thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,797
- 4,688
bila kuwasahauHawa watu walioingia jf juzijuzi hawawezi kukuelewa enzi hizo kina mwl.rtc shy sharobaro n.k
Walikuwa watoa mautundu kule jf store
mimi pia niliwahi kufurahia hiyo huduma kwa kutumia tunnel guru vpn sema haya mabus ya kabang na kijani walikuja kuzuia na mimi ndo ukawa mwisho wangu.
Paje
e2themiza
Njunwa Wamavoko
munjy1
gkiwango
Good Guy
na wengineo