Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Mimi natumia VPN kila siku. Primarily kwa ajili ya data encryption ya internet connection yangu (my own subscribed VPN) au nikiwa nafanya kazi kutoka nyumbani (my office VPN).

Ninachotaka kujua huyu anayesema anapata free internet kwa VPN, ana connect kwenye VPN kwa kutumia nini?

Mimi nahitaji internet connection kwanza ili kuconnect kwenye VPN.

Sasa kwa maelezo ya mtoa mada ninkama anatuambia anatumia VPN ku connect kwenye network? How dies he cinnect to the VPN without having an internet connection?

That does not make sense.
wewe baki kusema does not make sense Wenzio wanafurahia unlimited data with 0 balance na 0mb
Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each
[TroidVPN for Android v4.x.x] Jipatie 1GB FOR FREE kila Siku
 
Hahaha.

Halafu watu wengi wanachanganya neno "aidha" la Kiswahili, lenye maana "zaidi" au "pia" na neno "either" la kiingereza, lenye maana "ama".
Aisee ni kweli...ila Kiswahili kama lugha ni ngumu aiseee, sasa na waswahili wenyewe mweeeeee... Ni nomaaaaaa.

Hahahahahahahahaha
 
WAKUU kwa heshima na taadhima, nawaomba kidogo mpitie hizi threads za miaka ya nyuma za hapa JF ili mueweze kuelewa, japokuwa hizi tricks kwa sasa hazifanyi kazi
Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Msaada kuhusiana na Pd-proxy vpn

pd proxy na tunnel guru ipi bora

Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

VPN gani nzuri niweze tumia net bure

PD-Proxy VPN Service

How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet

Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)
halafu kingine wakongwe na wataalamu wengi wamelikimbia hili jukwaa sio kama zamani
Mkuu huu uzi mbona haufunguki How to scan for Free Open
Ports in Any ISP for Free
Internet?
Msaada tafadhali
 
huu uzi utafumbua jambo mitandao yaingia hasara so bado wanatafuta wanojua loop hole wazibane vizuri hali ya uchumi sio nzuri take care wahusika msijiachie humu hizi ni illegal issue.
 
Mimi natumia VPN kila siku. Primarily kwa ajili ya data encryption ya internet connection yangu (my own subscribed VPN) au nikiwa nafanya kazi kutoka nyumbani (my office VPN).

Ninachotaka kujua huyu anayesema anapata free internet kwa VPN, ana connect kwenye VPN kwa kutumia nini?

Mimi nahitaji internet connection kwanza ili kuconnect kwenye VPN.

Sasa kwa maelezo ya mtoa mada ninkama anatuambia anatumia VPN ku connect kwenye network? How dies he cinnect to the VPN without having an internet connection?

That does not make sense.
kunakuwa na ports ambazo hazijafungwa, vpn yenyewe inatumia hizo ports, hivyo matumizi yako yote yanapitishwa kwenye hizo ports.

na kwa developer ambaye lengo lake si kutoa huduma ya vpn bali kutumia vpn kupata net ya bure anakuwa anaeka tools za kukusaidia au kutafuta upenyo kwenye mtandao husika kama vile port scan etc
 
Back
Top Bottom