Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Chief-Mkwawa et al. Please tunaomba msaada wa namna ya kutumia VPN katika interner na pia nadhani unatoa huduma za Virtual xxxx kwa ajili ya internet ya gharama nafuu.

Kuna jamaa mmoja nmemsahau jina lake alikuwa anatoa huduma huyo pia kwa jina la mwl.somebody kama sikosei kipindi cha nyuma sana.unalipia akaunt kwa mwezi unapiga kazi. Naomba nifahamu kama huduma bado ipo.
 
Chief-Mkwawa et al. Please tunaomba msaada wa namna ya kutumia VPN katika interner na pia nadhani unatoa huduma za Virtual xxxx kwa ajili ya internet ya gharama nafuu.

Kuna jamaa mmoja nmemsahau jina lake alikuwa anatoa huduma huyo pia kwa jina la mwl.somebody kama sikosei kipindi cha nyuma sana.unalipia akaunt kwa mwezi unapiga kazi. Naomba nifahamu kama huduma bado ipo.
sifahamu mkuu, ngoja tumtag Mwl.RCT
 
Chief-Mkwawa et al. Please tunaomba msaada wa namna ya kutumia VPN katika interner na pia nadhani unatoa huduma za Virtual xxxx kwa ajili ya internet ya gharama nafuu.

Kuna jamaa mmoja nmemsahau jina lake alikuwa anatoa huduma huyo pia kwa jina la mwl.somebody kama sikosei kipindi cha nyuma sana.unalipia akaunt kwa mwezi unapiga kazi. Naomba nifahamu kama huduma bado ipo.
Mkuu naweza kukutengenezea Nord Vpn ya premium kwa miaka mitatu utalipia 60000. Karibu kama uko interested
 
Nina hofu kubwa kuwa wanaotuhimiza kutumia hii application ya VPN wana mpango maalumu wa kudukua taarifa binafsi za watu.

Naamini tutashuhudia mlipuko wa madhara ya kudukuliwa very soon.
 
Nina hofu kubwa kuwa wanaotuhimiza kutumia hii application ya VPN wana mpango maalumu wa kudukua taarifa binafsi za watu.

Naamini tutashuhudia mlipuko wa madhara ya kudukuliwa very soon.
There is a very fierce battle for data acquisition. So I qualify your doubts.
 
Jamani huko Playstore kwenye pia hakufunguki!!

Kiukweli aliyefanya huu ujinga alaaniwe!!,yaani haelewi ni kiasi gani nimepoteza pesa!!
 

Attachments

  • Screenshot (2).png
    Screenshot (2).png
    113.1 KB · Views: 6
mkuu naomba msaada namna ya kutumia built in VPN kenye windows 10
Hapo unanunua ama jisajili kampuni husika ndio utapewa details za kujaza humo.

Pitia hapa kuna details za bure
 
Back
Top Bottom