimbilia kuimba na kukopi kazi za wenzao. Kuna kuelemisha jamii kupitia miziki yao kama mauaji ya albino, kukemea kukopi kazi za watu na kuziita zao, kukemea kuwa fake kwa kujifanya black american, kubwia unga, ngono zembe, kuisambaratisha CCM, kutukana viongozi wezi wa serikali, yaani vitu vingi tu.
 
Sasa since y'all have pushed me, kesho nikitoka mzigoni nitawafunulia tena how your main man is only elite to the stupids. Nothing but facts as usual, only way i do it.

Tuombe uzima

i'm afraid you'll be wasting your time kid,cos we'll be fully prepared to refute your claptrap as usual.tag me when you get ready.
 
teh teh teh teh teh...huna lolote,we mweupe tu!...na 'swaga' zako za kimarekani kingi!wenzio tulifanya early 90's huko,utam-school nani wewe kuhusu hiphop!


Hahaha, hakuna noma mtu mzima.

i'm afraid you'll be wasting your time kid,cos we'll be fully prepared to refute your claptrap as usual.tag me when you get ready.


Haha, will do that Sir.
 
Mkuu unashangaa bongo fleva? Huu si muziki wa ukweli, hawa wasanii wake wote ni fake kazi yao ni kukopi kazi za watu kisha wanalazimisha serikali iwalindie haki zao. Jiulize, eti mwizi anaomba alindiwe mali aliyoiba? Muziki ni ule wa dansi kwani umeenda shule na zina tungo za akili. Fleva imekuja juu tu kwa sababu Clouds especially Ruge na wenzake walikuwa wanawatumia hawa jamaa kuwapelekea mizigo bondeni mshahara air time. Ifie kule bongo fleva.

haha nimekusoma Mbishi, wengi wanaweza ila wanajisahau tu kidogo.

Ukianza kufuatilia rappers kihivi, utastukia umebaki na rappers wa early 80s tu.


Noma sana, ila inabidi wakumbushwe miiko ya sanaa.
 
teh teh teh teh teh...huna lolote,we mweupe tu!...na 'swaga' zako za kimarekani kingi!wenzio tulifanya early 90's huko,utam-school nani wewe kuhusu hiphop!

anadhani kuongea kingereza cha hivyo basi ataonekana bonge la mwana hip hop... mchambuzi mzuri...
 
Back
Top Bottom